Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kale kanaliwa sana kimya kimya kale kaone vile vile!Ok ok...so mshua wa jokate ni alileta ukakasi or?
Kajokate kumbe ka silent killer eeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile shule nzuri sana....sista angu kasoma hapo!
kuna muda unawaza mtu usipompa like kwa alicho comment ni kuisaliti nafsi yako tu.Kwa akili za Nancy, Mb Dogg angekua sehemu fulani hivi nzuri kimaisha na siyo ya kumtegemea Mhonda.
Hyo ndo sababu na mange huyu huyu anayeitwa kichaa ndo alofanya wapatane kidogo enzi za Uturn Nancy alikua hataki hata kidogo waelewane tena halafu yaonekana familia ilikua upande wa Nancy kwa kua ndo title so Nakaaya alikua anawekwa Pembeni...Weeee najuaga wana bifu but sikujua Ni such extent of miles!
Why ilikuwa hivo sasa??[emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana ni Nzuri kumbe ni ya SauliIle shule nzuri sana....sista angu kasoma hapo!
Unajua hiyo shule ni ya yule mzee Saul mwenye s.h amon na landmark hotel
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe sio tabata[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]Sasa si ungefafanua na sisi tujue mkuu.hahah. kweli dada angu hizi internet slang huwa ukikutana nayo mara ya kwanza lazma isumbue
nakumbuka kipindi cha "tbt" ndiyo imeingia mimi nilifikiri inamaanisha tabata sasa nikawa najiuliza tuseme tabata pamekuwa maarufu hivi hadi kila mtu anapost yupo tabata.... [emoji23][emoji23]
nilivyoona hadi watu wa mbele wanatumia ndio nikagoogle
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tabata...me nilijiongeza tu kwenye hyo tbt, siku moja kaka angu ananiuliza tbt ndo nn nilicheka sana nkasema kumbe washamba tupo wengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] throw back tuesday/ throw back thursdayKumbe sio tabata[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]Sasa si ungefafanua na sisi tujue mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Irene mpk Leo kazuri ana watoto wa3 km sikosei mmoja alizaaga na mzunguMimi nilikuwa namzimia Irene Kiwia
Sikuwa najua. Kama ndiye mmiliki wa Landmark hotel basi jamaa ni mfanyabiashara makini sana. Niliwahi kuonyeshwa huyo Sauli mwaka juzi nikiwa maeneo ya Riverside pale. Dhaifu kinyama. Sijui alikuwa ana matatizo gani.Ile shule nzuri sana....sista angu kasoma hapo!
Unajua hiyo shule ni ya yule mzee Saul mwenye s.h amon na landmark hotel
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakaya kaolewa na mzungu ? Mwaka gani hii ilikuwa ?
Maana namuona akikatiza mitaa na PORTE yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini[emoji25][emoji25]...na familia zetu hizi usipokuwa na pa kushika full kunyapaliwa!Hyo ndo sababu na mange huyu huyu anayeitwa kichaa ndo alofanya wapatane kidogo enzi za Uturn Nancy alikua hataki hata kidogo waelewane tena halafu yaonekana familia ilikua upande wa Nancy kwa kua ndo title so Nakaaya alikua anawekwa Pembeni...
Mange aliandika waraka kumshauri Nancy amsamehe Dada yake kwa kua Yeye Nancy ndo mwenye makosa hvyo asilete kibri cha kumtenga ndugu yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajoketi kalikuwa na shobo sana na vijana maarufu. Nahisi bado ana hiyo tabia. Shobo.