mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
chai!!!!!!! Hakuna hata mmoja ambae amewasili USA within one hour akapewa uraia papo hapo. Infact katika nchi ambayo inachukuwa muda mrefu kumpa mtu uraia ni USA. Wanafanya background check ya kikwelikweli. Kumbuka kuna tafauti kubwa baina ya green card na citizenship (uraia).Inategemeana na potentiality ya mtu. Unawezq kupewa uraia hata nfani ya lisaa limoja tu. Marekani ukienda unakipaji tu hurudi unapeq uraia instantly ndo mana marekani iko juu kiuchumi