DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 318
- 1,597
Habari.
Hivi humu kuna wadada?? Wale wazuri wazuri wadogo wadogo. Below 30? Sidhani.
Kwa sababu namna nnavoiona hii jf haiendan na wadada warembo.. warembo wengi watakua insta na snaptchat huku na wale mangwini wasomaji tuu. Hakuna tik tok humu.
Ila naona nyuzi za watu wanasema mara humu mademu wengi jf ni km badoo, hitwe. Nahisi ni fix tuu. Mbona me ckutani nao? Na sioni wanapatkana wap. Na unajuaje km huyu mdada nmfate PM.
Hey warembo nifaten basi PM. Tuwekane karantini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari.
Hivi humu kuna wadada?? Wale wazuri wazuri wadogo wadogo. Below 30? Sidhani.
Kwa sababu namna nnavoiona hii jf haiendan na wadada warembo.. warembo wengi watakua insta na snaptchat huku na wale mangwini wasomaji tuu. Hakuna tik tok humu.
Ila naona nyuzi za watu wanasema mara humu mademu wengi jf ni km badoo, hitwe. Nahisi ni fix tuu. Mbona me ckutani nao? Na sioni wanapatkana wap. Na unajuaje km huyu mdada nmfate PM.
Hey warembo nifaten basi PM. Tuwekane karantini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejiuliza ukajijibu,ukajiuliza ukaanza kudoubt unachowaza kama kina ukweli
Wewe amini unachoamini,ukiona ID ukadhani itakuwa sawa na matarajio yako then go for it....mwisho wa siku hautakufa kama ukikuta ndivyo sivyo bali utakuwa dissappointed kidogo tu
Unamsaidiaje sasa?
Chochote atakachoamua kitamfaa
Personally sina msaada
Kasema warembo wamfate PM!
Hebu mwambie aache uzembe
Achague mwemyewe anayeona mrembo amfate
Atakuwa ameelewa tayari.
Yaani kila nikionaga posts zako nakuwa natamani nije upya PM.