Sioni uzuri huo wa 'Sure Boy' ambao Wachambuzi wa Michezo leo mnamsifia nao. Wilson Oruma acha Unafiki na Kuichukia mno Simba SC

Sioni uzuri huo wa 'Sure Boy' ambao Wachambuzi wa Michezo leo mnamsifia nao. Wilson Oruma acha Unafiki na Kuichukia mno Simba SC

Masikini wa Akili na Kipato kama Wewe wala huwa hamnisumbui. Utabadili sana ID ili Kunishambulia pamoja na partner wako katika Upumbavu Its Pancho mkidhani mnaniweza au mtanififisha Umaarufu wangu hapa JamiiForums wakati kumbe mnavyohangaika nami Kutwa hapa ndiyo automatically mnanifanya nijulikane, nikubalike zaidi na kila Siku tu idadi ya Followers wangu inaongezeka.
Sawa kabwili
 
Mbona unajikaanga Sana?
Rudi kwenye takwimu za mchezo ule ndipo utajua nan alifika Mara nyingi golin kwa mwenzie .
Hakuna Cha Djuma kupanda Wala Cha Aucho wala Bangala Wala fei Wala mayele .
Ile game mchezaj wa yanga ambae alikua na madhara kidogo Ni yule Mrundi Ntibanzokiza tu .

Nikiri tu waz Simba hatuna wafungaji Makin Hilo ndio tatizo ,lakin tungekua na forward fundi Ile game kipindi cha pili mlikua mnakufa nyingi Sana.

Fei anayeonekana kinara kwenye game za mikoan huko lakin akikutana na timu km Simba Au River ya Nigeria anakua Hana utofaut na wale wachezaji wa chandimu.

Ajabu Sasa kila siku wanamuimba Fei eti Ni bonge la kiungo wakati hawez kuibeba timu began linapokuja swala la mechi za wanaume ukiachana na hizi za wavulana.
Hata kama fei hajui ila kamzidi kanoute
 
Namba hazijawahi kudanganya aisee[emoji28][emoji28].
Akikujibu kwa hoja bila taarabu au majungu, naomba unitag mkuu
Yaani hawa jamaa wakianza kujisifia kuwa hamna cha Aucho wala Bangala eti Kanoute kawapoteza, utafikiri vile Simba walishinda mechi na pia yanga wakashindwa kutengeneza nafasi za magoli kiasi kwamba Aucho na Bangala waonekane ni mizigo tu. Kumbe ukweli wa mambo Yanga walitengeneza nafasi nyingi sana za magoli kupitia hao hao wakina Bangala na Aucho isipokuwa umakini wa umaliziaji ulikuwa ndio kilichopelekea yanga kutopata goli.
 
Tangu nianze kujitambua sijawahi kuona shabiki wa yanga mwenye akili timamu, sijui kwa nini yani.
Hata Manara aliwahi sema hili, mashabiki wa yanga wenye akili n JK ba baba ake yeye mzazi, Sunday manara.
Wengine wote n mazumbukuku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua tofauti ya kiungo mchezeshaji/mshambuliaji ( attacking Midfielder)
Na;

Kiungo mkabaji ( Defensive Midfielder)?

Kanoute anacheza namba 6 au 8( kama box- box midfielder).

Salum Abubakar "Sureboy" anacheza namba 10.

Jukumu la sure boy ni kutengeneza nafasi za magoli wakati jukumu la kanouté ni kuzuia.

Umeona tofauti? Usiwe mbuzi [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliyeniumba nacho ndiyo hakukupa Wewe. Aliyekudanganya kuwa sikujui au sijakujua ni nani? Mimi Masikini je, Wewe huo Utajiri ulikuwa nao lini?

Tena nakurahisishia Kazi kwakuwa unataka Sifa Kuwaaminisha Members wa JamiiForums kuwa unanijua sana huenda kwakuwa nilikuwa nakukaza Nsumba nimekuruhusu weka hadi Picha yangu na Majina yangu yote yataje haoa sawa?

Nimekuruhusu Pumbavu Wewe. Kukunyamazia kila unichokozapo unajiona Mshindi au unaniweza? Nipo katika hilo WhatsApp Group lenu na nina Taarifa zako za Kutosha tu pamoja na Kashfa yako Moja. Endelea Kujidanganya.

Hivi kuwa na Kigugumizi ( Stammerer / Speech Impaired ) Kwako ni Jambo la Kukushangaza na Kuliimba kila mara?

Hivi katika Biblia Moses ( Musa ) hakuwa nacho? Mwenyezi Mungu hakumtumia katika Kuwakomboa Wayahudi pamoja na kwamba Kaka yake Aron alikuwa hana hicho Kigugumizi? JamiiForums Co Founder Mike Mushi hana? Rais Museveni wa Uganda na aliyekuwa Rais wa Congo DR hawakuwa nacho? Je, kiliwazuia Wao kufanya Kazi zao kwa Ufanisi.

Kila uingiapo hapa JamiiForums ukiona tu nimeanzisha Uzi ( Mada ) unaacha Kuichangia na unachokijua ni Kunishambulia, kuonyesha kuwa unanijua sana na kungangania tu kuwa Nina Kigugumizi utadhani Mwanadamu kuwa nacho ni Kosa la Jinai.

Mbona hautangazi kuwa nimekuzidi IQ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeeeeh tena kashfa gani hiyo hebu eleza hapa tujue.
 
Masikini wa Akili na Kipato kama Wewe wala huwa hamnisumbui. Utabadili sana ID ili Kunishambulia pamoja na partner wako katika Upumbavu Its Pancho mkidhani mnaniweza au mtanififisha Umaarufu wangu hapa JamiiForums wakati kumbe mnavyohangaika nami Kutwa hapa ndiyo automatically mnanifanya nijulikane, nikubalike zaidi na kila Siku tu idadi ya Followers wangu inaongezeka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu mbona kama vile unakaribia kupiga Ikulu? Japo Yeye ni Mwanaume ila ana Kashfa yake moja hivi nimepenyezewa isiyo mbali na huu ( huo ) Umama ulioutaja hapa.

Tunaomjua vyema tunavyompotezea anaona kama vile tunamuogopa wakati tunamsanifu na Kumdharau sana tu.

Cc: Its Pancho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapa patamu sasa.
 
Mbona unajikaanga Sana?
Rudi kwenye takwimu za mchezo ule ndipo utajua nan alifika Mara nyingi golin kwa mwenzie .
Hakuna Cha Djuma kupanda Wala Cha Aucho wala Bangala Wala fei Wala mayele .
Ile game mchezaj wa yanga ambae alikua na madhara kidogo Ni yule Mrundi Ntibanzokiza tu .

Nikiri tu waz Simba hatuna wafungaji Makin Hilo ndio tatizo ,lakin tungekua na forward fundi Ile game kipindi cha pili mlikua mnakufa nyingi Sana.

Fei anayeonekana kinara kwenye game za mikoan huko lakin akikutana na timu km Simba Au River ya Nigeria anakua Hana utofaut na wale wachezaji wa chandimu.

Ajabu Sasa kila siku wanamuimba Fei eti Ni bonge la kiungo wakati hawez kuibeba timu began linapokuja swala la mechi za wanaume ukiachana na hizi za wavulana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tangu nianze kujitambua sijawahi kuona shabiki wa yanga mwenye akili timamu, sijui kwa nini yani.
Hapo umewatusi hadi ndugu zako waliopo ndani ya ukoo wenu wanaoshabikia timu ya yanga
 
Ukweli ulionao Wewe ni upi zaidi ya Wivu na Ushamba wa Kukereka na 'Fame' yangu ya Kutukuka hapa JamiiForums? Tokea uanze Kunishambulia na kujifanya unanijua sana umefaidika na nini labda?

Nakustahi tu kwa Heshima ya Jamvi hili na endelea kujiona unaniweza au umeniweza au una uwezo wa Kushindana nami Jabali.
Duuuuuh
 
Nilimkaza Yeye pamoja na Wanae Wawili Asha na Amina. au labda ulitaka Burudani ile anipe Mama yako Mzazi labda ndiyo ungeridhika na kuacha Kuliongelea hili kila mara hapa JamiiForums?

Je, una Swali lingine tena? Mbona huulizii na Yule Mama aliyekuwa ana Cafeteria yake ambaye nae nilimkaza hadi akanipenda na nikawa Nakula 'Misotojo' yake pale Bure kabisa huku Wewe ukinunua?

Ukimaliza Kuniuliza haya Maswali yako yote nami nitaomba unipe ruhusa ya Kukuuliza vipi Yule Mwarabu wako pale Mwanza mliishia nae wapi na mbona kila ulipokuwa ukienda ukirejea Darfur Hostel ulikuwa Umelegea sana na Safari zako za kwenda Chooni zilikuwa hazina idadi wala udhibiti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kimeumanaaaah, hii ndo JF uwiiiiih
 
Aliyekuambia sikujui au sijakujua ni nani wakati aliyekuambia kuhusu Mimi ni Rafiki yangu ( tena Mtani wangu ) wa Kihaya ambaye mara kwa mara nawasiliana nae?

Mwenyewe unajiona bonge la Mjanja au? Kwa taarifa yako tu sasa hii ID yangu na Kunijua siyo Wewe tu pekee au 'Washkaji' zangu baadhi wa Darfur Hostel SAUT bali hata Walimu ( Wahadhiri wangu Wapendwa ) Dk. Kitima ( Former Vice Chancellor wa SAUT ), Dk. Mfumbusa, Dk. Ayub Ryoba, Dk. Ng'atigwa, Dk. Mataba, Dk. Mkosamali, Dk. Matumaini na Dk. Kaijanangoma wanaijua na ni 'Followers' wangu pia hapa je, umeshaona 'Wakishoboka' Kishamba ( Kipuuzi ) kama Wewe?

Umaarufu wangu unakutesa sana. Pole!
Duuuuuuuuh hatareeeh sana.
 
Hata Manara aliwahi sema hili, mashabiki wa yanga wenye akili n JK ba baba ake yeye mzazi, Sunday manara.
Wengine wote n mazumbukuku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unayaongeleaje na maneno ya rage alipokua chairman wa makolo
 
Back
Top Bottom