Sipati usingizi wiki ya 2 sasa

Sipati usingizi wiki ya 2 sasa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Wajuvi wa mambo habari zenu,

Ni wiki ya 2 sasa kausingizi kamenipotea kabsaa, yaani sipati usingizi mchana, sipati usingizi usiku. Hadi nafikiria na kushawishika kugonga tena konyagi labda kanaweza jitokeza kitu ambacho nimefanikiwa kukiacha.

Najaribu kujichunguza labda kuna jambo linanitatiza kichwani lakini sioni wala sihisi kinachonisumbua, everything is under my full control.

Sijisikii homa wala chochote mwilini.

Nini inaweza kuwa sababu ya hali hii?
 
Wajuvi wa mambo habari zenu,

Ni wiki ya 2 sasa kausingizi kamenipotea kabsaa, yaani sipati usingizi mchana, sipati usingizi usiku. Hadi nafikiria na kushawishika kugonga tena konyagi labda kanaweza jitokeza kitu ambacho nimefanikiwa kukiacha.

Najaribu kujichunguza labda kuna jambo linanitatiza kichwani lakini sioni wala sihisi kinachonisumbua, everything is under my full control.

Sijisikii homa wala chochote mwilini.

Nini inaweza kuwa sababu ya hali hii?
Kuna sehemu utakua ulijikwaa. Hapa ulipo ndio ulipodondokea/kinachotokea sasa. Unahitaji kufanya review kwa utulivu na kuziba viraka.
 
Kuna sehemu utakua ulijikwaa. Hapa ulipo ndio ulipodondokea/kinachotokea sasa. Unahitaji kufanya review kwa utulivu na kuziba viraka.
shukran jazilan shekhee
 
Back
Top Bottom