Sisi sisi waafrica ni watu? Si ni manyani tu. We angalia jpm alivyotaka kumuua lisu kisa akili alizonazo tu kwake ikawa keroKwahiyo, sisi akili zetu ni makopo tunaiga Ulaya??
Wakati unaiga unatakiwa kujua huna unacho miliki, hata ardhi siyo yako.
Jiangalieni msije kugeuka kuwa vibarua kwenye mashamba ya mkonge ya wageni.
Matatizo ya wageni yanasumbua mpaka leo Namibia, South Africa, Zimbabwe, Kenya,
Msione kina Nyerere walikuwa wajinga, kwa kuwa mna matumbo makubwa mnaina shortcut ndio maisha