Sioni umuhimu wa uwanja kwa yanga

Sioni umuhimu wa uwanja kwa yanga

Hivi huo uwanja utajengwa kweli au ni mbange tu?

Hata hibyo kama wapo serious kweli, wakijenga uwanja watafaidika zaidi kuliko kuendelea kukodi viwanja kama ilivyo kwa sasa...

Wakiwa na uwanja mzuri, ndani yake unaweza ukawa na sports centre, na kwa lile jengo lao la Jangwani wanaweza wakalitumia kama hostels za wachezaji...
Makubaliano na NMB hayaoneshi kuwa na sport center ni uwanja TU
Anyway maoni yangu uwanja waendelee Kutumia Benjamin as mechi kubwa zote watacheza hapo maana huwezi Jenga uwanja wa capacity ya 20000 ukatosha derby game na Azam siku ya mwananchi n.k so bado wataendelea kukodi uwanja
 
Je uwanja unaweza kutumika kuongeza kipato ?

Wakicheza hivyo viwanja vingine hawalipi ?; Je gharama za ku-maintain uwanja ni kubwa au ndogo kulingana na malipo wanayotoa au mgao wanaogawana wakicheza kiwanja kingine...

Na je wana uhakika wa kujaza huu uwanja mpya au utageuka kuwa ghofu na matunzo ya uchafu...

Hizo academy na sports center haziwezi kufanyika / kufanyiwa kwenye huu uwanja mpya ?

Hayo yote inabidi yazingatiwe kwenye considerations ni vigumu kusema idea fulani ni nzuri au mbaya bila upembuzi yakinifu...;

Binafsi naona Tanzania sio kama UK.., watu hawana utamaduni wa kwenda uwanjani kwa sana.., hivyo TFF iwekeze kuhakikisha kila mkoa / wilaya kuna viwanja standard vya kutumia na timu zote kwenye ligi...
 
Makubaliano na NMB hayaoneshi kuwa na sport center ni uwanja TU
Anyway maoni yangu uwanja waendelee Kutumia Benjamin as mechi kubwa zote watacheza hapo maana huwezi Jenga uwanja wa capacity ya 20000 ukatosha derby game na Azam siku ya mwananchi n.k so bado wataendelea kukodi uwanja

Mara nyingi uwanja unakuwa na indoor facilities kama Gym, swimming pool, ukumbi wa kukutana na wanahabari na vingine ambavyo sport center inakuwa navyo...

Advantage ya Yanga tayari wana jengo pale kwao, ambalo linaweza tumika kwa accomodation...
 
Eneo la jangwani kuna mradi wa Benki ya Dunia..utakaohusu mto ule pamoja na kuinua ile barabara..Mradi utainufaisha Yanga ki Miundombinu

Ukiona Yanga wanakuambia watajenga uwanja pale ni sawa kwani tayari hapo kuna mradi
Mkuu elezea physically kabisa. Una maanisha kwenye huo mradi wa WB kuna kujenga kiwanja cha mpira wa miguu wa YANGA?
 
Wakuu haya ni maoni yangu kiafrika sioni umuhimu wa Yanga kuwa na uwanja wake wakati Kuna viwanja vitatu kwa dar anavyoweza Kutumia bila shida badala yake nadhani hiyo pesa ingejenga sport center nzuri itakayokuwa na hostel nzuri za pre season hospital ndogo ya kuhudumia wachezaji na wafanyakazi wake viwanja vizuri mfano wa ule wa kidongo chakundu kwa ajili ya mazoezi na gym ya kisasa
Kama pesa itabaki basi waboreshe mishahara ya wachezaji ili kufikia lengo la kuwa club kubwa afrika

Tuendelee Kutumia uwanja wa Benjamin na Chamazi ikumbukwe pia Serikali inaelekea kujenga uwanja Arusha na Dodoma ambapo pia tunaweza kuvitumia pale kunapokuwa na dharula
Hakuna haja ya uwanja kwa sasa
Uko sahihi mkuu mi naamini ni Bora club ziwekeze kwenye facilities zingine kama academy, gym, viwanja vya mazoezi na namna Bora ya kuuza bidhaa ili club ipate faida
 
Wakuu haya ni maoni yangu kiafrika sioni umuhimu wa Yanga kuwa na uwanja wake wakati Kuna viwanja vitatu kwa dar anavyoweza Kutumia bila shida badala yake nadhani hiyo pesa ingejenga sport center nzuri itakayokuwa na hostel nzuri za pre season hospital ndogo ya kuhudumia wachezaji na wafanyakazi wake viwanja vizuri mfano wa ule wa kidongo chakundu kwa ajili ya mazoezi na gym ya kisasa
Kama pesa itabaki basi waboreshe mishahara ya wachezaji ili kufikia lengo la kuwa club kubwa afrika

Tuendelee Kutumia uwanja wa Benjamin na Chamazi ikumbukwe pia Serikali inaelekea kujenga uwanja Arusha na Dodoma ambapo pia tunaweza kuvitumia pale kunapokuwa na dharula
Hakuna haja ya uwanja kwa sasa
Tujenge tu, Tusaidie na Nchi kuendelea
 
Top top Africa Ahly
Bingwa wa CAFCL x 11
Hana uwanja
Inter Milan na AC Milan
Hazina viwanja
Kwaiyo Ihefu imezizidi ukubwa hizo team

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahisi wakuelewe ila uwanja ni project ya muhemko bado uwanja huo hauwezi ku host derby ,Caf matches,siku ya mwananchi ,game na azam n.k hizi zote tutaenda kwa Mkapa
Sport center ni muhimu kwa Sasa kiafrika viwanja vya serikali vinatosha kufanyia mechi zote havina kazi baada ya mechi za team ya taifa
 
Je uwanja unaweza kutumika kuongeza kipato ?

Wakicheza hivyo viwanja vingine hawalipi ?; Je gharama za ku-maintain uwanja ni kubwa au ndogo kulingana na malipo wanayotoa au mgao wanaogawana wakicheza kiwanja kingine...

Na je wana uhakika wa kujaza huu uwanja mpya au utageuka kuwa ghofu na matunzo ya uchafu...

Hizo academy na sports center haziwezi kufanyika / kufanyiwa kwenye huu uwanja mpya ?

Hayo yote inabidi yazingatiwe kwenye considerations ni vigumu kusema idea fulani ni nzuri au mbaya bila upembuzi yakinifu...;

Binafsi naona Tanzania sio kama UK.., watu hawana utamaduni wa kwenda uwanjani kwa sana.., hivyo TFF iwekeze kuhakikisha kila mkoa / wilaya kuna viwanja standard vya kutumia na timu zote kwenye ligi...
Naamini hapo kwenye tff umemaanisha wizara ya michezo
Njia ya kwanza ni kuishurutisha ccm kuendeleza viwanja vyake au iviachie kwa halmashauri za miji viendelezwe kwa ajili ya manufaa ya taifa zima
 
Mara nyingi uwanja unakuwa na indoor facilities kama Gym, swimming pool, ukumbi wa kukutana na wanahabari na vingine ambavyo sport center inakuwa navyo...

Advantage ya Yanga tayari wana jengo pale kwao, ambalo linaweza tumika kwa accomodation...
Kama itakuwa na hivyo vitu basi litakuwa jambo la msingi ila hostel zisiwe lile jengo lile tayari limeishaingia kwenye mfumo wa Mali kale libaki kama kivutio Kisha ndani ya uwanja pawe na hostels , gyms, swimming,mahali pa indoor grounds n.k
Uwanja wa Benjamin Mkapa hauna gym Wala hotel au hostel kifupi hakuna uwanja wenye hizo facilities zote labda azam pekee ndio Kuna gym na hostels
 
Wakuu haya ni maoni yangu kiafrika sioni umuhimu wa Yanga kuwa na uwanja wake wakati Kuna viwanja vitatu kwa dar anavyoweza Kutumia bila shida badala yake nadhani hiyo pesa ingejenga sport center nzuri itakayokuwa na hostel nzuri za pre season hospital ndogo ya kuhudumia wachezaji na wafanyakazi wake viwanja vizuri mfano wa ule wa kidongo chakundu kwa ajili ya mazoezi na gym ya kisasa
Kama pesa itabaki basi waboreshe mishahara ya wachezaji ili kufikia lengo la kuwa club kubwa afrika

Tuendelee Kutumia uwanja wa Benjamin na Chamazi ikumbukwe pia Serikali inaelekea kujenga uwanja Arusha na Dodoma ambapo pia tunaweza kuvitumia pale kunapokuwa na dharula
Hakuna haja ya uwanja kwa sasa
Siku ukija kuishi kwenye nyumba uliyoijenga kwa jasho lako, hutokuja tena kumiliki mawazo ya aina hii.
 
Uko sahihi mkuu mi naamini ni Bora club ziwekeze kwenye facilities zingine kama academy, gym, viwanja vya mazoezi na namna Bora ya kuuza bidhaa ili club ipate faida
Asante kwa kuona hili na kuboresha maslahi ya wachezaji nakumbuka Totenham wakiwa wanajenga uwanja wao wa Sasa walishindwa kabisa kununua wachezaji kwa yanga ya Sasa ikiingia kwenye hiyo project tutaletewa kina Guede na Mkude wengi kweli wakati tunataka angalau hadi 2027 tuwe tunaitafuta final ya Caf regularly
Anyway tuwaachie wao si ni maoni tu
 
Back
Top Bottom