Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Jokate wa kawaida?!!!!
Siyo mzuri!
Mnahadaika sana na mawigi na weupe wa vidonge!


Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna watu wana koment labda kutafuta kuonekana ni disminders.

Jokate first time kumwona ilikuwa 2007 mwanzoni, kuna event Mengi na Shigongo walikuwa wana motivation talks ya AISEC UDSM, na yeye ndiye alikuwa MC.

Sikuwa namfahamu, nikauliza hiyo ni nani, nikaambiwa alikuwa namba 2/3 mashindano ya Umiss. Nilishangaa kwa nini hakushinda yeye. She was naturally beautiful and real to me.

Huwa siyo mshabiki wa rangi nyeupe lakini Jokate nilim-rate high.
 
Angekua wema,kashaliwaga kaachwa
Wema nakusoma kote nje english inapanda ila kiukweli anakichwa fulani kinaitwa zero brain.
Watu hawa huwa hafikiri kabla ya kutenda wanakuwa hawajitambui wanapenda masifa.
Kha jamani wanatiaga huruma nawanapenda kampani ila asilimia kubwa marafiki zao wanatake advantage.
Wanatumiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay. We are getting close..

Hate is a strong word. There must be a strong feeling behind it.

What is it?

And why did you bring Nakaaya (her sister) in the picture?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mume aliyeko naye huyu nancy alikuwa ni mchumba wa dada yake alipokosa ramani ikabidi amseduce mchumba wadadae na ndiye aliyesababisha nakaaya kuhama nchi nakuolewa na mzungu.
Nancy has bad manner i hate her so much kama nini kwenye group lao nafuu faraja sio snitch na bitch kelyn kachukua mume wamtu mengi .
So they are worst people i hate them more than anyone else how could you betrayed your own blood?
How tell me?
How will you feel to live with your sister fianceee shame shame shame on you nancy where your shame on u.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahah. kweli dada angu hizi internet slang huwa ukikutana nayo mara ya kwanza lazma isumbue

nakumbuka kipindi cha "tbt" ndiyo imeingia mimi nilifikiri inamaanisha tabata sasa nikawa najiuliza tuseme tabata pamekuwa maarufu hivi hadi kila mtu anapost yupo tabata.... [emoji23][emoji23]

nilivyoona hadi watu wa mbele wanatumia ndio nikagoogle

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwenyewe hadi leo sijawahi kujua "tbt" lina maana gani, nikikutana nalo najisemea tu kimoyomoyo mambo ya tabata hayo[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mume aliyeko naye huyu nancy alikuwa ni mchumba wa dada yake alipokosa ramani ikabidi amseduce mchumba wadadae na ndiye aliyesababisha nakaaya kuhama nchi nakuolewa na mzungu.
Nancy has bad manner i hate her so much kama nini kwenye group lao nafuu faraja sio snitch na bitch kelyn kachukua mume wamtu mengi .
So they are worst people i hate them more than anyone else how could you betrayed your own blood?
How tell me?
How will you feel to live with your sister fianceee shame shame shame on you nancy where your shame on u.

Sent using Jamii Forums mobile app

I would advise you to love yourself at the same level of energy that you hate her.
 
Na hiyo kusemasema hivyo ndio ilikuwa sababu ya kukataliwa
Kipindi msanii huyu ana-hit na ngoma zake zile Latifa na Mapenzi Kitu Gani alifunguka kwamba anampenda Nancy Sumari na anatamani awe hata mkewe wa ndoa.

Kwa namna jamaa alivyokuwa juu, si rahisi kwa mdada yeyote kuchomoa ofa ya kuwa naye. Warembo walimpapatikia sana na ofkoz alitawala wingu la Bongo Fleva. Historia inakumbuka.

Na enzi hizo Nancy ndio alitoka kunyakua ushindi wa Miss World Africa.

Jamaa akashindwa kujizuia. Kila akihojiwa akawa anasema wazi anamzimikia sana Nancy Sumari. Na ndoto zake zitatimia akifanikiwa kumnasa maana lengo lake halikuwa kumchezea bali kumuoa kabisa.

Kama haitoshi, Doggy Man akarekodi wimbo mahususi kwa ajili ya Nancy akafunguka ya moyoni. Ngoma ilihit sana kwa wanaoikumbuka. Iliitwa "Ina maana".

Sikumbuki kama Nancy alizungumzia chochote.

Leo nimemuona Nancy sehemu nikawaza laiti angemkubalia jamaa wawe couple wangekuwaje leo hii? Kama angemkubalia kwa sababu ya umaarufu, wangedumu kweli?

Shubaamita!




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: T11
Huwezi jua pengine wangekuwa couple mb dog angekuwa bado yuko kwenye ramani ya muziki either kwa sababu mwenza wake yuko smart au angetumia nguvu ya ziada kubaki kwenye game ili asifulie akampoteza mrembo
 
Kuna watu wana koment labda kutafuta kuonekana ni disminders.

Jokate first time kumwona ilikuwa 2007 mwanzoni, kuna event Mengi na Shigongo walikuwa wana motivation talks ya AISEC UDSM, na yeye ndiye alikuwa MC.

Sikuwa namfahamu, nikauliza hiyo ni nani, nikaambiwa alikuwa namba 2/3 mashindano ya Umiss. Nilishangaa kwa nini hakushinda yeye. She was naturally beautiful and real to me.

Huwa siyo mshabiki wa rangi nyeupe lakini Jokate nilim-rate high.

Nadhani ni kati ya wanawake maarufu walioweza kushinda maneno ya uzuri ni unene makalio makubwa, nywele za bandia na weupe.
Angewasikiliza waja angekuwa kama Wema wa sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Luca alikua anatoka na Nakaaya,Nancy akaja kumpindua Dada yake live kabisaa na akaolewa....!!!

Ilifka kipindi walikua hawaongei wale ndugu hata harusi ya Nancy na Luca Nakaaya alikua km mgeni mualikwa tu...
Okay. We are getting close..

Hate is a strong word. There must be a strong feeling behind it.

What is it?

And why did you bring Nakaaya (her sister) in the picture?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom