Sioni sababu ya muhimu ya Rais mwenye kuzungukwa na ulinzi mkali kufanya hivi. Kwa hili napingana naye

Sioni sababu ya muhimu ya Rais mwenye kuzungukwa na ulinzi mkali kufanya hivi. Kwa hili napingana naye

Ndio ujiulize wakati wa Kikwete uliwahi kuona anazungukwa na watu wenye bunduki? Tafuta picha yoyote ya awamu ya Kikwete uone kama kuna mtu yuko karibu naye ameshika Bunduki. Ukiachana na hilo captain Ibrahim Traore sio rais bali ni kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi nchini Burkina Faso. Hakuna maajabu kwa kiongozi wa kijeshi kutembea na silaha maana ndivyo inavyotakiwa.
 
Wewe kwa akili yako unaona ni sawa kiuongozi katika karne hii? Ungekuwa wewe ungefanya hivyo?
Wewe ni mpumbavu tu yeye ameamua style yake hiyo wewe unapata shida gani ina maana nchi nzima ya Burkina Faso wote ni wajinga wewe ndiyo una akili kuwashinda wao, wacha ubwege na mada zako za kishamba. Huna hoja hapo .
 
Ndio ujiulize wakati wa Kikwete uliwahi kuona anazungukwa na watu wenye bunduki? Tafuta picha yoyote ya awamu ya Kikwete uone kama kuna mtu yuko karibu naye ameshika Bunduki. Ukiachana na hilo captain Ibrahim Traore sio rais bali ni kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi nchini Burkina Faso. Hakuna maajabu kwa kiongozi wa kijeshi kutembea na silaha maana ndivyo inavyotakiwa.
Unamfahamu Rais wa misri? Je hakuwa kiongozi wa kijeshi wakati anaingia madarakani? Je uliwahi kuona akifanya hayo maigizo?
 
Wewe ni mpumbavu tu yeye ameamua style yake hiyo wewe unapata shida gani ina maana nchi nzima ya Burkina Faso wote ni wajinga wewe ndiyo una akili kuwashinda wao, wacha ubwege na mada zako za kishamba. Huna hoja hapo .
Jibu maswali dogo.acha kurukaruka kama maharage
 
Unamfahamu Rais wa misri? Je hakuwa kiongozi wa kijeshi wakati anaingia madarakani? Je uliwahi kuona akifanya hayo maigizo?
rais wa Misri dyo reference/standard ya wengine wote ku-subscribe public life style yake?
 
Huyo mpendwa wenu mbona naye amezungukwa na walinzi utafikiri nchi ipo vitani?
 
Jibu maswali dogo.acha kurukaruka kama maharage
Hakuna swali wewe umesema huoni sababu ya yeye kuvaa hivyo yeye mwenyewe ana sababu za kuvaa hivyo sasa kuna nini cha kujadili au wewe unajiona ndiyo ISO kuwa unachoona sawa kila mtu akubaliane na wewe? Una tatizo kwenye ubongo wako wewe.
 
rais wa Misri dyo reference/standard ya wengine wote ku-subscribe public life style yake?
Ninyi si Mmejenga hoja dhaifu kuwa anafanya hivyo kwa sababu ni mwanajeshi na ameingia madarakani kijeshi.
 
Hakuna swali wewe umesema huoni sababu ya yeye kuvaa hivyo yeye mwenyewe ana sababu za kuvaa hivyo sasa kuna nini cha kujadili au wewe unajiona ndiyo ISO kuwa unachoona sawa kila mtu akubaliane na wewe? Una tatizo kwenye ubongo wako wewe.
Ni nini sababu ya msingi ya yeye kuweka silaha vile? Jibu swali hili bila porojo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais na Mkuu wa Nchi ndiye kiongozi namba moja katika Nchi kupewa Ulinzi Mzito na mkubwa kila mahali awapo. Ndio jicho lote la vyombo vya ulinzi na usalama huelekeza na kupeleka umakini wake alipo Rais. Ulinzi wote wa kuonekana na usioonekana na wa kila aina ya teknolojia ni lazima uwekezwe kumzunguka Rais.

Rais hupewa walinzi makini, madhubuti, hodari,shupavu,imara , wazalendo na wenye mafunzo ya aina ya juu sana na aina tofautitofauti katika ulinzi wa Rais. Huzungukwa na walinzi ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya kumlinda Rais.wapo tayari kuwa ngao ya RAIS zidi ya kihatarisha chochote kile cha usalama wa Rais awapo popote pale.

Sasa inapotokea Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu anatembea na kuzunguka Nchi mbalimbali na maeneo mbalimbali akiwa na silaha kiunoni pake ikiwa inaonekana hadharani kwa watu. Inakuwa ni tatizo kubwa sana kwa Rais Mwenyewe. Kwa sababu hata kama Rais akitaka kuwa na silaha kiunoni pake anaweza kufanya hivyo pasipo hata kuionyesha wala mtu yeyote yule kuiona.

Kwani viongozi wangapi wanatembea na silaha viunoni Mwao? Kwanini hawazioneshi na kuziweka hadharani? Sasa kwa huyu Rais kijana kufanya hivi inakuwa siyo jambo zuri wala la busara wala la kiuongozi wala la kiungwana katika Dunia hii ya Leo.

Ambayo mtu anaweza kukudhuru hata kwa kutumia kalamu tu ya kuandikia au nyaraka tu ambazo ukapewa uzisome. Ndio maana Majeshi yote Duniani kwote kwa sasa yanawekeza sana katika Teknolojia ya juu.huko ndiko ushindani umehamia na siyo katika kutembea na silaha kiunoni inayoonekana kwa watu.View attachment 3242595

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe inakuhusu nini?
 
Back
Top Bottom