Aliyekuambia sikujui au sijakujua ni nani wakati aliyekuambia kuhusu Mimi ni Rafiki yangu ( tena Mtani wangu ) wa Kihaya ambaye mara kwa mara nawasiliana nae?
Mwenyewe unajiona bonge la Mjanja au? Kwa taarifa yako tu sasa hii ID yangu na Kunijua siyo Wewe tu pekee au 'Washkaji' zangu baadhi wa Darfur Hostel SAUT bali hata Walimu ( Wahadhiri wangu Wapendwa ) Dk. Kitima ( Former Vice Chancellor wa SAUT ), Dk. Mfumbusa, Dk. Ayub Ryoba, Dk. Ng'atigwa, Dk. Mataba, Dk. Mkosamali, Dk. Matumaini na Dk. Kaijanangoma wanaijua na ni 'Followers' wangu pia hapa je, umeshaona 'Wakishoboka' Kishamba ( Kipuuzi ) kama Wewe?
Umaarufu wangu unakutesa sana. Pole!