Aya mambo yapo sana.
Nakumbuka kipindi nipo chuo nilikuwa na kajamaa flan ivi.
Kuna siku nikaumwa akaja home kunipeleka dispensary.
Ikabidi niende na mdog wang aliyemaliza form 4 wa kike,
Tulipofika dispensary. Nikawa nimeandikiwa inj
Wakati naingia chumba cha sindano nikamacha mdogo wang na mshikaj katka bench..
Tumetoka dispesary huwez amin
Mm npo katka chumba cha cndano mshkaj kamuomba no dogo wamepeana fasta mi narud sijakuta action yyte.
Bahat nzuri mm sikumueka mshikaj moyon kivile nlikuwa na kaboyfriend kengine.
Nmekaa chuo baada ya mwez narud home kushtukiza dogo nlimuachia laptop yang nakuta ndo wapo busy kuchat na walishatoka ktambo mara wapelekane nyama choma..
Daaah nlishangaa sana ila nkampa mdogo wang ushaur wa kawaida tu nkamwambia sio vizur kufanya hivyo hasa kwa ndugu yake ukizingatia hujui tumeachana au lah..
But mm sijamind coz sina mpango tena na mshikaj hivyo n maamuz yako uendelee kuwa nae au lah, ila usirudie tena ulichokifanya..
Sent using
Jamii Forums mobile app