Sioni wadada humu JF

Sioni wadada humu JF

DAVID PALMER

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2020
Posts
318
Reaction score
1,597
Habari.
Hivi humu kuna wadada?? Wale wazuri wazuri wadogo wadogo. Below 30? Sidhani.

Kwa sababu namna nnavoiona hii jf haiendan na wadada warembo.. warembo wengi watakua insta na snaptchat huku na wale mangwini wasomaji tuu. Hakuna tik tok humu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF; The only place you can meet real beautiful women - JamiiForums
Habari.
Hivi humu kuna wadada?? Wale wazuri wazuri wadogo wadogo. Below 30? Sidhani.

Kwa sababu namna nnavoiona hii jf haiendan na wadada warembo.. warembo wengi watakua insta na snaptchat huku na wale mangwini wasomaji tuu. Hakuna tik tok humu.

Ila naona nyuzi za watu wanasema mara humu mademu wengi jf ni km badoo, hitwe. Nahisi ni fix tuu. Mbona me ckutani nao? Na sioni wanapatkana wap. Na unajuaje km huyu mdada nmfate PM.

Hey warembo nifaten basi PM. Tuwekane karantini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Habari.
Hivi humu kuna wadada?? Wale wazuri wazuri wadogo wadogo. Below 30? Sidhani.

Kwa sababu namna nnavoiona hii jf haiendan na wadada warembo.. warembo wengi watakua insta na snaptchat huku na wale mangwini wasomaji tuu. Hakuna tik tok humu.

Ila naona nyuzi za watu wanasema mara humu mademu wengi jf ni km badoo, hitwe. Nahisi ni fix tuu. Mbona me ckutani nao? Na sioni wanapatkana wap. Na unajuaje km huyu mdada nmfate PM.

Hey warembo nifaten basi PM. Tuwekane karantini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Umejiuliza ukajijibu,ukajiuliza ukaanza kudoubt unachowaza kama kina ukweli

Wewe amini unachoamini,ukiona ID ukadhani itakuwa sawa na matarajio yako then go for it....mwisho wa siku hautakufa kama ukikuta ndivyo sivyo bali utakuwa dissappointed kidogo tu
 
Umejiuliza ukajijibu,ukajiuliza ukaanza kudoubt unachowaza kama kina ukweli

Wewe amini unachoamini,ukiona ID ukadhani itakuwa sawa na matarajio yako then go for it....mwisho wa siku hautakufa kama ukikuta ndivyo sivyo bali utakuwa dissappointed kidogo tu

Unamsaidiaje sasa?
 
Back
Top Bottom