Sipati picha Lowassa angeshinda 2015 na mawaziri ndio hawa Lijualikali, mchungaji Msigwa na Massele!!

Sipati picha Lowassa angeshinda 2015 na mawaziri ndio hawa Lijualikali, mchungaji Msigwa na Massele!!

UONGOZI WAKINI WA JF natanguliza samahani kwa nitakayotamuka juu ya huyu kibwengo
Uko mkoa gani bwashee....... Dsm na Dodoma sukari kibao kilo sh 2600/=
Samahani naomba uniruhusu nikutukane.
"Kafiri mkubwa wewe"
Dar Rd Salaam watu tunateseka sana alafu wewe unaleta mambo yako hapa.
 
Hupati Picha wapi wewe Mngoni,huko CCM hali yenyewe tete tangu Mwenyekiti wako kaingia magogoni kapiga chini Mawaziri wangapi toka CCM?
Mpaka mkaanza kuchukua Waunga juhudi mkono na kuwapa uwaziri,chama kinachojivunia hazina ya wanachama kimekosa wenye sifa kati ya wanachama Milioni 5 huoni mnapwaya sana hapo Lumumba.
 
Dr Mpango na Pr Kabudi walishinda majimbo gani vileee
 
Usalama wa Taifa wameacha mambo ya msingi na kuanza ushabiki. So sad.
 
Back
Top Bottom