Sipati usingizi usiku najikuta nafikiria matukio ya mchana

Sipati usingizi usiku najikuta nafikiria matukio ya mchana

Pole sana...

Punguza mawazo, au kuwaza vitu ambavyo kwa namna moja au nyingine hutoweza kuvifanikisha...


Cc: mahondaw
 
Hewa ipo ya kutosha ni pazur ninapolala hapana shda kabxa
duh! mkuu hichi kiswahili chako sikipendi utanisamehe bure!,hivi hauwezi kuandika maneno ya kiusahihi..?
kumbuka mazoea hujenga tabia.
 
duh! mkuu hichi kiswahili chako sikipendi utanisamehe bure!,hivi hauwezi kuandika maneno ya kiusahihi..?
kumbuka mazoea hujenga tabia.
Natumia kifup cha mcng si nieleweke hamna haja ya kuandka lisentes liref liclokuwa na maana
 
Natumia kifup cha mcng si nieleweke hamna haja ya kuandka lisentes liref liclokuwa na maana

Umemaliza chuo hata hujui thamani ya lugha yako. Badilika katika hilo.

Kuhusu tatizo lako nakupa pole ila badili mfumo wa kufikiri mambo ukiyaangalia kwa uchanya.
 
Pole jaribu kutumia njia hii itakusaidia chukua bilinganya kata vipande vidogovidogo kiasi ambacho kitakutosha kula changanya na mayai moja au mawili ya kienyeji kaanga kwa pamoja tumia ndani ya wiki moja na ni mara moja tu kwa siku hakika utapata usingizi murua kabisa na ulete mrejesho hapa
 
Pole jaribu kutumia njia hii itakusaidia chukua bilinganya kata vipande vidogovidogo kiasi ambacho kitakutosha kula changanya na mayai moja au mawili ya kienyeji kaanga kwa pamoja tumia ndani ya wiki moja na ni mara moja tu kwa siku hakika utapata usingizi murua kabisa na ulete mrejesho hapa
Asante ntaleta mrejesho
 
Habar zenu? Naomben msaada wenu wapenz nina tatzo napata shida kupata usingzi ikitokea nikipata ni kwenye saa 7 ucku na nikianza tu kusinzia mavitu yanajirudia kichwan yote nilivyofanya mchana nakuwa kama vile naota ila cyo ndoto ni marudio ya matukio yote niliyofanya mchana kikitoka hiki kinaingia hiki mpak kunakucha hata mchana nikilala vtu vnajirudia kichwan hata ninavyoandka hapa ucku kitajirudia kichwan, naomben ushaur nifanyaje au nitumie Dawa gan hii hali initoke
Pole sana mkuu! Bilashaka ni matokeo ya jambo/mambo fulani ambayo yamesumbua saikolojia yako. Yawezekana ni mahusiano, uchumi n.k
Ushauri;
1. Tumia muda mwingi kufanyakazi/shughuli yoyote ambayo unaifanya
2. Fanya sala na maombi, soma neno la Mungu
3. Fanya mazoezi ya viungo kama vile kukimbia n.k
4. Epuka hali ya kujitenga yaani kuwa peke yako kwa muda mrefu
5. KWAMWE USI JARIBU KUTUMIA VIDONGE VYA USINGIZI AU KILEVI CHOCHOTE.
 
Pole sana mkuu! Bilashaka ni matokeo ya jambo/mambo fulani ambayo yamesumbua saikolojia yako. Yawezekana ni mahusiano, uchumi n.k
Ushauri;
1. Tumia muda mwingi kufanyakazi/shughuli yoyote ambayo unaifanya
2. Fanya sala na maombi, soma neno la Mungu
3. Fanya mazoezi ya viungo kama vile kukimbia n.k
4. Epuka hali ya kujitenga yaani kuwa peke yako kwa muda mrefu
5. KWAMWE USI JARIBU KUTUMIA VIDONGE VYA USINGIZI AU KILEVI CHOCHOTE.
Asante my
 
Back
Top Bottom