Sipati picha Lowassa angeshinda 2015 na mawaziri ndio hawa Lijualikali, mchungaji Msigwa na Massele!!

Huenda leo sekta ya utalii au fedha ingekua inaongozwa na muota ndoto na mwehu lema

Sekta ya habari Sugu, angalau

Katiba na sheria mwanadada mdee, angalau

Waziri mkuu mbowe, angalau.
 
Ebu imagine eti waziri wa uchumi ni mdee, lema eti waziri wa mambo ya ndani! Ingekua hivi ningeomba dunia isimame nishuke nitembee kwa mkuu kuelekea huko inakoenda...
 
Unasemaje kuhusu naibu waziri wa Afya ambae Magufuli kamteua juzi kati? Wale waliohamia CCM na Magufuli kuwateua labda ndo haohao wangekuwa Mawaziri.
 
Eleza kina Mchembe,Waitara,Jafo a.k.a nyungu,Mwakiembe a.k.a digrii 4,Kitwanga,Mpango,Kabudi na genge lote wamefanya nini?
 
Yohana unataka kusema Paskali angepewa kuwa msemaji wa ikulu?
 
MATAGA Bwana, sasa kuna tofauti gani na Meko?
Ma first lady watatu. Mbatia na bashite so ni laana hii pia
 
Nani aliyekwambia kwamba Lowassa hakushinda?
 
Yohana unataka kusema Paskali angepewa kuwa msemaji wa ikulu?
Si bora Pasikali Great Thinker kuliko Gerson Msigwa naona kama bado UTOTO UTOTO Mwingi.

πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ Kwenye Duara nyekunde kulikuwa na ulazima? Huu si UTOPOLO kutoka kwa Msemaji wa PENTAGON?



 
piga ua lowasa asingeweza kushinda.dr slaa alijenga nyumba mpaka imeisha.from no where linatoka jitu lenye pesa lina honga majirani kisha majirani wanakuwa mashahidi wa kumdulumu dr slaa nyumba aliyoijenga kwa jasho na damu ya kipigo cha maandamano ya Arusha.

laana ya dr slaa inazidi kukata mawimbi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…