Sioni Simba anatokea wapi leo. Kila nilipoangalia sijaona

Sioni Simba anatokea wapi leo. Kila nilipoangalia sijaona

Kiukweli huwa sipendi Simba ishinde... Imekuwa na kujisikia sana kwa miaka yao ya hivi karibun tena kwa kubebwa na CAF. nilichokuja gundua ni kuwa hata CAF wanaipendelea Simba. Sijajua labda sababu ya CEO wake...
Wewe pamoja na wachawi wenzio wote hamna la maana zaidi ya kuwanga mmejificha kupitia kanzu 😁zenu.

Hii Dini sasa inanitisha
 
Roho mbaya haijengi kwamba game zote zile wanabebwa mbeleko gani iyo
 
Yanga daima mbele nyuma mwiko,

Hapo kwenye mwiko ndy kwenye tatizo kubwa.
 
Mkuu ungeahidi kuwa Mnyama akishinda game ya leo upigwe kimoko ingekuwa powa sana.
Saiv awatoi kbsa iyo ahadi baada ya mwenzao kutoa ahadi kama iyo uko morogoro msimu uliopita simba vs Alhaly alishughulikiwa vilivyo
 
Mwanzoni nilifikiri Manara anaposema kwamba wenye akili huko utopoloni ni wawili tu yaani Sunday Manara na JK ni porojo za manara ,lakini sasa nimeanza kuamini usemi huo kwamba huko utopoloni wote ni hamnazo
We ndiye hamnazo kabisa kuliko wote duniani, yani Manara akisema nenda ukanye nawe unaenda hata kama huna kinyesi [emoji848][emoji28]
 
Dalili moja wapo ya uchawi ndio hii sasa haya kalia hili [emoji867]
 
Hiyo yanga iliyo bora iko hatua gani huko CAF
Halafu hapo ishirini yako ishaenda kweli wajinga ndo waliwao.
 
Back
Top Bottom