Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

[emoji23][emoji23][emoji23]nmecheka nusu kuzimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke mwenye akil haangalii alichonacho (tangible) mtu kwa muda huo
Bali anaangalia ana akil gan ya future
Possible nancy hakuliona hilo kwa mb dogy


Sent using Jamii Forums mobile app


Usizunguke mbuyu bro.
Itakuwa alimkataa sababu ya ufupi. Jamaa kafupi sana. KalijAribu kuboot height kwa Afro lakini wapi?.

Wanaume wafupi harakati zao kwa mademu huwa kama za pimbi.
 
Okay. Why do you hate her?

There must be something ugly that she did and it did not please you.

Or you just hate her free of charge? Lol.

Sent using Jamii Forums mobile app

I'm not accountable to anybody!

And why you love her?

Something happened?Are you trying to be a prophet?I didnt know you are prophet!
 
Nimecheka mpaka machozi,asante Kwa Picha maana nilikua namuwaza Soggy Doggy!
Mdogo wangu enzi hizo mtoto sumari katoka Maasai Girls Nairobi. Kaka mkubwa akitokea mitaa ya manzese na mabibo kwa mapozi haya angefanikiwa kumng'oa kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukizingatia hapo full kunuka mibange.
 

Ukimuona wa kawaida kwa sababu yupo natural!

Siku hizi mdada kuwa mzuri mpaka awe kama Uwoya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Jokate wa kawaida?!!!!
Siyo mzuri!
Mnahadaika sana na mawigi na weupe wa vidonge!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha tungekutana 5N tunapiga nae gambe siku akizichanga ndio tunakutana element,trp7 next door na the like

mpuuzi mpuuzi tu
 
Tangu lini mdangaji anayejinasibu kwa wadhifa wa usomi akaliwa na chawa wa qs mhonda??
 
 
kar
Jamaa tupo naye mitaa ya makuburi jirani na kanisa la roma tuna kula nae ugali kwa mchicha kwa mama ntilie, naamini na Nancy tungekuwa nae mitaa hii na wala usingemwona huko ulipo muona
si ajiunge kanisa la freemason apo makuburi ambako kanisa lina walinzi na geti apo
 
Umekuja juu juu ukitaka Ku force kila MTU amuone jokate n mzuri,nimekuambia ,tuambie uzuri wake ..umeshindwa

From profile picture to proper future

Juu juu obvious umezoea kelele ndiyo maan hiyo imekuwa observation yako ya kwanza

Nilikua nauliza wala sijakuja juu kuu kama ulivyowaza wewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…