Sioni umuhimu wa daraja la Aga Khan - Coco beach kwa sasa

Nakuunga mkopo, una mawazo mazuri sana, kuna maeneo ya muhimu sana yanayohitaji madaraja na sio hilo daraja la Coco Beach, ni white elephant project, na kupoteza pesa za wahisani na walipa kodi!!
 
Mpwa nakafahamu kale ka njia, ule ni uchochoro, hautapunguza foleni popote pale

Basi kale ka uchochoro kana kismat. Kwa sasa kanasaidia sana lucha ya kutokuwepo daraja la coco beach.
 
Na mimi nilifikiri hivyo hivyo.

Nikaona labda niko out of touch na traffic patterns za Dar kwa sababu sijakaa Dar miaka mingi.
 
Mkuu hili daraja la magomeni_fire_mhimbili ni daraja muhimu sana kuliko hata flyover za ubungo..
 
Mkuu hili daraja la magomeni_fire_mhimbili ni daraja muhimu sana kuliko hata flyover za ubungo..
Mkuu kipaumbele chetu kwa sasa ni kuwafanya mabalozi wasikae foleni kwa muda mrefu, daraja la jangwani linalotumiwa na walalahoi likifurika wao wanauwezo wa kusubiri hata wiki maji yapungue ndipo wapite hawana haraka kama mabalozi.
 
Mimi pia nina maoni sawa na mleta mada. Ngoja nipitie hoja za wana jukwaa naweza juzwa nisiyoyajua
 
Kwel ila kuna tofaut ya mpiga kula na msaini mikataba ya watu wa ulaya aspo fannya hivo wanamdai chao ,subili saanne utasikiaa wametusaidia kujenga kumbe wametukopesha halafu mashart jiwe hadi kufa maiti inadaiwa deni la taifa walo sain wakina juhaaaa Mawazo
 
Wazee wa kupinga.
 
Very true..
 
Naomba ufafanuzi hilo daraja kama liananzia coco beach linaishia wapi kama ni Aghakhan pale halina msaada sana otherwise weekend watu kwebda kupiga picha wapenzi wao.
Tutakuwa tunaenda efm jogging kupita pale.
 
Kweli daraja litapunguza sana foleni kwa wakazi wa maeneo tajwa. Ingawa naunga mkono kujengwa kwa daraja hilo ila kuna kiukakasi hapo kidogo, je cost ya kujenga daraja hilo ina justify kiasi cha foleni litalopunguza?

Lakini pia, nadhani kuna agenda nyingine ya mandhari ya jiji. Itabadilisha mtazamo wa jiji na kuitambulisha jiji. Maana meli yoyote itakayokuja Dar lazima walione.

Kama ilivyo daraja la Golden Gate la San Francisco. Yaani ukiutaja tu huo mji lazima na hilo daraja lionekane.
 
Umeongea ukweli mtupu ilo daraja litasaidia wakazi zaidi wa masaki,oysterbay ambao sio watz na hata kama watz basi mawaziri na viongozi wakubwa wa serikali.

Hilo daraja ni moja ya "WHITE ELEPHANT" Project za vigogo wa serikalini,wewe unadhani wakubwa wanapata wapi utajiri? Wanaanzisha miradi hewa kibao ya ufisadi na ndani ya hiyo miradi waneweka cha juu cha kufa mtu,imagine bei halisi ya Drimulaina ni usd 100m lakini sie tumenunua kwa 228m USD ina maanisha kuna watu wamepiga zaidi ya 118m usd wameweka mfukoni.

Kupunguza foleni dsm wajenge njia nyingi mbadala,sio ukitaka kwenda mwenge kwenda posta mbananane ali hassan,wajenge njia za Juu kutoka mkwajuni hadi Mwenge,wajenge njia ya juu kutoka Mikocheni viwanda ikatue mbezi beach,wajenge njia ya juu kutoka Magomeni Mtaaa mapipa ikatue Uhasibu,hapo watasaidia wakazi wengi.

Pia waharakishe Mwendo kasi kuijenga,posta to mbagala,posta to Gongo la mboto,Morocco to Mwenge to Bunju....Ilitakiwa waanze na Mwendokasi waachane kwanza na Salenda maana hilo daraja ni Pambo na 50% tu za wakubwa.
 
Hongera sana rais Dr.Magufuli kwa ujenzi wa daraja hilo, tunaomba na Busisi lijengwe daraja ili kutupunguzia maswaibu tunayoyapata sisi wapiga kura wako wenye kura zisizokuwa na mashaka hata kidogo.
 
Mkuu nadhani lengo kuu la kujenga daraja huwa siyo kubadilisha mandhari bali kurahisisha mawasiliano.
 
Umuhimu mnao uona hapo ufipa ni wa biashara ya mwenyekiti wenu tu ( Madawa)
Kuzaliwa tu nchi moja na mwenye akili mdogo kama huyu no laana kubwa. Kweli wazo alilotoa mdau na mapendekezo hapo juu Kwako ukaona hiIo ndio la maana?? Huenda kweli mikesha ya mwenge imeleta kizazi cha hovyo kisichojielewa kama huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…