Sipati usingizi mpaka niwaze wanawake

Sipati usingizi mpaka niwaze wanawake

Sio mbaya wee muwaze zuchu picha usingizi wako hadi udenda ukutoke
 
Huna usingizi
NAfanya kaz ngumu hata nikichoka vp nikikaa kitandan bila kuwaza warembo usingizi unapaa. niliuza ardh ya urithi arumeru nikaja dar nikanunua boda hali ngumu nikaona nipge mishe za ujenz. Ila darisalama kuna warembo sana tatzo wanapenda ela mno mm nawaprint nikirud usk nawapitia ktk memori ndiyo nilale
 
Ndio nimeshaachana na nyeto thanks to badoo and tinder
ALuu unafaudu sana..mm kaz ya tofari mpk nijichange naishia kuwapitia mawazoni. hamna dem mbeba tofari hum nyie wakongwe mniunganishe naye huyo ndo atakua solumate wangu. Au wa humu wote minara kupanda ukaze lohoo?
 
ALuu unafaudu sana..mm kaz ya tofari mpk nijichange naishia kuwapitia mawazoni. hamna dem mbeba tofari hum nyie wakongwe mniunganishe naye huyo ndo atakua solumate wangu. Au wa humu wote minara kupanda ukaze lohoo?
Wee jf kila demu huku mzuri ana tako na anakula pizza tuu. Ukitongiza tuu utasikia tuma vocha. Sasa ole wako utume vocha ya buku, utaoga matusi mpaka ushangae. Kwa kifupi tuu jf ndugu yangu kuopa mwanamke ni zero probability.
Hapa tupige porojo ya migegedo basi. Ukitaka kugegeda kweli kweli pba huko mtaani.
 
Back
Top Bottom