Sioni Simba anatokea wapi leo. Kila nilipoangalia sijaona

Haya sasa, timiza ahadi zako. Wivu utakusababishia vidonda vya tumbo na BP bure ndugu
 
Aibu yako
 
Mkuu huwezi kuwa timamu hadi kwanza utoe mwiko huko nyuma maamae

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Umepigwa hela nyingi na wajanja, wamepata za kununulia futari
 
Pole sana kwa kutapeliwa na ostazi 20,000 ni nyama kilo 4 ila nakushauri kuiloga simba ostazi mpe hata milioni 20 sio buku ngapi hizo 😁 kingine umeichafua Dini kuwataja viongozi wa Dini kuhusika kwenye mambo ya kishirikina tena wakati wa mfungo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…