Sioni uzuri huo wa 'Sure Boy' ambao Wachambuzi wa Michezo leo mnamsifia nao. Wilson Oruma acha Unafiki na Kuichukia mno Simba SC

Sioni uzuri huo wa 'Sure Boy' ambao Wachambuzi wa Michezo leo mnamsifia nao. Wilson Oruma acha Unafiki na Kuichukia mno Simba SC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Huko tunakoelekea mtatusababisha akina GENTAMYCINE tusiovumilia Upumbavu na Unafiki wenu tuwe tunakuja Kuwazaba ( Kuwawamba ) Vibao huko Studioni mliko kwani tumeshawachoka sasa.

Eti Kiungo Aboubakary Salum 'Sure Boy' ndiyo Kiungo bora wa Uchezeshaji kuwahi kutokea Tanzania. Hivi nyie Wachambuzi wa Michezo katika Redio za Tanzania huwa mnavuta au mnavutishwa Kwanza Bange au?

Wewe Mchambuzi Wilson Oruma ambaye huko Azam Media wamekutema na kila uendako kutokana na Unafiki wako huwa hudumu na sasa unapiga tu 'Deiwaka' mara Clouds FM na sasa EFM siyo Wewe ambaye mwaka jana ulisema kuwa Tanzania nzima hakuna Kiungo bora na Mchezeshaji kama Feisal Salum Fei Toto? Leo tena imekuwaje ghafla umebadili ulichokisema? au unadhani akina GENTAMYCINE ni wasahaulifu n hatutunzi Kumbukumbu zenu mkiwa mnaongea?

Halafu Wewe Wilson Oruma ni kwanini kila ukipewa nafasi ya Kuchambua ni lazima tu utainanga na utaonyesha Chuki zako za wazi wazi kwa Simba SC? Hivi huwa hujishtukii au kuhisi pia kuwa wenye Akili na wenye uwezo wa Kuuchambua Mpira kuliko Wewe tayari tumeshakudharau Kitambo tu?

Wilson Oruma (Mchambuzi Mnafiki na wa hovyo hovyo) Tanzania hivi umeshajiuliza ni kwanini wana Simba SC wengi ( nami GENTAMYCINE nikiwemo) tunampenda sana Mchambuzi Msomi, Mweledi, mwana Yanga SC 'lia lia', halafu anaujua Mpira wenyewe na Kaucheza kwa Kiwango cha Kimataifa Ally Mayai Tembele? Tafadhali mtafute ili ujifunze vingi Kwake kwani hana Uyanga bali husimamia Uhalisia, Uwazi na Ukweli kila achambuapo Studioni na Redioni.

Wakati ukihangaika Kumsifia na Kumpamba Kiungo Salum Aboubakary 'Sure Boy' kuwa ndiyo Kiungo bora nami GENTAMYCINE nakuambia kuwa huyu Mchezaji wako hajafikia hata tu 15% ya uwezo na Kipaji alichokuwa nacho Haruna Niyonzima, Thabani Kamusoko na Marehemu Godfrey Bonny.

Halafu ulivyo Mnafiki Mchambuzi wa hovyo hovyo na mwenye Uyanga uliopitiliza umesema kuwa Kiungo Salum Aboubakary'Sure Boy' anaweza Kucheza Timu yoyote ile nchini (tena anaanza) una uhakika? Wewe Jamaa nilikuwa nakuheshimu ila kwa Upuuzi huu ulionao sasa natangaza rasmi Kukupuuza na Kukudharau.

Yanga SC kama kuna nafasi ya Ajira hapo Klabuni Kwenu hata tu ya Kuwafulia Boksa zao akina Bangala, Aucho na Ntibazonkiza hebu mpeni (muajirini) huyu Mchambuzi Wilson Oruma kwani 'anajipendekeza' Kwenu mpaka anaboa na Kutupandisha Hasira tu tukiwa tunamsikiliza.
 
Hao wachambuzi wamejaa ujinga waliposikia simba wanataka kuchangisha kujenga uwanja wote wakawa wanaponda wakapia simu rage kupata maoni yake, nilitegemea wangemwuliza rage ule mpango wake wa kuleta waturuki kujenga uwanja bunju akiwa rais wa simba uliishia wapi maana alisema ameshaingia nao mkataba badala yake wakawa wanamwuliza maswali ya kinafiki
 
Hao wachambuzi wamejaa ujinga waliposikia simba wanataka kuchangisha kujenga uwanja wote wakawa wanaponda wakapia simu rage kupata maoni yake, nilitegemea wangemwuliza rage ule mpango wake wa kuleta waturuki kujenga uwanja bunju akiwa rais wa simba uliishia wapi maana alisema ameshaingia nao mkataba badala yake wakawa wanamwuliza maswali ya kinafiki
Wachambuzi uchwara wote wako kwenye payroll ya GSM.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Huko tunakoelekea mtatusababisha akina GENTAMYCINE tusiovumilia Upumbavu na Unafiki wenu tuwe tunakuja Kuwazaba ( Kuwawamba ) Vibao huko Studioni mliko kwani tumeshawachoka sasa.

Eti Kiungo Aboubakary Salum 'Sure Boy' ndiyo Kiungo bora wa Uchezeshaji kuwahi kutokea Tanzania. Hivi nyie Wachambuzi wa Michezo katika Redio za Tanzania huwa mnavuta au mnavutishwa Kwanza Bange au?

Wewe Mchambuzi Wilson Oruma ambaye huko Azam Media wamekutema na kila uendako kutokana na Unafiki wako huwa hudumu na sasa unapiga tu 'Deiwaka' mara Clouds FM na sasa EFM siyo Wewe ambaye mwaka jana ulisema kuwa Tanzania nzima hakuna Kiungo bora na Mchezeshaji kama Feisal Salum Fei Toto? Leo tena imekuwaje ghafla umebadili ulichokisema? au unadhani akina GENTAMYCINE ni wasahaulifu n hatutunzi Kumbukumbu zenu mkiwa mnaongea?

Halafu Wewe Wilson Oruma ni kwanini kila ukipewa nafasi ya Kuchambua ni lazima tu utainanga na utaonyesha Chuki zako za wazi wazi kwa Simba SC? Hivi huwa hujishtukii au kuhisi pia kuwa wenye Akili na wenye uwezo wa Kuuchambua Mpira kuliko Wewe tayari tumeshakudharau Kitambo tu?

Wilson Oruma (Mchambuzi Mnafiki na wa hovyo hovyo) Tanzania hivi umeshajiuliza ni kwanini wana Simba SC wengi ( nami GENTAMYCINE nikiwemo) tunampenda sana Mchambuzi Msomi, Mweledi, mwana Yanga SC 'lia lia', halafu anaujua Mpira wenyewe na Kaucheza kwa Kiwango cha Kimataifa Ally Mayai Tembele? Tafadhali mtafute ili ujifunze vingi Kwake kwani hana Uyanga bali husimamia Uhalisia, Uwazi na Ukweli kila achambuapo Studioni na Redioni.

Wakati ukihangaika Kumsifia na Kumpamba Kiungo Salum Aboubakary 'Sure Boy' kuwa ndiyo Kiungo bora nami GENTAMYCINE nakuambia kuwa huyu Mchezaji wako hajafikia hata tu 15% ya uwezo na Kipaji alichokuwa nacho Haruna Niyonzima, Thabani Kamusoko na Marehemu Godfrey Bonny.

Halafu ulivyo Mnafiki Mchambuzi wa hovyo hovyo na mwenye Uyanga uliopitiliza umesema kuwa Kiungo Salum Aboubakary'Sure Boy' anaweza Kucheza Timu yoyote ile nchini (tena anaanza) una uhakika? Wewe Jamaa nilikuwa nakuheshimu ila kwa Upuuzi huu ulionao sasa natangaza rasmi Kukupuuza na Kukudharau.

Yanga SC kama kuna nafasi ya Ajira hapo Klabuni Kwenu hata tu ya Kuwafulia Boksa zao akina Bangala, Aucho na Ntibazonkiza hebu mpeni (muajirini) huyu Mchambuzi Wilson Oruma kwani 'anajipendekeza' Kwenu mpaka anaboa na Kutupandisha Hasira tu tukiwa tunamsikiliza.
Katika kiungo wa hovyo TANZANIA ni sure boy... Mzee wa back pass 🚮
 
Sasa utamlinganisha sureboy na Kanoute[emoji16]
Baada ya Kujificha hatimaye sasa Umeshaingia 'Mtegoni' na Kujiweka ( Kujipambanua ) wazi kuwa Wewe ni Shabiki wa Yanga SC na siyo mwana Simba SC Mwenzetu.

Nilikushtukia tokea katika ule Uzi wangu wa Kuuomba Uongozi wa Klabu yangu pendwa ya Simba SC isiachane ( isimteme ) Mshambuliaji na Winga mahiri Ousmane Papi Sakho.
 
Huko tunakoelekea mtatusababisha akina GENTAMYCINE tusiovumilia Upumbavu na Unafiki wenu tuwe tunakuja Kuwazaba ( Kuwawamba ) Vibao huko Studioni mliko kwani tumeshawachoka sasa.

Eti Kiungo Aboubakary Salum 'Sure Boy' ndiyo Kiungo bora wa Uchezeshaji kuwahi kutokea Tanzania. Hivi nyie Wachambuzi wa Michezo katika Redio za Tanzania huwa mnavuta au mnavutishwa Kwanza Bange au?

Wewe Mchambuzi Wilson Oruma ambaye huko Azam Media wamekutema na kila uendako kutokana na Unafiki wako huwa hudumu na sasa unapiga tu 'Deiwaka' mara Clouds FM na sasa EFM siyo Wewe ambaye mwaka jana ulisema kuwa Tanzania nzima hakuna Kiungo bora na Mchezeshaji kama Feisal Salum Fei Toto? Leo tena imekuwaje ghafla umebadili ulichokisema? au unadhani akina GENTAMYCINE ni wasahaulifu n hatutunzi Kumbukumbu zenu mkiwa mnaongea?

Halafu Wewe Wilson Oruma ni kwanini kila ukipewa nafasi ya Kuchambua ni lazima tu utainanga na utaonyesha Chuki zako za wazi wazi kwa Simba SC? Hivi huwa hujishtukii au kuhisi pia kuwa wenye Akili na wenye uwezo wa Kuuchambua Mpira kuliko Wewe tayari tumeshakudharau Kitambo tu?

Wilson Oruma (Mchambuzi Mnafiki na wa hovyo hovyo) Tanzania hivi umeshajiuliza ni kwanini wana Simba SC wengi ( nami GENTAMYCINE nikiwemo) tunampenda sana Mchambuzi Msomi, Mweledi, mwana Yanga SC 'lia lia', halafu anaujua Mpira wenyewe na Kaucheza kwa Kiwango cha Kimataifa Ally Mayai Tembele? Tafadhali mtafute ili ujifunze vingi Kwake kwani hana Uyanga bali husimamia Uhalisia, Uwazi na Ukweli kila achambuapo Studioni na Redioni.

Wakati ukihangaika Kumsifia na Kumpamba Kiungo Salum Aboubakary 'Sure Boy' kuwa ndiyo Kiungo bora nami GENTAMYCINE nakuambia kuwa huyu Mchezaji wako hajafikia hata tu 15% ya uwezo na Kipaji alichokuwa nacho Haruna Niyonzima, Thabani Kamusoko na Marehemu Godfrey Bonny.

Halafu ulivyo Mnafiki Mchambuzi wa hovyo hovyo na mwenye Uyanga uliopitiliza umesema kuwa Kiungo Salum Aboubakary'Sure Boy' anaweza Kucheza Timu yoyote ile nchini (tena anaanza) una uhakika? Wewe Jamaa nilikuwa nakuheshimu ila kwa Upuuzi huu ulionao sasa natangaza rasmi Kukupuuza na Kukudharau.

Yanga SC kama kuna nafasi ya Ajira hapo Klabuni Kwenu hata tu ya Kuwafulia Boksa zao akina Bangala, Aucho na Ntibazonkiza hebu mpeni (muajirini) huyu Mchambuzi Wilson Oruma kwani 'anajipendekeza' Kwenu mpaka anaboa na Kutupandisha Hasira tu tukiwa tunamsikiliza.

kuna Sure boy mpya nchi hii zaidi ya Aboubakari Salum sure boy aliyetupia bao mbili ndani ya Dakika 4 za mwisho na kuwaduwaza El Merreikh SC pale U/Taifa mwaka 1986?

Zamoyoni Mogella Golden Boy

Aboubakari Salum Sure Boy

ibaki hivyo
 
Kuna shoga uko juu kabisha kuwa sureboy hawezi cheza team yeyote Tanzania
Paw, Moderator na JamiiForums hii Lugha ya Kuitana Shoga au Mashoga imeruhusiwa hapa? Na hii ni mara ya Pili ananiita Shoga.

Nimeshaliripoti hili Kwenu kwa Maamuzi yenu ya Kisheria ambayo mtayaona yanafaa Kwake na yanayoliongoza pia Jamvi hili.
 
Hao wachambuzi wamejaa ujinga waliposikia simba wanataka kuchangisha kujenga uwanja wote wakawa wanaponda wakapia simu rage kupata maoni yake, nilitegemea wangemwuliza rage ule mpango wake wa kuleta waturuki kujenga uwanja bunju akiwa rais wa simba uliishia wapi maana alisema ameshaingia nao mkataba badala yake wakawa wanamwuliza maswali ya kinafiki
Wakiongozwa na Rais wa Watangazaji Wanafiki na wanaoichukia Simba SC katika Redio zote hapa Tanzania Mtangazaji Maulid Baraka Kitenge.
 
Back
Top Bottom