Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
nikisikiaga kasoma ACADEMIC INTERNATIONAL huwa nafikiri ni ile ya mikocheni B CocaCola road kule ile wanayotumia cambridge sylabus (IGCSE)Ile shule nzuri sana....sista angu kasoma hapo!
Unajua hiyo shule ni ya yule mzee Saul mwenye s.h amon na landmark hotel
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwa namzimia Irene Kiwia
Ewaaaa hata mimi nilidhani hivoo na nadhani Ray kazichanganya hizi shule...Wema kasoma Academic international ya mikocheni Bnikisikiaga kasoma ACADEMIC INTERNATIONAL huwa nafikiri ni ile ya mikocheni B CocaCola road kule ile wanayotumia cambridge sylabus (IGCSE)
kumbe kasoma ya hapo Sinza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa....hawa wadada wa mjini wazuri wachache sanaaaaa!hata sisi huku uswazi wazuri!!!IG kila mtu mcharoooMtu mzima lkn mapepe mnoo...
Halafu ewww! Wa kawaida asee tena sana!
Insta inaremba wadada jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe nipo sahihi maana nakumbuka hadi anashiriki umiss alikuwa anadate na mchizi wangu wa kipindi hicho yule mo racca na walikuwa wanasoma wote kule mikocheniEwaaaa hata mimi nilidhani hivoo na nadhani Ray kazichanganya hizi shule...Wema kasoma Academic international ya mikocheni B
Ile ya sinza inaitwa hivo hivo Sinza international
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo ya Sinza ya mudaaaa sana pianikisikiaga kasoma ACADEMIC INTERNATIONAL huwa nafikiri ni ile ya mikocheni B CocaCola road kule ile wanayotumia cambridge sylabus (IGCSE)
kumbe kasoma ya hapo Sinza... alafu nilikuwaga sijui kama kuna academic nyingine zaidi ya ile ya mikochen leo ndio nimejua yan
Sent using Jamii Forums mobile app
Irene aka I got f..ck money....mzuri sana sura na mguu wa bia A...kasoro tako pasi, but kazuri mnooHahaaa....hawa wadada wa mjini wazuri wachache sanaaaaa!hata sisi huku uswazi wazuri!!!IG kila mtu mcharooo
Happy mashauzi sanaaaaa!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ila yule alisoma dar ACADEMIC INTERNATIONAL ya mikocheni maana alisoma na jamaa ambaye najuana naye kabisa na they used to date
Uko sahihi mkuukumbe nipo sahihi maana nakumbuka hadi anashiriki umiss alikuwa anadate na mchizi wangu wa kipindi hicho yule mo racca na walikuwa wanasoma wote kule mikocheni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaaa hata mimi nilidhani hivoo na nadhani Ray kazichanganya hizi shule...Wema kasoma Academic international ya mikocheni B
Ile ya sinza inaitwa hivo hivo Sinza international
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uko sawa nimekumbuka kabisa!ila yule alisoma dar ACADEMIC INTERNATIONAL ya mikocheni maana alisoma na jamaa ambaye najuana naye kabisa na they used to date
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nimekosea Locationila yule alisoma dar ACADEMIC INTERNATIONAL ya mikocheni maana alisoma na jamaa ambaye najuana naye kabisa na they used to date
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ni ya mikocheni, ni kawaida hiyo shost, haya ma international yanachanganya sana...Basi itakua mmekosea Location ila ni Academic international nafikiri ya mikocheni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya wakati ndo unadumu[emoji849][emoji848]...watu especially matajiri hawataki madonge yale, full kukuharibu body system tu!
yani ishort ogopa dawa yoyote unayoinywa kila siku... kuanzia haya madawa ya presha na moyo makina captoprill..isosobide..sijui dejoxin hadi hayo ma ARV.Mbaya wakati ndo unadumu[emoji849][emoji848]...watu especially matajiri hawataki madonge yale, full kukuharibu body system tu!
Yaaan kidney failure na ARV ni kama chupi na takroo!
We ukisikiliza chai za humu ooh sijui vile vidonge na figo havihusiani utapotea, ... wakati hapa watu tuna wagonjwa tunauguza unashuhudia kitu live
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu ....ukishakuwa drugs dependent, yaan ujue anayeumia ni figo, ni no choiceyani ishort ogopa dawa yoyote unayoinywa kila siku... kuanzia haya madawa ya presha na moyo makina captoprill..isosobide..sijui dejoxin hadi hayo ma ARV.
kidney failure nje nje
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] at least umesema kitu maana wote ninaowauliza huwa wanaishia kumung'unya maneno