Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha pepo amejijenga kwako dalili ndio hizo kemeaUsingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho.
Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
OkokaUsingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho.
Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
NILICHEMKA KUOKOKA KAZ NGUMU SANA
ulaya ningepewa huduma ya kwanza na kumuona msaikolojia.ww watukana mgonjwa.Acha ujinga
Acha umalayaUsingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho.
Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
Okulaya ningepewa huduma ya kwanza na kumuona msaikolojia.ww watukana mgonjwa.
Huna usingiziUsingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho.
Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
basi kama unashindwa, You already proved kwamba wewe ni losernIfanyeje?
kanisani nikienda naishia kutazama warembo nashindwa kutuliza bichwa
Njia ya wokovu ni ngumu lakini ukitia nia na maombi huwezi kushindwa! Mimi niliweza jaribu nenda kafanye sasaNILICHEMKA KUOKOKA KAZ NGUMU SANA
NAfanya kaz ngumu hata nikichoka vp nikikaa kitandan bila kuwaza warembo usingizi unapaa. niliuza ardh ya urithi arumeru nikaja dar nikanunua boda hali ngumu nikaona nipge mishe za ujenz. Ila darisalama kuna warembo sana tatzo wanapenda ela mno mm nawaprint nikirud usk nawapitia ktk memori ndiyo nilaleHuna usingizi
🤣🤣🤣 Umepona sasa?Umenikumbusha mbali sana....nilikuwa mzee wa nyeto yaani siwezi pata usingizi pasipo kunyetuka
Ndio nimeshaachana na nyeto thanks to badoo and tinder🤣🤣🤣 Umepona sasa?
ALuu unafaudu sana..mm kaz ya tofari mpk nijichange naishia kuwapitia mawazoni. hamna dem mbeba tofari hum nyie wakongwe mniunganishe naye huyo ndo atakua solumate wangu. Au wa humu wote minara kupanda ukaze lohoo?Ndio nimeshaachana na nyeto thanks to badoo and tinder
Wee jf kila demu huku mzuri ana tako na anakula pizza tuu. Ukitongiza tuu utasikia tuma vocha. Sasa ole wako utume vocha ya buku, utaoga matusi mpaka ushangae. Kwa kifupi tuu jf ndugu yangu kuopa mwanamke ni zero probability.ALuu unafaudu sana..mm kaz ya tofari mpk nijichange naishia kuwapitia mawazoni. hamna dem mbeba tofari hum nyie wakongwe mniunganishe naye huyo ndo atakua solumate wangu. Au wa humu wote minara kupanda ukaze lohoo?