Sipendezwi na tabia ya Baadhi ya Wafuasi na viongozi wa CHADEMA kuita viongozi wa vyama vingine Majina ya Matusi, kejeli na dhihaka

Sipendezwi na tabia ya Baadhi ya Wafuasi na viongozi wa CHADEMA kuita viongozi wa vyama vingine Majina ya Matusi, kejeli na dhihaka

SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo mengine na bado ukatunza heshima yake na yako na kuulinda UTU wake.

Kumzidi MTU Akili au Elimu isiwe sababu ya kumkejeli na kumdhihaki. Hicho kinaitwa Kiburi yàani kujiona bora kuliko Mwingine.

Mtu kuchagua kuwa Chama Fulani cha kisiasa isiwe kigezo cha kumtukana na kumshushia heshima yake.

Chunguzi zangu zinaonyesha, WAFUASI wengi wa CHADEMA wanaongoza Kwa kukejeli WAFUASI wa vyama vingine au wasio na vyama.

Wafuasi wa CHADEMA, wakikuuliza wewe Chama gàni ukawajibu hauna Chama au Chama chako ni tofauti na CHADEMA, wanaanza kuonyesha dharau, KEJELI na kukuona hujitambui. Jambo ambalo siô Sawa Kabisa. Hii siô HAKI.

Mtu anayohaki ya kuchagua Jambo lolote àmbalo halivunji Sheria ya nchi.

Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.

Siô ajabu MTU mwenye ushawishi Kabisa wa CHADEMA akathubutu kum- Label Kiongozi wa CCM au ACT kwa jina la KEJELI au dhihaka na asione shida.
Hiyo siô Sahihi Kwa Watu waungwana, kama Sisi Watibeli. Wapeñda Haki, Upendo, ukweli na Àkili.

Unamuita Mtu Bumunda,
Unamuita Mtu Kipara,
Unamuita Mtu Meko,
Unamuita Mtu Jumong n.k.

Kisaikokojia, MTU unayeamua kum-label Kwa majina Mabaya NI Yule àmbaye hutaki abadilike kuwa Mtu mzuri. NI adui yako na Huna mpàngo wa kumgeuza ràfiki.

Kutofautiana na Watu siô uadui.
Kumzidi MTU Akili siô uadui.

Huenda NI kwèli Kabisa wàpo viongozi wa CCM ambao wanabebwa Kwa mbeleko na Hawana uwezo lakini hiyo haimaanishi Hawana chochote wanachoweza kukifanya,
Simaanishi kuwa Mtu asiye na uwezo apewe nafasi iliyojuu ya uwezo wake ila nazungumzia wale wanaojiona weñye uwezo wanaodharau na kukejeli weñye uwezo mdogo.

Kiutawala, MTU Yule anayejiona Bora kuliko Wengine hunyimwa nafasi hata kama anauwezo kweli.

Hata kwèñye ngazi ya familia, Mtoto mwenye kiburi, dharau Kwa Watoto wenzake kisa amejaliwa kitu au Jambo Fulani íwe NI Akili au mvuto Mzazi mwenye Akili hawezi kumpa nafasi Kwa sababu Kiburi huleta Maanguko na hubomoa Nyumba.

Kikawaida Mbinu inayotumika kumshambulia adui ndîo Mbinu hiyohiyo inayoweza kûtumika kushambulia Watu WA nyumbani.
Mfano, kama Mbinu ya Chama Fulani NI utekaji na uuaji Kwa vyama pinzani siô ajabu Mbinu hizohizo zikatumika ndani ya Chama Husika.

Mfano, CCM wanatabia ya kuwaadhibu wapinzani waô Kwa Mbinu ya figisufigisu, Kuzuia Uhuru wa vyama vingine, n.k.
Hii inamaanisha hata Humo ndàni ya CCM Mbinu hizohizo hutumika ndàni ya Chama, kama CCM huzuia Uhuru wa vyama vingine hii inamaanisha hata ndàni ya CCM hakuna Uhuru.

Nikirudi kwèñye Hoja, CHADEMA inapotoa maneno ya kashfa na kum-label MTU WA Chama kingine Kwa Kanuni ya ukitaka kukuua mbwa mpe jina baya. Hii inamaanisha ndicho hichohicho kinachofanyika ndani ya Chama.

Sisi Watibeli tukitaka kujua tàbia ya Mtu au kundi la Watu Moja ya Mbinu tunayoitumia NI kuangalia MTU au kundi Hilo jinsi linavyowatendea Watu wanaotofautiana nao íwe ni upinzani au adui halisi.

Haki Ipo mpaka Kwa Adui.
Adui naye anahaki Zake. Kîla kiwango cha Adui kina namna ya Kutoa Haki.

Àndiko Hili halimaanishi kuwa Kosa linapofanyika MTU asikosolewe Bila kujali cheo Wala jina lake. Ila katika namna ya Kukosoa au kuadhibu Upendo na haki lazima vizingatiwe.

Mfano, Kiongozi wa Chama Fulani amebaka, Mahakamani ataitwa mshukiwa mpaka atakapokutwa na hatia, ñdipo ataitwa Mbakaji.

Lakini MTU hawezi kuwa Mbakaji daima, kama vile MTU asivyoweza kutenda ûzuri Fulani Daima.
Kum- Label Mtu Mbakaji kîla Siku hata kama ameacha kubaka NI dalili ya kumkosea HAKI mtenda Kosa.

Kisaikokojia na kifalsafa, Mtu anayetumia past yako hata kama imefanyika Miaka 10 iliyopita na ulishaacha huyo anachuki. Chuki huangalia bad past Bila kujali kuna mabadiliko au vipi.

Mfano, hooo! Huyo Mwizi WA Magari blah! Blah! Blah! Lakini hata kama NI kwèli lakini tukio Hilo lilitokea Miaka 20 iliyopita.
Ni kwèli aliiba lakini hiyo Haimaanishi kuwa mtu huyo Kwa Sasa NI Mwizi wa Magari.

Kihaki na kiutu, hata ûkifika Mahakama yoyote yenye kuzingatia Haki, Huwezi muita MTU Kwa Jina au Sifa mbaya iliyotukia Miaka ya Nyuma.

Hii inaenda sambamba na mambo mazuri.
Huwezi muita MTU mzuri Kwa vitendo alivyofanya Miaka Kumi Huko iliyopita. Au Huwezi kumwona Mtoto WA Fulani NI mwema Kwa sababu nyakati za Nyuma Babaake alikuwa mwema.
Ndîo hiyo ya kumpa MTU cheo Kwa kutumia Sifa ya Baba yake au ûkoo.

Hii inaenda Sambamba na mataifa, kûna Ile kasumba Watu wame- Label mataifa Fulani kama mataifa yenye weledi katika medani za kivita, mathalani Taifa la Israel.
Huwezi tumia Sifa ya mwaka 1967 itumike 2024. Mambo hubadilika.
Na mabadiliko NI sehemu ya HAKI ili kuendana na Hali, Muktadha, na Wakati Husika.

Wito wàngu, tàbia hii ya ku-label Watu Kwa majina ya dhihaka, KEJELI, matusi àmbayo inafanywa katika siasa za nchi yetu iachwe. Watu wawe waadilifu.
Nimeitumia CHADEMA kama mfano ambacho kinawakilisha vyama vingine. Kumaanisha wale wôte weñye tàbia hii waache kwani siô tuu kuwakosea Watu Wengine Ûtu wao Bali hata Wanao-Label wanajikosea.

Haina tofauti na Chawa, labda hiyo NI tàbia ya Kubuni.

Hivyo ndivyo Watibeli tunavyofanya mambo yetu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Uzi mrefu umeandika ujinga tu.
hizo ni dalili kuwa watu wengi ni jobless

Hivi mjasiriamali au mwekezajin unupata wapi muda kuandika Uzi wa kipuuzi kama huu

Haya sasa unata maccm tu wa sugar coat ili iweje
Ccm ni majizi tu ndo jina linawafaa
 
Una kipaji bata cha kuandika Bible.

wekeza nguvu kuelemisha ndugu zako ili wajijitambue na waache kutumika na sisiemu kama condom, Acha kupoteza muda kujadili watu ambao hawakusanyi kodi ilihali ndugu zako wakifa kwa umasikini kule Ushilombo.
You are not rational, you blame the victim so far
 
CCM ndiyo wameanza hiyo tabia wanachofanya Chadema ni kujibu mapigo tu,au hujua kuwa CCM wanawaita wafuasi wa Chadema nyumbu? Mbowe na Lissu wanatukanwa matusi ya nguoni na vijana wa CCM. Hukumsikia Kada wa CCM Msigwa kwenye mikutano yake anamuita Mbowe Nkurunzinza?
Ubaya ubwela,CCM ndiyo waasisi wa siasa za majitaka
 

Attachments

  • IMG-20200403-WA0003~2.jpg
    IMG-20200403-WA0003~2.jpg
    18.8 KB · Views: 1
Uzi mrefu umeandika ujinga tu.
hizo ni dalili kuwa watu wengi ni jobless

Hivi mjasiriamali au mwekezajin unupata wapi muda kuandika Uzi wa kipuuzi kama huu

Haya sasa unata maccm tu wa sugar coat ili iweje
Ccm ni majizitu ndo jina linawafas

Wewe umepata Musa Wapi WA kusoma Uzi mrefu Kisha Kutoa haya maonî?

Hakuna anayebisha wizi WA CCM na hawajawahi kujitetea wao sio wezi.
Ila mbona upande wenu mnaotukana watu mkiambiwa ukweli mnaukataa?

Uliwahi kuona popote CCM wakijitetea?
 
SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo mengine na bado ukatunza heshima yake na yako na kuulinda UTU wake.

Kumzidi MTU Akili au Elimu isiwe sababu ya kumkejeli na kumdhihaki. Hicho kinaitwa Kiburi yàani kujiona bora kuliko Mwingine.

Mtu kuchagua kuwa Chama Fulani cha kisiasa isiwe kigezo cha kumtukana na kumshushia heshima yake.

Chunguzi zangu zinaonyesha, WAFUASI wengi wa CHADEMA wanaongoza Kwa kukejeli WAFUASI wa vyama vingine au wasio na vyama.

Wafuasi wa CHADEMA, wakikuuliza wewe Chama gàni ukawajibu hauna Chama au Chama chako ni tofauti na CHADEMA, wanaanza kuonyesha dharau, KEJELI na kukuona hujitambui. Jambo ambalo siô Sawa Kabisa. Hii siô HAKI.

Mtu anayohaki ya kuchagua Jambo lolote àmbalo halivunji Sheria ya nchi.

Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.

Siô ajabu MTU mwenye ushawishi Kabisa wa CHADEMA akathubutu kum- Label Kiongozi wa CCM au ACT kwa jina la KEJELI au dhihaka na asione shida.
Hiyo siô Sahihi Kwa Watu waungwana, kama Sisi Watibeli. Wapeñda Haki, Upendo, ukweli na Àkili.

Unamuita Mtu Bumunda,
Unamuita Mtu Kipara,
Unamuita Mtu Meko,
Unamuita Mtu Jumong n.k.

Kisaikokojia, MTU unayeamua kum-label Kwa majina Mabaya NI Yule àmbaye hutaki abadilike kuwa Mtu mzuri. NI adui yako na Huna mpàngo wa kumgeuza ràfiki.

Kutofautiana na Watu siô uadui.
Kumzidi MTU Akili siô uadui.

Huenda NI kwèli Kabisa wàpo viongozi wa CCM ambao wanabebwa Kwa mbeleko na Hawana uwezo lakini hiyo haimaanishi Hawana chochote wanachoweza kukifanya,
Simaanishi kuwa Mtu asiye na uwezo apewe nafasi iliyojuu ya uwezo wake ila nazungumzia wale wanaojiona weñye uwezo wanaodharau na kukejeli weñye uwezo mdogo.

Kiutawala, MTU Yule anayejiona Bora kuliko Wengine hunyimwa nafasi hata kama anauwezo kweli.

Hata kwèñye ngazi ya familia, Mtoto mwenye kiburi, dharau Kwa Watoto wenzake kisa amejaliwa kitu au Jambo Fulani íwe NI Akili au mvuto Mzazi mwenye Akili hawezi kumpa nafasi Kwa sababu Kiburi huleta Maanguko na hubomoa Nyumba.

Kikawaida Mbinu inayotumika kumshambulia adui ndîo Mbinu hiyohiyo inayoweza kûtumika kushambulia Watu WA nyumbani.
Mfano, kama Mbinu ya Chama Fulani NI utekaji na uuaji Kwa vyama pinzani siô ajabu Mbinu hizohizo zikatumika ndani ya Chama Husika.

Mfano, CCM wanatabia ya kuwaadhibu wapinzani waô Kwa Mbinu ya figisufigisu, Kuzuia Uhuru wa vyama vingine, n.k.
Hii inamaanisha hata Humo ndàni ya CCM Mbinu hizohizo hutumika ndàni ya Chama, kama CCM huzuia Uhuru wa vyama vingine hii inamaanisha hata ndàni ya CCM hakuna Uhuru.

Nikirudi kwèñye Hoja, CHADEMA inapotoa maneno ya kashfa na kum-label MTU WA Chama kingine Kwa Kanuni ya ukitaka kukuua mbwa mpe jina baya. Hii inamaanisha ndicho hichohicho kinachofanyika ndani ya Chama.

Sisi Watibeli tukitaka kujua tàbia ya Mtu au kundi la Watu Moja ya Mbinu tunayoitumia NI kuangalia MTU au kundi Hilo jinsi linavyowatendea Watu wanaotofautiana nao íwe ni upinzani au adui halisi.

Haki Ipo mpaka Kwa Adui.
Adui naye anahaki Zake. Kîla kiwango cha Adui kina namna ya Kutoa Haki.

Àndiko Hili halimaanishi kuwa Kosa linapofanyika MTU asikosolewe Bila kujali cheo Wala jina lake. Ila katika namna ya Kukosoa au kuadhibu Upendo na haki lazima vizingatiwe.

Mfano, Kiongozi wa Chama Fulani amebaka, Mahakamani ataitwa mshukiwa mpaka atakapokutwa na hatia, ñdipo ataitwa Mbakaji.

Lakini MTU hawezi kuwa Mbakaji daima, kama vile MTU asivyoweza kutenda ûzuri Fulani Daima.
Kum- Label Mtu Mbakaji kîla Siku hata kama ameacha kubaka NI dalili ya kumkosea HAKI mtenda Kosa.

Kisaikokojia na kifalsafa, Mtu anayetumia past yako hata kama imefanyika Miaka 10 iliyopita na ulishaacha huyo anachuki. Chuki huangalia bad past Bila kujali kuna mabadiliko au vipi.

Mfano, hooo! Huyo Mwizi WA Magari blah! Blah! Blah! Lakini hata kama NI kwèli lakini tukio Hilo lilitokea Miaka 20 iliyopita.
Ni kwèli aliiba lakini hiyo Haimaanishi kuwa mtu huyo Kwa Sasa NI Mwizi wa Magari.

Kihaki na kiutu, hata ûkifika Mahakama yoyote yenye kuzingatia Haki, Huwezi muita MTU Kwa Jina au Sifa mbaya iliyotukia Miaka ya Nyuma.

Hii inaenda sambamba na mambo mazuri.
Huwezi muita MTU mzuri Kwa vitendo alivyofanya Miaka Kumi Huko iliyopita. Au Huwezi kumwona Mtoto WA Fulani NI mwema Kwa sababu nyakati za Nyuma Babaake alikuwa mwema.
Ndîo hiyo ya kumpa MTU cheo Kwa kutumia Sifa ya Baba yake au ûkoo.

Hii inaenda Sambamba na mataifa, kûna Ile kasumba Watu wame- Label mataifa Fulani kama mataifa yenye weledi katika medani za kivita, mathalani Taifa la Israel.
Huwezi tumia Sifa ya mwaka 1967 itumike 2024. Mambo hubadilika.
Na mabadiliko NI sehemu ya HAKI ili kuendana na Hali, Muktadha, na Wakati Husika.

Wito wàngu, tàbia hii ya ku-label Watu Kwa majina ya dhihaka, KEJELI, matusi àmbayo inafanywa katika siasa za nchi yetu iachwe. Watu wawe waadilifu.
Nimeitumia CHADEMA kama mfano ambacho kinawakilisha vyama vingine. Kumaanisha wale wôte weñye tàbia hii waache kwani siô tuu kuwakosea Watu Wengine Ûtu wao Bali hata Wanao-Label wanajikosea.

Haina tofauti na Chawa, labda hiyo NI tàbia ya Kubuni.

Hivyo ndivyo Watibeli tunavyofanya mambo yetu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Ni KWELI kabisa kwamba tabia hiyo siyo nzuri hata kidogo, Wala haipaswi kabisa ikaachwa iendelee kuwepo. Lakini kwa bahati mbaya sana nasikitika kukueleza kwamba CCM na 'Mawakala' wake ndio Waasisi wa tabia hiyo chafu na isiyofaa hapa nchini Tanzania. CCM ndio watekelezaji wakuu wa mchezo huo mchafu, Nina ushahidi mwingi Sana kwenye suala kama hili.

Je, unafahamu maana ya:-
1. Characters Assassination and Smear Campaign Propaganda??
Namna jinsi Operesheni yake inavyofanyika??
2. Black Propagandas?? Yellow Propagandas??
3. Disinformation Propagandas??
Misinformation Propagandas????

CCM na Mawakala wao ni Mabingwa na Magwiji wa kufanya michezo michafu niliyoitaja hapa juu(Na.1 hadi Na.3.)

Nafikiri wewe binafsi Robert Heriel Mtibeli hauna ufahamu wa kutosha kuhusu masuala haya, watu wengi sana tayari wameumizwa vibaya Sana kutokana na michezo michafu Kama hiyo niliyoitaja, na orodha ya wahanga bado inaendelea kuongezeka siku hadi siku. Hiyo ni michezo ya Siasa chafu za Majitaka ya mtaro ambayo CCM wamekuwa wakiicheza miaka yote.

Je, Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini katika miji yote kabisa nchini Tanzania Kuna Vilinge vya Kahawa (aka: Vijiwe Nongwa) vingi Sana karibia kwenye mitaa, vijiji na Vitongoji vyote kabisa?? Nani hasa ni Mfadhili wa uanzishwaji wa hivyo vilinge vya kahawa???
Umeshawahi kujiuliza swali hili na kulitafutia majibu yake sahihi??
Je, umeshawahi kuwachunguza kwa undani zaidi kuhusu maisha yao binafsi hao Watu ambao huwa wanashinda kutwa kucha kwenye hivyo Vilinge vya Kahawa huku Wakipiga Soga na Porojo siku zote?????

Wachunguze kwa umakini sana hao Watu ambao huwa wanaoshinda kwenye hivyo Vilinge vya Kahawa (wenyewe wanaviita kwa Jina la "Vijiwe Nongwa") na Ufuatilie kuhusu kazi zao au shughuli zao wanazofanya Kisha urudi hapa JF kutoa ushuhuda na feedback kuhusu hii thread yako ya leo.
 
Moja ya vitu àmbavyo nilichukia NI pàmoja na hicho.

..Je, umewahi kuandika makala kulaani au kukemea matusi na ukatili wa Ccm dhidi ya vyama vya upinzani?

..Mimi nadhani ili kutenda HAKI usingeandika makala ya kujenga chama kimoja, Chadema, peke yake.

..Kama unatambua kwamba kuna lugha ya matusi na kejeli kwa VYAMA VYOTE je ni sahihi kukemea chama kimoja?

..Nakushauri utafute masada wa moderator kurekebisha hoja yako ili uweze kumtendea hoja yako haki, lakini ukiacha kama ilivyo utaonekana kama mtu mwenye NIA MBAYA.
 
Ni KWELI kabisa kwamba tabia hiyo siyo nzuri hata kidogo, Wala haipaswi kabisa ikaachwa iendelee kuwepo. Lakini kwa bahati mbaya sana nasikitika kukueleza kwamba CCM na 'Mawakala' wake ndio Waasisi wa tabia hiyo chafu na isiyofaa hapa nchini Tanzania. CCM ndio watekelezaji wakuu wa mchezo huo mchafu, Nina ushahidi mwingi Sana kwenye suala kama hili.

Je, unafahamu maana ya:-
1. Characters Assassination and Smear Campaign Propaganda??
Namna jinsi Operesheni yake inavyofanyika??
2. Black Propagandas?? Yellow Propagandas??
3. Disinformation Propagandas??
Misinformation Propagandas????

CCM na Mawakala wao ni Mabingwa na Magwiji wa kufanya michezo michafu niliyoitaja hapa juu(Na.1 hadi Na.3.)

Nafikiri wewe binafsi Robert Heriel Mtibeli hauna ufahamu wa kutosha kuhusu masuala haya, watu wengi sana tayari wameumizwa vibaya Sana kutokana na michezo michafu Kama hiyo jiliyoitaja, na orodha ya wahanga bado inaendelea kuongezeka siku hadi siku. Hiyo ni michezo ya Siasa chafu za Majitaka ya mtaro ambayo CCM wamekuwa wakiicheza miaka yote.

Je, Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini katika miji yote nchini Tanzania Kuna Vilinge vya Kahawa vingi Sana karibia kwenye mitaa, vijiji na Vitongoji vyote kabisa??Umeshawahi kujiuliza swali hili na kulitafutia majibu yake sahihi??
Je, umeshaawahi

Umejadili Vizuri Sana Mkûu.
Uliyoyasema kwa kiasi kikubwa sina ujuzi nayo kama ulivyokisia.

Sasa ishu yàngu NI kuwa Chama mbadala au pinzani kama CHADEMA kinapaswa kisifuate midundo mibaya ya CCM ili kuepukana kufanana nacho,

CHADEMA na vyama vingine vinaweza Kutumia njia ñyiñgine zaidi kuliko kuiga njia mbaya wanazotumia CCM ili Kulinda uadilifu wa Chama na wanachama.

Mfano, CHADEMA wanawashutumu na kûna Wakati hutoa ushahidi wa wazi kuhusu CCM kuiba Kura. Unàtaka kuniambia kûna Siku CHADEMA nao watataka kuiba Kura kisa CCM waliwaibia?
 
Wewe ni Taikuni wa Fasihi sawa..Karibu CHADEMA usiogope..Misimamo yote Ruksa Ukiwa CHADEMA..Ukipenda kukawakabili CCM kwa sitaha ni wewe tu, ila wengine hawawezi..Tulishaumizwa mno na CCM, tumezika, tuna walemavu nk.Sasa huwezi kumpenda na kumpamba yeyote aliye upande huo..:Nimefungua codes nadhani..
 
Wewe ni Taikuni wa Fasihi sawa..Karibu CHADEMA usiogope..Misimamo yote Ruksa Ukiwa CHADEMA..Ukipenda kukawakabili CCM kwa sitaha ni wewe tu, ila wengine hawawezi..Tulishaumizwa mno na CCM, tumezika, tuna walemavu nk.Sasa huwezi kumpenda na kumpamba yeyote aliye upande huo..:Nimefungua codes nadhani..

Nashukuru Kwa ukaribisho Mkûu lakini Kwa heshima yako naomba niwe MTU Huru àmbaye nitaweza kuwaweka Sawa ninyi ndugu wawili CCM na CHADEMA pasipo kumwonea au kumpendelea yeyote kwani sitakuwa na maslahi na Chama chochote
 
Wewe umepata Musa Wapi WA kusoma Uzi mrefu Kisha Kutoa haya maonî?

Hakuna anayebisha wizi WA CCM na hawajawahi kujitetea wao sio wezi.
Ila mbona upande wenu mnaotukana watu mkiambiwa ukweli mnaukataa?

Uliwahi kuona popote CCM wakijitetea?

..Ccm siku zote wanajitetea kwamba huwa wanashinda kwa haki.

..hata majuzi Katibu Mwenezi wa Ccm amejitokeza kukanusha maelezo aliyoyatoa Nape kule Bukoba.

..Pia misimamo ya Ccm huelezwa na viongozi wao, labda ungetusaidia ni kiongozi gani wa Ccm amekubali kuwa wanaona kura kwa namna ambavyo wapinzani wamekuwa wakilalamika. Na hatua gani zimechukuliwa.
 
..Je, umewahi kuandika makala kulaani au kukemea matusi na ukatili wa Ccm dhidi ya vyama vya upinzani?

..Mimi nadhani ili kutenda HAKI usingeandika makala ya kujenga chama kimoja, Chadema, peke yake.

..Kama unatambua kwamba kuna lugha ya matusi na kejeli kwa VYAMA VYOTE je ni sahihi kukemea chama kimoja?

..Nakushauri utafute masada wa moderator kurekebisha hoja yako ili uweze kumtendea hoja yako haki, lakini ukiacha kama ilivyo utaonekana kama mtu mwenye NIA MBAYA.

Niliandika kipindi cha jpm mara nyingi tuu.

Niliandika na Kukosoa màtukio ya utekaji, mauaji na kupigana risasi hata tukio la Lisu niliandika Saa chache tangu alipopigwa.

Kiufupi NI kuwa Jambo lolote àmbalo ñàona haliendi Sawa Bila kujali limefanywa na CCM au CHADEMA ninaandikaga.
Japo siandiki mara Kwa mara
 
SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo mengine na bado ukatunza heshima yake na yako na kuulinda UTU wake.

Kumzidi MTU Akili au Elimu isiwe sababu ya kumkejeli na kumdhihaki. Hicho kinaitwa Kiburi yàani kujiona bora kuliko Mwingine.

Mtu kuchagua kuwa Chama Fulani cha kisiasa isiwe kigezo cha kumtukana na kumshushia heshima yake.

Chunguzi zangu zinaonyesha, WAFUASI wengi wa CHADEMA wanaongoza Kwa kukejeli WAFUASI wa vyama vingine au wasio na vyama.

Wafuasi wa CHADEMA, wakikuuliza wewe Chama gàni ukawajibu hauna Chama au Chama chako ni tofauti na CHADEMA, wanaanza kuonyesha dharau, KEJELI na kukuona hujitambui. Jambo ambalo siô Sawa Kabisa. Hii siô HAKI.

Mtu anayohaki ya kuchagua Jambo lolote àmbalo halivunji Sheria ya nchi.

Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.

Siô ajabu MTU mwenye ushawishi Kabisa wa CHADEMA akathubutu kum- Label Kiongozi wa CCM au ACT kwa jina la KEJELI au dhihaka na asione shida.
Hiyo siô Sahihi Kwa Watu waungwana, kama Sisi Watibeli. Wapeñda Haki, Upendo, ukweli na Àkili.

Unamuita Mtu Bumunda,
Unamuita Mtu Kipara,
Unamuita Mtu Meko,
Unamuita Mtu Jumong n.k.

Kisaikokojia, MTU unayeamua kum-label Kwa majina Mabaya NI Yule àmbaye hutaki abadilike kuwa Mtu mzuri. NI adui yako na Huna mpàngo wa kumgeuza ràfiki.

Kutofautiana na Watu siô uadui.
Kumzidi MTU Akili siô uadui.

Huenda NI kwèli Kabisa wàpo viongozi wa CCM ambao wanabebwa Kwa mbeleko na Hawana uwezo lakini hiyo haimaanishi Hawana chochote wanachoweza kukifanya,
Simaanishi kuwa Mtu asiye na uwezo apewe nafasi iliyojuu ya uwezo wake ila nazungumzia wale wanaojiona weñye uwezo wanaodharau na kukejeli weñye uwezo mdogo.

Kiutawala, MTU Yule anayejiona Bora kuliko Wengine hunyimwa nafasi hata kama anauwezo kweli.

Hata kwèñye ngazi ya familia, Mtoto mwenye kiburi, dharau Kwa Watoto wenzake kisa amejaliwa kitu au Jambo Fulani íwe NI Akili au mvuto Mzazi mwenye Akili hawezi kumpa nafasi Kwa sababu Kiburi huleta Maanguko na hubomoa Nyumba.

Kikawaida Mbinu inayotumika kumshambulia adui ndîo Mbinu hiyohiyo inayoweza kûtumika kushambulia Watu WA nyumbani.
Mfano, kama Mbinu ya Chama Fulani NI utekaji na uuaji Kwa vyama pinzani siô ajabu Mbinu hizohizo zikatumika ndani ya Chama Husika.

Mfano, CCM wanatabia ya kuwaadhibu wapinzani waô Kwa Mbinu ya figisufigisu, Kuzuia Uhuru wa vyama vingine, n.k.
Hii inamaanisha hata Humo ndàni ya CCM Mbinu hizohizo hutumika ndàni ya Chama, kama CCM huzuia Uhuru wa vyama vingine hii inamaanisha hata ndàni ya CCM hakuna Uhuru.

Nikirudi kwèñye Hoja, CHADEMA inapotoa maneno ya kashfa na kum-label MTU WA Chama kingine Kwa Kanuni ya ukitaka kukuua mbwa mpe jina baya. Hii inamaanisha ndicho hichohicho kinachofanyika ndani ya Chama.

Sisi Watibeli tukitaka kujua tàbia ya Mtu au kundi la Watu Moja ya Mbinu tunayoitumia NI kuangalia MTU au kundi Hilo jinsi linavyowatendea Watu wanaotofautiana nao íwe ni upinzani au adui halisi.

Haki Ipo mpaka Kwa Adui.
Adui naye anahaki Zake. Kîla kiwango cha Adui kina namna ya Kutoa Haki.

Àndiko Hili halimaanishi kuwa Kosa linapofanyika MTU asikosolewe Bila kujali cheo Wala jina lake. Ila katika namna ya Kukosoa au kuadhibu Upendo na haki lazima vizingatiwe.

Mfano, Kiongozi wa Chama Fulani amebaka, Mahakamani ataitwa mshukiwa mpaka atakapokutwa na hatia, ñdipo ataitwa Mbakaji.

Lakini MTU hawezi kuwa Mbakaji daima, kama vile MTU asivyoweza kutenda ûzuri Fulani Daima.
Kum- Label Mtu Mbakaji kîla Siku hata kama ameacha kubaka NI dalili ya kumkosea HAKI mtenda Kosa.

Kisaikokojia na kifalsafa, Mtu anayetumia past yako hata kama imefanyika Miaka 10 iliyopita na ulishaacha huyo anachuki. Chuki huangalia bad past Bila kujali kuna mabadiliko au vipi.

Mfano, hooo! Huyo Mwizi WA Magari blah! Blah! Blah! Lakini hata kama NI kwèli lakini tukio Hilo lilitokea Miaka 20 iliyopita.
Ni kwèli aliiba lakini hiyo Haimaanishi kuwa mtu huyo Kwa Sasa NI Mwizi wa Magari.

Kihaki na kiutu, hata ûkifika Mahakama yoyote yenye kuzingatia Haki, Huwezi muita MTU Kwa Jina au Sifa mbaya iliyotukia Miaka ya Nyuma.

Hii inaenda sambamba na mambo mazuri.
Huwezi muita MTU mzuri Kwa vitendo alivyofanya Miaka Kumi Huko iliyopita. Au Huwezi kumwona Mtoto WA Fulani NI mwema Kwa sababu nyakati za Nyuma Babaake alikuwa mwema.
Ndîo hiyo ya kumpa MTU cheo Kwa kutumia Sifa ya Baba yake au ûkoo.

Hii inaenda Sambamba na mataifa, kûna Ile kasumba Watu wame- Label mataifa Fulani kama mataifa yenye weledi katika medani za kivita, mathalani Taifa la Israel.
Huwezi tumia Sifa ya mwaka 1967 itumike 2024. Mambo hubadilika.
Na mabadiliko NI sehemu ya HAKI ili kuendana na Hali, Muktadha, na Wakati Husika.

Wito wàngu, tàbia hii ya ku-label Watu Kwa majina ya dhihaka, KEJELI, matusi àmbayo inafanywa katika siasa za nchi yetu iachwe. Watu wawe waadilifu.
Nimeitumia CHADEMA kama mfano ambacho kinawakilisha vyama vingine. Kumaanisha wale wôte weñye tàbia hii waache kwani siô tuu kuwakosea Watu Wengine Ûtu wao Bali hata Wanao-Label wanajikosea.

Haina tofauti na Chawa, labda hiyo NI tàbia ya Kubuni.

Hivyo ndivyo Watibeli tunavyofanya mambo yetu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Hiki chama kinatupiwa sana mawe.
Poleni sana wafuasi na wanachama wa chadema. Yani hiki chama ni kama vile ndicho kinachokusanya kodi za nchi.
Tusio na chama tunawaonea huruma.
 
Nashukuru Kwa ukaribisho Mkûu lakini Kwa heshima yako naomba niwe MTU Huru àmbaye nitaweza kuwaweka Sawa ninyi ndugu wawili CCM na CHADEMA pasipo kumwonea au kumpendelea yeyote kwani sitakuwa na maslahi na Chama chochote
Bumunda ni mikate ya Wakinga inayotengenezwa kwa ngano ghafi na ina Lishe muhimu

Kipara ni Kichwa kisicho na Nywele

Meko ni Team Captain wa Bush Stars

Jumong/ Chumong ni Mwana wa kufikia wa Mfalme Kumwa kule Korea aliyekuja kuurithi Ufalme akiwaacha Wana wa Mfalme Yung hop na kaka yake wakiambulia patupu

Matusi na Kejeli ziko wapi hapo?😂
 
Unaowakingia kifua wanafanya zaidi ya hayo “maneno mabaya”.

Wana doła, wana majeshi yote na wanakusanya kodi… hivyo huwa wanafanya zaidi ya matusi na kejeli za CDM. Unataka CDM watumie namna gani kudeal na hawa watu? watumie lugha gani?

Kama hauna D mbili usiguse comment yangu.
 
Vyama vijikite kufundisha wafuasi au wanachama wao itikadi za chama ili waweze kujenga na kumtetea hoja bila hivyo matusi hayataisha.
Binafsi Nina watu wangu wa karibu tunapojadili maswala ya kisiasa na kuwaeleza madhaifu yao wanakimbilia kukuita wewe ni Chadema au CCM.
Tatizo Hilo lipo kwa wafuasi wa vyama vyote.
 
Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.
Wewe mwenyewe hapa umejitambulisha waziwazi kuwa kinara wa hao unao walaumu. Wewe ni sehemu muhimu la tatizo unaloliona wewe kuwa tatizo.
Na kwa bahati nzuri au mbaya umejitangaza mwenyewe kuwa hupo CHADEMA!
 
SIPENDEZWI NA TÀBIA YA BAADHI YA WAFUASI NA VIONGOZI WA CHADEMA KUITA VIONGOZI WA VYAMA VINGINE MAJINA YA MATUSI, KEJELI NA DHIHAKA

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Unaweza kutofautiana na Mtu kimtazamo, kidini, kiitikadi, kielimu,kimaumbile, kihadhi, kiuchumi, kiukabila miongoni mwa mambo mengine na bado ukatunza heshima yake na yako na kuulinda UTU wake.

Kumzidi MTU Akili au Elimu isiwe sababu ya kumkejeli na kumdhihaki. Hicho kinaitwa Kiburi yàani kujiona bora kuliko Mwingine.

Mtu kuchagua kuwa Chama Fulani cha kisiasa isiwe kigezo cha kumtukana na kumshushia heshima yake.

Chunguzi zangu zinaonyesha, WAFUASI wengi wa CHADEMA wanaongoza Kwa kukejeli WAFUASI wa vyama vingine au wasio na vyama.

Wafuasi wa CHADEMA, wakikuuliza wewe Chama gàni ukawajibu hauna Chama au Chama chako ni tofauti na CHADEMA, wanaanza kuonyesha dharau, KEJELI na kukuona hujitambui. Jambo ambalo siô Sawa Kabisa. Hii siô HAKI.

Mtu anayohaki ya kuchagua Jambo lolote àmbalo halivunji Sheria ya nchi.

Sisemi kuwa vyama vingine kama CCM havina tàbia ya aina hiyo. Vinavyo lakini Kwa kiwango kidôgo ukilinganisha na CHADEMA.

CHADEMA Kwa tàbia hiyo mbaya ndîo Kinara namba Moja.

Siô ajabu MTU mwenye ushawishi Kabisa wa CHADEMA akathubutu kum- Label Kiongozi wa CCM au ACT kwa jina la KEJELI au dhihaka na asione shida.
Hiyo siô Sahihi Kwa Watu waungwana, kama Sisi Watibeli. Wapeñda Haki, Upendo, ukweli na Àkili.

Unamuita Mtu Bumunda,
Unamuita Mtu Kipara,
Unamuita Mtu Meko,
Unamuita Mtu Jumong n.k.

Kisaikokojia, MTU unayeamua kum-label Kwa majina Mabaya NI Yule àmbaye hutaki abadilike kuwa Mtu mzuri. NI adui yako na Huna mpàngo wa kumgeuza ràfiki.

Kutofautiana na Watu siô uadui.
Kumzidi MTU Akili siô uadui.

Huenda NI kwèli Kabisa wàpo viongozi wa CCM ambao wanabebwa Kwa mbeleko na Hawana uwezo lakini hiyo haimaanishi Hawana chochote wanachoweza kukifanya,
Simaanishi kuwa Mtu asiye na uwezo apewe nafasi iliyojuu ya uwezo wake ila nazungumzia wale wanaojiona weñye uwezo wanaodharau na kukejeli weñye uwezo mdogo.

Kiutawala, MTU Yule anayejiona Bora kuliko Wengine hunyimwa nafasi hata kama anauwezo kweli.

Hata kwèñye ngazi ya familia, Mtoto mwenye kiburi, dharau Kwa Watoto wenzake kisa amejaliwa kitu au Jambo Fulani íwe NI Akili au mvuto Mzazi mwenye Akili hawezi kumpa nafasi Kwa sababu Kiburi huleta Maanguko na hubomoa Nyumba.

Kikawaida Mbinu inayotumika kumshambulia adui ndîo Mbinu hiyohiyo inayoweza kûtumika kushambulia Watu WA nyumbani.
Mfano, kama Mbinu ya Chama Fulani NI utekaji na uuaji Kwa vyama pinzani siô ajabu Mbinu hizohizo zikatumika ndani ya Chama Husika.

Mfano, CCM wanatabia ya kuwaadhibu wapinzani waô Kwa Mbinu ya figisufigisu, Kuzuia Uhuru wa vyama vingine, n.k.
Hii inamaanisha hata Humo ndàni ya CCM Mbinu hizohizo hutumika ndàni ya Chama, kama CCM huzuia Uhuru wa vyama vingine hii inamaanisha hata ndàni ya CCM hakuna Uhuru.

Nikirudi kwèñye Hoja, CHADEMA inapotoa maneno ya kashfa na kum-label MTU WA Chama kingine Kwa Kanuni ya ukitaka kukuua mbwa mpe jina baya. Hii inamaanisha ndicho hichohicho kinachofanyika ndani ya Chama.

Sisi Watibeli tukitaka kujua tàbia ya Mtu au kundi la Watu Moja ya Mbinu tunayoitumia NI kuangalia MTU au kundi Hilo jinsi linavyowatendea Watu wanaotofautiana nao íwe ni upinzani au adui halisi.

Haki Ipo mpaka Kwa Adui.
Adui naye anahaki Zake. Kîla kiwango cha Adui kina namna ya Kutoa Haki.

Àndiko Hili halimaanishi kuwa Kosa linapofanyika MTU asikosolewe Bila kujali cheo Wala jina lake. Ila katika namna ya Kukosoa au kuadhibu Upendo na haki lazima vizingatiwe.

Mfano, Kiongozi wa Chama Fulani amebaka, Mahakamani ataitwa mshukiwa mpaka atakapokutwa na hatia, ñdipo ataitwa Mbakaji.

Lakini MTU hawezi kuwa Mbakaji daima, kama vile MTU asivyoweza kutenda ûzuri Fulani Daima.
Kum- Label Mtu Mbakaji kîla Siku hata kama ameacha kubaka NI dalili ya kumkosea HAKI mtenda Kosa.

Kisaikokojia na kifalsafa, Mtu anayetumia past yako hata kama imefanyika Miaka 10 iliyopita na ulishaacha huyo anachuki. Chuki huangalia bad past Bila kujali kuna mabadiliko au vipi.

Mfano, hooo! Huyo Mwizi WA Magari blah! Blah! Blah! Lakini hata kama NI kwèli lakini tukio Hilo lilitokea Miaka 20 iliyopita.
Ni kwèli aliiba lakini hiyo Haimaanishi kuwa mtu huyo Kwa Sasa NI Mwizi wa Magari.

Kihaki na kiutu, hata ûkifika Mahakama yoyote yenye kuzingatia Haki, Huwezi muita MTU Kwa Jina au Sifa mbaya iliyotukia Miaka ya Nyuma.

Hii inaenda sambamba na mambo mazuri.
Huwezi muita MTU mzuri Kwa vitendo alivyofanya Miaka Kumi Huko iliyopita. Au Huwezi kumwona Mtoto WA Fulani NI mwema Kwa sababu nyakati za Nyuma Babaake alikuwa mwema.
Ndîo hiyo ya kumpa MTU cheo Kwa kutumia Sifa ya Baba yake au ûkoo.

Hii inaenda Sambamba na mataifa, kûna Ile kasumba Watu wame- Label mataifa Fulani kama mataifa yenye weledi katika medani za kivita, mathalani Taifa la Israel.
Huwezi tumia Sifa ya mwaka 1967 itumike 2024. Mambo hubadilika.
Na mabadiliko NI sehemu ya HAKI ili kuendana na Hali, Muktadha, na Wakati Husika.

Wito wàngu, tàbia hii ya ku-label Watu Kwa majina ya dhihaka, KEJELI, matusi àmbayo inafanywa katika siasa za nchi yetu iachwe. Watu wawe waadilifu.
Nimeitumia CHADEMA kama mfano ambacho kinawakilisha vyama vingine. Kumaanisha wale wôte weñye tàbia hii waache kwani siô tuu kuwakosea Watu Wengine Ûtu wao Bali hata Wanao-Label wanajikosea.

Haina tofauti na Chawa, labda hiyo NI tàbia ya Kubuni.

Hivyo ndivyo Watibeli tunavyofanya mambo yetu.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Kutana na DC wa kimataifaa alafu njoo andika upumbavu huu
 
Back
Top Bottom