Sioni wadada humu JF

DAVID PALMER

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2020
Posts
318
Reaction score
1,597
Habari.
Hivi humu kuna wadada?? Wale wazuri wazuri wadogo wadogo. Below 30? Sidhani.

Kwa sababu namna nnavoiona hii jf haiendan na wadada warembo.. warembo wengi watakua insta na snaptchat huku na wale mangwini wasomaji tuu. Hakuna tik tok humu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF; The only place you can meet real beautiful women - JamiiForums
Jr[emoji769]
 
JF hakunaga madem, wote ni wanaume,

Sent from my SM-G950F using Tapatalk
 

Umejiuliza ukajijibu,ukajiuliza ukaanza kudoubt unachowaza kama kina ukweli

Wewe amini unachoamini,ukiona ID ukadhani itakuwa sawa na matarajio yako then go for it....mwisho wa siku hautakufa kama ukikuta ndivyo sivyo bali utakuwa dissappointed kidogo tu
 

Unamsaidiaje sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…