Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Tena lichawa promax kama wewe ukimsogelea hata hatua 10 tu unapewa kitu,ptuuuuuu,manake hukawii kuwa umetumwa umdhuru Mteule wa Mungu Lissu weweeKweli CHADEMA akili zenu ni fupi sana.
Wewe ni mpumbavu tu yeye ameamua style yake hiyo wewe unapata shida gani ina maana nchi nzima ya Burkina Faso wote ni wajinga wewe ndiyo una akili kuwashinda wao, wacha ubwege na mada zako za kishamba. Huna hoja hapo .Wewe kwa akili yako unaona ni sawa kiuongozi katika karne hii? Ungekuwa wewe ungefanya hivyo?
Nyie maacm wote ni mataahira kabisa.Kweli CHADEMA akili zenu ni fupi sana.
Unamfahamu Rais wa misri? Je hakuwa kiongozi wa kijeshi wakati anaingia madarakani? Je uliwahi kuona akifanya hayo maigizo?Ndio ujiulize wakati wa Kikwete uliwahi kuona anazungukwa na watu wenye bunduki? Tafuta picha yoyote ya awamu ya Kikwete uone kama kuna mtu yuko karibu naye ameshika Bunduki. Ukiachana na hilo captain Ibrahim Traore sio rais bali ni kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi nchini Burkina Faso. Hakuna maajabu kwa kiongozi wa kijeshi kutembea na silaha maana ndivyo inavyotakiwa.
Jibu maswali dogo.acha kurukaruka kama maharageWewe ni mpumbavu tu yeye ameamua style yake hiyo wewe unapata shida gani ina maana nchi nzima ya Burkina Faso wote ni wajinga wewe ndiyo una akili kuwashinda wao, wacha ubwege na mada zako za kishamba. Huna hoja hapo .
rais wa Misri dyo reference/standard ya wengine wote ku-subscribe public life style yake?Unamfahamu Rais wa misri? Je hakuwa kiongozi wa kijeshi wakati anaingia madarakani? Je uliwahi kuona akifanya hayo maigizo?
Jibu swali. Uliwahi kuona Kikwete au Mkapa anazungukwa na watu walioshika bunduki?Unamfahamu Rais wa misri? Je hakuwa kiongozi wa kijeshi wakati anaingia madarakani? Je uliwahi kuona akifanya hayo maigizo?
Umeelewa msingi wa hoja na andiko langu?Huyo mpendwa wenu mbona naye amezungukwa na walinzi utafikiri nchi ipo vitani?
Hakuna swali wewe umesema huoni sababu ya yeye kuvaa hivyo yeye mwenyewe ana sababu za kuvaa hivyo sasa kuna nini cha kujadili au wewe unajiona ndiyo ISO kuwa unachoona sawa kila mtu akubaliane na wewe? Una tatizo kwenye ubongo wako wewe.Jibu maswali dogo.acha kurukaruka kama maharage
Ninyi si Mmejenga hoja dhaifu kuwa anafanya hivyo kwa sababu ni mwanajeshi na ameingia madarakani kijeshi.rais wa Misri dyo reference/standard ya wengine wote ku-subscribe public life style yake?
Ni nini sababu ya msingi ya yeye kuweka silaha vile? Jibu swali hili bila porojoHakuna swali wewe umesema huoni sababu ya yeye kuvaa hivyo yeye mwenyewe ana sababu za kuvaa hivyo sasa kuna nini cha kujadili au wewe unajiona ndiyo ISO kuwa unachoona sawa kila mtu akubaliane na wewe? Una tatizo kwenye ubongo wako wewe.
Kumbe wewe mpumbavu kweli, hilo swali kamuulize yeye au walinzi wake.Mbona unataka kujitwika mizigo isiyokuwa na faida kwako wewe kibwengo?Ni nini sababu ya msingi ya yeye kuweka silaha vile? Jibu swali hili bila porojo
Sasa ilikuwaje ukawa unamtetea na kutoa majibu Utafikiri umewasiliana naye?Kumbe wewe mpumbavu kweli, hilo swali kamuulize yeye au walinzi wake.Mbona unataka kujitwika mizigo isiyokuwa na faida kwako wewe kibwengo?
Wewe inakuhusu nini?Ndugu zangu Watanzania,
Rais na Mkuu wa Nchi ndiye kiongozi namba moja katika Nchi kupewa Ulinzi Mzito na mkubwa kila mahali awapo. Ndio jicho lote la vyombo vya ulinzi na usalama huelekeza na kupeleka umakini wake alipo Rais. Ulinzi wote wa kuonekana na usioonekana na wa kila aina ya teknolojia ni lazima uwekezwe kumzunguka Rais.
Rais hupewa walinzi makini, madhubuti, hodari,shupavu,imara , wazalendo na wenye mafunzo ya aina ya juu sana na aina tofautitofauti katika ulinzi wa Rais. Huzungukwa na walinzi ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya kumlinda Rais.wapo tayari kuwa ngao ya RAIS zidi ya kihatarisha chochote kile cha usalama wa Rais awapo popote pale.
Sasa inapotokea Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu anatembea na kuzunguka Nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali akiwa na silaha kiunoni pake ikiwa inaonekana hadharani kwa watu. Inakuwa ni tatizo kubwa sana kwa Rais Mwenyewe. Kwa sababu hata kama Rais akitaka kuwa na silaha kiunoni pake anaweza kufanya hivyo pasipo hata kuionyesha wala mtu yeyote yule kuiona.
Kwani viongozi wangapi wanatembea na silaha viunoni Mwao? Kwanini hawazioneshi na kuziweka hadharani? Sasa kwa huyu Rais kijana kufanya hivi inakuwa siyo jambo zuri wala la busara wala la kiuongozi wala la kiungwana katika Dunia hii ya Leo.
Ambayo mtu anaweza kukudhuru hata kwa kutumia kalamu tu ya kuandikia au nyaraka tu ambazo ukapewa uzisome. Ndio maana Majeshi yote Duniani kwote kwa sasa yanawekeza sana katika Teknolojia ya juu.huko ndiko ushindani umehamia na siyo katika kutembea na silaha kiunoni inayoonekana kwa watu.View attachment 3242595
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
kila president ana customize protocol zake kulingana na situation, kwani we unadhurika nini na hiyo security detail ya presindent ???Ninyi si Mmejenga hoja dhaifu kuwa anafanya hivyo kwa sababu ni mwanajeshi na ameingia madarakani kijeshi.
Wewe unajibu kama nani? Kwani wewe ndiye Traole?Wewe inakuhusu nini?
Mimi simtetei bali wewe huna mamlaka ya kuhoji staili yake ya muonekano wala hoja yako haina mantiki.Sasa ilikuwaje ukawa unamtetea na kutoa majibu Utafikiri umewasiliana naye?
Na wewe unahoji kama nani? Kwani wewe ni kiranja wa marais wa kiafrika?Wewe unajibu kama nani? Kwani wewe ndiye Traole?