Wewe pamoja na wachawi wenzio wote hamna la maana zaidi ya kuwanga mmejificha kupitia kanzu 😁zenu.Kiukweli huwa sipendi Simba ishinde... Imekuwa na kujisikia sana kwa miaka yao ya hivi karibun tena kwa kubebwa na CAF. nilichokuja gundua ni kuwa hata CAF wanaipendelea Simba. Sijajua labda sababu ya CEO wake...
Utopolo bwana, yaani ameridhiiika na ligi ya Bara, eti ligi yetu (yao), kwamba CAF ndo ligi ya Simba 😂😂😂Leo kwa Mkapa hatoki Simba. Arudi kwenye Ligi yetu ...
Mambo ya Dini yanakujaje hapa? Kwa nini usiwe tu mstaarabu kama wengine?Wewe pamoja na wachawi wenzio wote hamna la maana zaidi ya kuwanga mmejificha kupitia kanzu 😁zenu.
Hii Dini sasa inanitisha
Saiv awatoi kbsa iyo ahadi baada ya mwenzao kutoa ahadi kama iyo uko morogoro msimu uliopita simba vs Alhaly alishughulikiwa vilivyoMkuu ungeahidi kuwa Mnyama akishinda game ya leo upigwe kimoko ingekuwa powa sana.
Aache wazi mali ya serikali wananchi wapite nayoTembea wa "mnyama" kutoka Buguruni hadi Msimbazi. Hapo itakuwa sawa.
We ndiye hamnazo kabisa kuliko wote duniani, yani Manara akisema nenda ukanye nawe unaenda hata kama huna kinyesi [emoji848][emoji28]Mwanzoni nilifikiri Manara anaposema kwamba wenye akili huko utopoloni ni wawili tu yaani Sunday Manara na JK ni porojo za manara ,lakini sasa nimeanza kuamini usemi huo kwamba huko utopoloni wote ni hamnazo
Mwanga habari yakoUsgn 2
Simba 0
Simba anapigwa 2 bila leo
Kinachokutesa wewe ni wivu tu.Kiukweli huwa sipendi Simba ishinde... Imekuwa na kujisikia sana kwa miaka yao ya hivi karibun tena kwa kubebwa na CAF. nilichokuja gundua ni kuwa hata CAF wanaipendelea Simba. Sijajua labda sababu ya CEO wake
Kwahiyo ikitokea Simba kashinda unataka kusema nini hicho kitabu unachokiaminiWewe siye muamuzi wa Funga. Na huu si ushirikina. Hawa wote wanatumia kitabu na nyota ...wewe wa wapi wewe? Unadnani ni matunguli?
mmhUsgn 2
Simba 0
Simba anapigwa 2 bila leo
Chuki ni jadi yaoMambo ya Dini yanakujaje hapa? Kwa nini usiwe tu mstaarabu kama wengine?
Utapinganaje na Manara kwa akili kama hizi?We ndiye hamnazo kabisa kuliko wote duniani, yani Manara akisema nenda ukanye nawe unaenda hata kama huna kinyesi [emoji848][emoji28]
Kumbe unawatakia utopolo wenzio mfungo mwema wa matako ili miiko isije chomolewa? Me nkajua unawatakia waislam mfungo mwema! Sorry kwakutokukuelewa usiejulikana.Wewe uliyeacha wazi matako unamfahamu wapi Allah?