G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Kwa hiyo magufuli yeyr alikuwa hataki nchi yake kusonga mbele kimichezo kabisa? Ulaya wakikuona we ni potential unapewa uraia fastaNaiona Kama ni skendo inayo hitaji kutazamwa vizuri, watu tayari wangekuwa wamesha tumbuliwa, kuanzia Mawaziri hadi Makatibu, sasa hivi kungekuwa kumesha changamka muuuuda! Mtu ana wiki 2 Bongo kupewa uraia, hiiiii!
Ukipewa majibu yaliyonyooka niite Steve Nyerere nimekaa pale.Mtu wa intelijensia aje atupe muongozo wa madhara ya kuwapa hao wachezaji uraia! Madhara kwanzia ma'5
Kwa faida ya wengi
Botswana tu hapo kuna madaktari wetu bingwa kibao wamepewa uraia.Kwa hiyo magufuli yeyr alikuwa hataki nchi yake kusonga mbele kimichezo kabisa? Ulaya wakikuona we ni potential unapewa uraia fasta
Lakini tuna sheria zetu kuhusu hilo siyo fungulia mbwa tu,mtu kaja leo kesho Mtanzania hata awe potential vipi.Kwa hiyo magufuli yeyr alikuwa hataki nchi yake kusonga mbele kimichezo kabisa? Ulaya wakikuona we ni potential unapewa uraia fasta
Huwezi elewa.Kwani wewe ni RAIA kwanza?Lakini tuna sheria zetu kuhusu hilo siyo fungulia mbwa tu,mtu kaja leo kesho Mtanzania hata awe potential vipi.
Pumbav mkubwa ww unafikiri uraia unatolewa km pipi bila mchakato ?unafikiri hii ni Banana Republic ?Kwa hiyo magufuli yeyr alikuwa hataki nchi yake kusonga mbele kimichezo kabisa? Ulaya wakikuona we ni potential unapewa uraia fasta
Inategemeana na potentiality ya mtu. Unawezq kupewa uraia hata nfani ya lisaa limoja tu. Marekani ukienda unakipaji tu hurudi unapeq uraia instantly ndo mana marekani iko juu kiuchumiPumbav mkubwa ww unafikiri uraia unatolewa km pipi bila mchakato ?unafikiri hii ni Banana Republic ?
Rais ni sheria kwa decree yakeLakini tuna sheria zetu kuhusu hilo siyo fungulia mbwa tu,mtu kaja leo kesho Mtanzania hata awe potential vipi.
Magufuli maamuzi yake mengi yalukuwa ya kukurupuka kama kichaa na i'm sure usiku alikuwa anajua kwamaba amebugi hasa akitulia. Yule hakufaa kuwa hata barozi wa nyumba kumiNaiona Kama ni skendo inayo hitaji kutazamwa vizuri, watu tayari wangekuwa wamesha tumbuliwa, kuanzia Mawaziri hadi Makatibu, sasa hivi kungekuwa kumesha changamka muuuuda! Mtu ana wiki 2 Bongo kupewa uraia, hiiiii!
Unapewa bila kufuata taratibu za huko??Kwa hiyo magufuli yeyr alikuwa hataki nchi yake kusonga mbele kimichezo kabisa? Ulaya wakikuona we ni potential unapewa uraia fasta
Ndiye rais aliyetokea kupendwa kuliko marais walioongoza taifa hili ila kwa kuwa wewe una chuki binafsi juu yake utabisha.Magufuli maamuzi yake mengi yalukuwa ya kukurupuka kama kichaa na i'm sure usiku alikuwa anajua kwamaba amebugi hasa akitulia. Yule hakufaa kuwa hata barozi wa nyumba kumi
Inategemea na potentiality ya mtu. Rais ndo mwenye nchi anaweza kukupa bila kufata utaratibu. Rais ni mwenye nchi anaweza kukufukuza hata wewe japo umezaliwa hapaUnapewa bila kufuata taratibu za huko??
Labda wewe na ukoo wako wenye fikra finyu ndo mliompenda. Kapiga risasi akina lisu na wengineo unataka na wampende tu.Ndiye rais aliyetokea kupendwa kuliko marais walioongoza taifa hili ila kwa kuwa wewe una chuki binafsi juu yake utabisha.