Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Wajuvi wa mambo habari zenu,
Ni wiki ya 2 sasa kausingizi kamenipotea kabsaa, yaani sipati usingizi mchana, sipati usingizi usiku. Hadi nafikiria na kushawishika kugonga tena konyagi labda kanaweza jitokeza kitu ambacho nimefanikiwa kukiacha.
Najaribu kujichunguza labda kuna jambo linanitatiza kichwani lakini sioni wala sihisi kinachonisumbua, everything is under my full control.
Sijisikii homa wala chochote mwilini.
Nini inaweza kuwa sababu ya hali hii?
Ni wiki ya 2 sasa kausingizi kamenipotea kabsaa, yaani sipati usingizi mchana, sipati usingizi usiku. Hadi nafikiria na kushawishika kugonga tena konyagi labda kanaweza jitokeza kitu ambacho nimefanikiwa kukiacha.
Najaribu kujichunguza labda kuna jambo linanitatiza kichwani lakini sioni wala sihisi kinachonisumbua, everything is under my full control.
Sijisikii homa wala chochote mwilini.
Nini inaweza kuwa sababu ya hali hii?