kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Mkuu umeongea ukwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiv unaweza kusema hivyo mond katoa nyimbo sijui 2 au 3 kwa mpigo lakin had sasa hakuna inayovuma hata mojaDhahabu hats uiweke kwenye uchafu gani itang'aa tu. So uniona ivyo nyie team kiba pamoja na huyo king hamjiamini. Watoe wrote zishindane mkali lazima ang'ae. So ukiona ivyo ujue nyimbo anazotoa Kiba hazina uwezo ku-compete na WCB.
Mm nakerwa na hii ltabia hata kama hawashindani wanapofanya ivo inaonekana wazi wanashindana na mshikaji cha kufanya wapotezeee akitoa ngoma wakae pemben wasikilizie upepo. Kufanya iv wanamtengenezea mwenzao kiki bila wao kujua.Sasa si usikilize mziki unaoupenda.
Mm nakerwa na hii ltabia hata kama hawashindani wanapofanya ivo inaonekana wazi wanashindana na mshikaji cha kufanya wapotezeee akitoa ngoma wakae pemben wasikilizie upepo. Kufanya iv wanamtengenezea mwenzao kiki bila wao kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa.. We jamaa una masihara sana yani hakuna wimbo hata mmoja was Mondi unaovuma. Unasikilizaga redio matete au.? Au upon mabonde kwinama zinapatikana radio za Malawi tu. Tanya research Mara ya piliHiv unaweza kusema hivyo mond katoa nyimbo sijui 2 au 3 kwa mpigo lakin had sasa hakuna inayovuma hata moja
inafika kipindi mtu anatoa nyimbo tatu afu zote famba...ila King akifurumuka huko wanatafutana hahahaaaa...Wanagombana na kiba ila yy hagombani nao,wanatoa yao kwa kukosa kujimini kama ulivyosema
waogaaaaa nyimbo zao nyepes then...wiki,wiki mbili mzigo umechacha ni chache sana zinaziweza kudumu at least miez 4-6Yaa hili hata mimi nakuunga mkono inakua kama wanashinda vile na kiba.. pia wakisia kati ya kiba au ommy wana interview clouds nao siku inayofuata wanaomba wakati mwingne io siku ya interview nao wanaenda hata pasipo kufanya interview ili waharibu hari ya wenzao... mfn ommy kutoa nyimbo siku inayofuata diamond nae katoa nyimbo kila mtu atembelee ridhiki yake kwa ilo hata mimi nawatia 0
asiyejiamini n yule anayetoa kila kukicha akiogopa kupotea bt mtu kakaa nnje ya muziki miaka 3 karudi anawakimbiza na bado anakaa miez 8 bila kutoa ngoa na akitoa n motooooAsiye jiamini ni yule aliyeshindwa kutoa wimbo hadi sasa.....
WCB ni kama tecno vitu vyao vya bei rahis kila siku wanaweka afu KIBA kama Sony au Samsung au NokiaHujui business strategic wewe piga kimya,na sio team WCB ni mamruki wewe.
Kwanini unaenda kwa Mangi anaeuza unga elfu 2400 na kumkimbia kpare anaeuza unga 2500??
Jijibu kimya kimya
Tatizo kama nyie team kibakuli bhn kama mond katoa nyimbo c mtulie mumsubirie kibakuli watakaoamua kusikiliza watasikilizaasiyejiamini n yule anayetoa kila kukicha akiogopa kupotea bt mtu kakaa nnje ya muziki miaka 3 karudi anawakimbiza na bado anakaa miez 8 bila kutoa ngoa na akitoa n motoooo
Sent using Jamii Forums mobile app