- Thread starter
- #41
sitak pesa mkuu.BORA HIVI nikipata pesa nitakufa mapema sanaUngekuwa unawaza pesa hivyo ungefika mbali sana kiuchumi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sitak pesa mkuu.BORA HIVI nikipata pesa nitakufa mapema sanaUngekuwa unawaza pesa hivyo ungefika mbali sana kiuchumi.
ela ya umalaya sina.kaz ya tofar mpk matajiri wa jf mjenge mkisusa tunakufa njaaAcha umalaya
Hizi ni nini mkuu tusheeNdio nimeshaachana na nyeto thanks to badoo and tinder
Apps za kuwindia mademu. Pesa yako tuuHizi ni nini mkuu tushee
Siyo porn tu huyo kashatizama mpaka ubongo umeharibika. Atoke nje ajichanganye wachumba wapo kibaoAcha kutizama porn
Msubir kuna babu ana miaka 70 kibabu 53 anatoa ushauriUsingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho.
Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
Ngoja nidownload chapApps za kuwindia mademu. Pesa yako tuu
Kula totoz mzeya raha ya dunia wameishikira katikati ya mapaja yaoNgoja nidownload chap
Ndugu mimi siwezi lala usingizi mzuri bila kusex.Usingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho.
Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
wanataka ela mingi.Tafuta mwanamke akueke bize
Ukitaka kulala moigie/mtext wasilianeni wee mpaka unalala 🤗
Umeshanunua ule mroboti wa Elon Musk?maana Sana Tisa mpaka asubuhi huyo mkeo Hana majukumu kesho yake?Ndugu mimi siwezi lala usingizi mzuri bila kusex.
Na nikilala bila kusex usingizi unakatika Sa9 usiku hapo ntakesha mpaka asubuhi.
Sa mi hata sijui shida ni hii hii kama yako.
Wapo tu wa level hiowanataka ela mingi.
mimi naingiza elfu 5 kwa siku kazi ya tofali.tukienda saiti ndiyo siku nacheka elfu 15 mamiloo. nitaweza kweli?
Best hapo namaanisha huo muda nastuka kwakuwa sijala mzigo.Ila nikila hata bao 1 nalala usingizi mzurii mpaka asubuhi.Umeshanunua ule mroboti wa Elon Musk?maana Sana Tisa mpaka asubuhi huyo mkeo Hana majukumu kesho yake?
Pole Sana😅😅😅Best hapo namaanisha huo muda nastuka kwakuwa sijala mzigo.Ila nikila hata bao 1 nalala usingizi mzurii mpaka asubuhi.
Sasa wakati mwingine wife anamishe zake na ukichangia na zile siku basi huwa nahisi kuvurugwa siku nzima.
Na nikosa tendo kwa muda mrefu huwa na kuwa na kisirani mnoo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Soy boy on one and two., I doubt if you are a grown man. Man up bro, stop watching porn and foxus on your goals.bando la kutizama ninalo basi.
mm nawatizama barabarani kisha nawakariri usiku kulala mpaka niwakumbuke wote niliowatizama