Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
hahah. kweli dada angu hizi internet slang huwa ukikutana nayo mara ya kwanza lazma isumbueKaka angu ni hyo hyo si unajua ngeli ni tatizo hasa vifupisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tabata...me nilijiongeza tu kwenye hyo tbt, siku moja kaka angu ananiuliza tbt ndo nn nilicheka sana nkasema kumbe washamba tupo wengihahah. kweli dada angu hizi internet slang huwa ukikutana nayo mara ya kwanza lazma isumbue
nakumbuka kipindi cha "tbt" ndiyo imeingia mimi nilifikiri inamaanisha tabata sasa nikawa najiuliza tuseme tabata pamekuwa maarufu hivi hadi kila mtu anapost yupo tabata.... [emoji23][emoji23]
nilivyoona hadi watu wa mbele wanatumia ndio nikagoogle
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani nikishangaa tabata kupata umaarufu ghafla... nilipoona chris brown naye kapost tbt nikasema alaaaaaah embu ngoja nigoogle[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tabata...me nilijiongeza tu kwenye hyo tbt, siku moja kaka angu ananiuliza tbt ndo nn nilicheka sana nkasema kumbe washamba tupo wengi
Kumbe tupo wengiKaka angu ni hyo hyo si unajua ngeli ni tatizo hasa vifupisho
[emoji23][emoji23]
Huvipendi au huvielew[emoji23][emoji23][emoji23]
Sivielewi ndio maana sivipendiHuvipendi au huvielew[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahaa apo sawa
Uko sawa kabisa mkuu[emoji122][emoji122]KUNA MAKUNDI YAFUATAYO MKUU HUTAKIWI KUYAAMINI UKIWA HAI.
1. WANASIASA-USIWAAMINI HATA KIDOGO MKUU WANAJALIMATUMBO YAO NA YAFAMILIA ZILIZO KARIBU NAO. MFANO = NASARI
2. WASANII-HAWA WAPO RADHI KUDHALILIKA ILIMRADI KUPATA UMAARUFU MFANO=AMABA RUTY, NAHAPA INCLUDE HII MADA YAKO. HUENDA HUYO NAZI MSUMARI ALIMLIPA PESA MB DOG ILIAMUIMBE ILI JINA LAKE LIWEJUU THE SAME TO YOU, HUENDA UMELIPWA KUTULETEA HII MADA YAKO HAPA.
3. DALALI-USIMUAMINI DALALI HATA ONE DAY.
4. MCHEPUKO
Kwa kimo na wajihi wa Doggy Man na Urefu wa Nancy ingekuwa moja kati ya couple za kuchekesha sana.Lol. Sio lazma umkubali kila anaeku approach😜 Nancy Sumari ni mzuri sana na anajielewa.
Nimecheka mpaka machozi,asante Kwa Picha maana nilikua namuwaza Soggy Doggy!View attachment 1046329
Sipati picha sasa hivi wangekuwa wapo uswazi kwao mitaa ya mabibo, Nancy mwenyekiti wa vicoba pande hizo.
Faraja Nyalandu yupo vizuri sana yule dada.Kale kabinti manshallah sana...Mungu fundi sana!
Okay. Why do you hate her?Bro
Hate is just a feeling like any other mzee,kama wewe unavyompenda mimi namchukia the other side!
Sijui kwanini watu wana phobia na neno HATE?As if mtu hurusiwi ku-hate!!
Naakaya ni sibling wake ndio maana I brought her up,I like her more...
So,fvck it,I hate fake motherfuckers like this sneaky bitch...
I hate that sleazy slot just for the fvck of it...
Dont get twisted,sina sijui some personal feelings or such and such smell towards the bitch