Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Kuna kipindi walifulia mpk gesi ndani iliisha wakawa wanapikia mkaaa!!!umbea huu nilipata hukooo[emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16]nilicheka balaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh[emoji849][emoji849][emoji849]...life hili likikugonga ni noma asee!


Itakuwa nakaaya anachegaka mbavu hanaa

But Luka si ana mke na watoto wawili wakubwa tuu, halafu huyo mke wake yuko njema Sana!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi walifulia mpk gesi ndani iliisha wakawa wanapikia mkaaa!!!umbea huu nilipata hukooo[emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16]nilicheka balaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app

wanawake mna mambo..

luca huyu huyu wa dar es salaam inland container depot, huyu huyu wa moffed icd, huyu huyu mwenye isumba trans... anakosa hela ya kununua gesi ndani?

hivi DICD anaingiza bei gani, moffed, bongo 5 au isumba trans..

kweli waswahili hatuishiwi maneno..

familia ya neghesti iombe msaada hela ya gesi kweli?
 
wanawake mna mambo..

luca huyu huyu wa dar es salaam inland container depot, huyu huyu wa moffed icd, huyu huyu mwenye isumba trans... anakosa hela ya kununua gesi ndani?

hivi DICD anaingiza bei gani, moffed, bongo 5 au isumba trans..

kweli waswahili hatuishiwi maneno..

familia ya neghesti iombe msaada hela ya gesi kweli?
Nilipata umbea sehemu si mmesema hapa ndo maan a nkasema hvyo sasa km kweli sijui kama maneno ya umbea sijui!![emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]waja sana mambo balaa....tena niliambiwa wamepauka pauuu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipata umbea sehemu si mmesema hapa ndo maan a nkasema hvyo sasa km kweli sijui kama maneno ya umbea sijui!![emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]waja sana mambo balaa....tena niliambiwa wamepauka pauuu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kusema ukweli, yule jamaa haonekani kama mtu wa kumiliki cash asee... multiple occasions tunameet, yuko below kinoma!...narudia sidhani kama ana mawe Yule[emoji848][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu ukichunguza kuna utatu flani hivi wa hawa mamiss.. Nancy, Klyin na Faraja.. Wote wamelenga sehemu nzito nzito halafu ni mabestiii... Coincidence?
Wanaitwa Slay queens...never date or marry broke men!
 
Back
Top Bottom