GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Wilson Oruma anasema ni Bora TZ nzima.Katika kiungo wa hovyo TANZANIA ni sure boy... Mzee wa back pass 🚮
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wilson Oruma anasema ni Bora TZ nzima.Katika kiungo wa hovyo TANZANIA ni sure boy... Mzee wa back pass 🚮
Anajitekenya na kucheka mwenyewe [emoji3]Sasa utamlinganisha sureboy na Kanoute[emoji16]
Hata angekuwa kiungo box to box, Kanoute ni kawaida sanaa kwa wazawa wengi tu hapa bongoKajifunze mpira mdogo angu uache kuharisha humu, aliyekwambia kanoute ni kiungo mchezeshaji ni nani ??.
.Wakiongozwa na Rais wa Watangazaji Wanafiki na wanaoichukia Simba SC katika Redio zote hapa Tanzania Mtangazaji Maulid Baraka Kitenge.
Angekuwa ni wa Kawaida hivyo Siku ile katika Kariakoo Derby akina Aucho na Bangala wenu wangekuwa wanapoteana tu pale kwa Mkapa Temeke?Hata angekuwa kiungo box to box, Kanoute ni kawaida sanaa kwa wazawa wengi tu hapa bongo
Huyo kitenge ndiye alikuwa mc siku ya wananchi akamtangaza morison ni mchezaji wa yanga matokeo yake cas ikawaumbuaWakiongozwa na Rais wa Watangazaji Wanafiki na wanaoichukia Simba SC katika Redio zote hapa Tanzania Mtangazaji Maulid Baraka Kitenge.
Hafiki ata kwa Juma Nyangi wa Mtibwa sugarHata angekuwa kiungo box to box, Kanoute ni kawaida sanaa kwa wazawa wengi tu hapa bongo
Mwanaume kulia kulia kuitaji msaada umethibithisha madai yangu kuwa wewe ni wali waliwaPaw, Moderator na JamiiForums hii Lugha ya Kuitana Shoga au Mashoga imeruhusiwa hapa? Na hii ni mara ya Pili ananiita Shoga.
Nimeshaliripoti hili Kwenu kwa Maamuzi yenu ya Kisheria ambayo mtayaona yanafaa Kwake na yanayoliongoza pia Jamvi hili.
Siku hiyo hamna cha aucho, bangala wala feitoto wote walikuwa wanaombea mpira uishe mapemaAngekuwa ni wa Kawaida hivyo Siku ile katika Kariakoo Derby akina Aucho na Bangala wenu wangekuwa wanapoteana tu pale kwa Mkapa Temeke?
Je, ulimsikia Kocha wako 'Fundi' Nasredinne Nabi katika ile 'post match interview' yake na Azam Tv aliposema kuwa waliomnyima Ushindi Siku ile walikuwa ni Kipa Aishi Manula, Beki Joash Onyango na Kiungo Saido Kanoute huyu unayemdharau hapa?
Kocha Nabi na Wewe nani kasomea Soka?
Wewe umesomea soka wapi mpaka ulete uhayawani kujifanya unajua kumbe una kigugumizi maskini 😀😀Angekuwa ni wa Kawaida hivyo Siku ile katika Kariakoo Derby akina Aucho na Bangala wenu wangekuwa wanapoteana tu pale kwa Mkapa Temeke?
Je, ulimsikia Kocha wako 'Fundi' Nasredinne Nabi katika ile 'post match interview' yake na Azam Tv aliposema kuwa waliomnyima Ushindi Siku ile walikuwa ni Kipa Aishi Manula, Beki Joash Onyango na Kiungo Saido Kanoute huyu unayemdharau hapa?
Kocha Nabi na Wewe nani kasomea Soka?
Sio kila mtanzania anashabikia Simba au yanga ongoa izo primitive mentality kichwani mwakoBaada ya Kujificha hatimaye sasa Umeshaingia 'Mtegoni' na Kujiweka ( Kujipambanua ) wazi kuwa Wewe ni Shabiki wa Yanga SC na siyo mwana Simba SC Mwenzetu.
Nilikushtukia tokea katika ule Uzi wangu wa Kuuomba Uongozi wa Klabu yangu pendwa ya Simba SC isiachane ( isimteme ) Mshambuliaji na Winga mahiri Ousmane Papi Sakho.
Majitu kama nyie ndio mnafanya mashabiki wa simba tuonekane hatuna akili..Siku hiyo hamna cha aucho, bangala wala feitoto wote walikuwa wanaombea mpira uishe mapema
Simba haiwezi kuwa na shabiki kilaza kama weweMajitu kama nyie ndio mnafanya mashabiki wa simba tuonekane hatuna akili..
Lakini mbaya zaidi ina shabiki kubwa jinga Kama wewe sijui walikutoa wapi?Simba haiwezi kuwa na shabiki kilaza kama wewe
Angekuwa ni wa Kawaida hivyo Siku ile katika Kariakoo Derby akina Aucho na Bangala wenu wangekuwa wanapoteana tu pale kwa Mkapa Temeke?
Je, ulimsikia Kocha wako 'Fundi' Nasredinne Nabi katika ile 'post match interview' yake na Azam Tv aliposema kuwa waliomnyima Ushindi Siku ile walikuwa ni Kipa Aishi Manula, Beki Joash Onyango na Kiungo Saido Kanoute huyu unayemdharau hapa?
Kocha Nabi na Wewe nani kasomea Soka?
Wewe ni shabiki wa timu gani mkuu ??.Hata angekuwa kiungo box to box, Kanoute ni kawaida sanaa kwa wazawa wengi tu hapa bongo