Mbona jamaa sasa kawa marioo wa kihindi?[emoji849][emoji16]
Anyway wahindi wanaume huwa ndio wanaolewaga so sishangai!
Sent using Jamii Forums mobile app
Village champion!...kwahiyo BREVIS ndo umeona ndo gari ya maana?[emoji849][emoji849][emoji848]Mama wa brevis kama nakuona vile ulivyotoa macho kusikia anasukuma kibaby walker
Daaah ila wahindi huwa wananyanyuana asee!Kampuni bongo5? Inaingiza nini ile anazidiwa hata na millard ayo
Ebwaanaa eeeh[emoji849][emoji848]Weeee hacha kutudanganyana hakuingia na room ? Wakati jokate ameenza kutoka na Mzee mengi tangu tupo Chuo, pika nipakue
Haaahaaa....Kati ya wote we ndo nakuaminiJokate mwenyewe anasema uwa anapenda watu Wazima,kwani akiwa anaenda kufanyw. Familia yake inamsindikiza? Alipigwa chini tu na Mzee mengi baada ya kutumika sana kwa kua hajatulia
Village champion!...kwahiyo BREVIS ndo umeona ndo gari ya maana?[emoji849][emoji849][emoji848]
So low and cheap like h...[emoji57][emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh[emoji849][emoji849][emoji849]...life hili likikugonga ni noma asee!Kuna kipindi walifulia mpk gesi ndani iliisha wakawa wanapikia mkaaa!!!umbea huu nilipata hukooo[emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16]nilicheka balaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhindi koko...Bora ukomae na mwafrica mwenzako maskini iko siku mtatoboa!
Kwa hiyo kuisifia we ukajaa kuwa ndo naimiliki?Ya kawaida,ila kuna sehemi niliona uliisifia kiasi
Kuna kipindi walifulia mpk gesi ndani iliisha wakawa wanapikia mkaaa!!!umbea huu nilipata hukooo[emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16]nilicheka balaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipata umbea sehemu si mmesema hapa ndo maan a nkasema hvyo sasa km kweli sijui kama maneno ya umbea sijui!![emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]waja sana mambo balaa....tena niliambiwa wamepauka pauuu!!!wanawake mna mambo..
luca huyu huyu wa dar es salaam inland container depot, huyu huyu wa moffed icd, huyu huyu mwenye isumba trans... anakosa hela ya kununua gesi ndani?
hivi DICD anaingiza bei gani, moffed, bongo 5 au isumba trans..
kweli waswahili hatuishiwi maneno..
familia ya neghesti iombe msaada hela ya gesi kweli?
Ila kusema ukweli, yule jamaa haonekani kama mtu wa kumiliki cash asee... multiple occasions tunameet, yuko below kinoma!...narudia sidhani kama ana mawe Yule[emoji848][emoji849]Nilipata umbea sehemu si mmesema hapa ndo maan a nkasema hvyo sasa km kweli sijui kama maneno ya umbea sijui!![emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]waja sana mambo balaa....tena niliambiwa wamepauka pauuu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaahaaa....kakaaa!!!!kisanij zaidiiiIla kusema ukweli, yule jamaa haonekani kama mtu wa kumiliki cash asee... multiple occasions tunameet, yuko below kinoma!...narudia sidhani kama ana mawe Yule[emoji848][emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na alipigwa Chini baada ya kuwachanganya na Kimei
Mhindi koko...Bora ukomae na mwafrica mwenzako maskini iko siku mtatoboa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Weeee [emoji848]Ahsante!!! Hii ndo bongooo!!
Kimei nae yule mwingi kazaa na Dada mmoja Yuko Sweden sasa hv watoto wawili kwa sasa wanaweza wakawa na miaka hata 24 kwa 25!!!hao watoto wa kike na wa kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee....sijui anawatambua au ndo basi tena[emoji848]Nna uhakika 100%dada anaitwa Nuru...!!!
Alienda kama mkimbizi kike sibwajua kipindi kile Watu wanajilipua
Mpk picha za wale watoto nilikua Nazi mmepoteza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaitwa Slay queens...never date or marry broke men!Halafu ukichunguza kuna utatu flani hivi wa hawa mamiss.. Nancy, Klyin na Faraja.. Wote wamelenga sehemu nzito nzito halafu ni mabestiii... Coincidence?