Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Azam kaitoa, imeblokiwa juu kwa juuLabda azam wameitoa
Andamana Nije nikuminye pumbuuBBC,Skynews,CNN wanapika sana habari linapokuja suala Russia na Ukraine.Kuikosa RT kipindi ni balaa kubwa vyombo vya magharibi vinatulisha habari za upande mmoja.
Nashauri tuandamane hadi ubalozi wa USA tukiwa na mabango ya kulaani kitendo cha kuminya uhuru wa habari.
Fanya utafiti Azam wanaipata hiyo channel RT kutokea wapi, kama wanaipata thr DSTV, jibu lipo maana DSTV wameifungia hiyo channel na hiyo ndio inapelekea kutokuwepo Azam tv
Kabisa nimehangaika sana kuitafuta kumbe wame mute hawataki tupate habari mpk nimeamua kustreem kwa gb 6 ili tu nimape RT TODAY naikubali sana kwa habari za uhakika ukizingatia mm ni mrusi mweusiNdio kwamba imefungiwa kuonekana Tanzania??
Naomba kujuzwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo channel wakati huu inarusha propaganda za hatari aljazeera wakasome.
Yaani wanachokitangaza sasa sio habari ni umbea.
Hazi balance habari aisee, wanachofanya wao ni kuwa tofauti na media za magharibi.Ndo media iliyokua inabalance habari ikiwa pamoja na CGTN ila sasa wameipiga Ban
Vikwazo vilitangazwa na Ulaya vya kufungwa TV zote za Russia ikiwemo hiyo RT waliitaja kwa jina kutoonekana bara la Ulaya pia wanasema watafungia website zote za vyombo vya habari mitandainiKabisa nimehangaika sana kuitafuta kumbe wame mute hawataki tupate habari mpk nimeamua kustreem kwa gb 6 ili tu nimape RT TODAY naikubali sana kwa habari za uhakika ukizingatia mm ni mrusi mweusi
Vikwazo mbona walihutubia kabisa kuwa watafungia vyombo vya habari vya Russia kutoonekana Ulaya na onlineWameitoa mpaka google,mwanzoni nilikua naipata website yao lakini kwasasa siipati kabisa!
Ndio kwamba imefungiwa kuonekana Tanzania??
Naomba kujuzwa.