Sipendezwi na wanachama wa Simba wanaotoa taarifa za klabu kabla ya klabu yenyewe

Sipendezwi na wanachama wa Simba wanaotoa taarifa za klabu kabla ya klabu yenyewe

Bado haujajibu swali. Unaposema ilipostiwa mapema, nitajie wapi na muda gani. Pia kama umeona Micky ni shabiki wa Simba kwa hiyo anakaushia habari mbaya, je huyo mwingine kwa nini hakusubiri kama mwenzake? Hiyo ndiyo hoja yangu ya msingi.
Acha kujifanya kila kitu wewe unajua mkuu,unataka nianze kukutajia watu ili iweje? Hiyo taarifa ilitoka mapema tu,Simba walikuja ku-clear the air tu....maana kulikuwa na mkanganyiko kwa mbumbumbu wenzio wengi.........kama una shida zako na huyo shabiki mwenzio sawa ila taarifa ilikuwa inafahamika mapema labda wewe uliko na access ya information ndiyo changamoto
 
Acha kujifanya kila kitu wewe unajua mkuu,unataka nianze kukutajia watu ili iweje? Hiyo taarifa ilitoka mapema tu,Simba walikuja ku-clear the air tu....maana kulikuwa na mkanganyiko kwa mbumbumbu wenzio wengi.........kama una shida zako na huyo shabiki mwenzio sawa ila taarifa ilikuwa inafahamika mapema labda wewe uliko na access ya information ndiyo changamoto
Kama ni taarifa iliyotoka mapema unashindwa nini kutaja hao waliopost mapema?

Narudia tena kwa mara nyingine maana ni kama hautaki kuelewa, shida niliyonayo ni yeye, mtu ambaye amejitanabaisha kama mshabiki mkubwa wa timu anayesafiri maeneo mbalimbali kuifuata timu (na inasemekana wanalipwa kufanya hivyo) kukimbilia kupost taarifa mbaya ya klabu kabla ya klabu yenyewe haijafanya hivyo. Kama hauoni hilo ni tatizo, basi akili zako na zake zinafanana.

Kumbuka hata page za CAF zilikuwa hazijapost taarifa hiyo kwa hiyo bado ilikuwa ni taarifa za ndani. Hakukuwa na ulazima wa kukimbilia kupost halafu baadae kujifanya umeumia saaana!
 
Kama ni taarifa iliyotoka mapema unashindwa nini kutaja hao waliopost mapema?

Narudia tena kwa mara nyingine maana ni kama hautaki kuelewa, shida niliyonayo ni yeye, mtu ambaye amejitanabaisha kama mshabiki mkubwa wa timu anayesafiri maeneo mbalimbali kuifuata timu (na inasemekana wanalipwa kufanya hivyo) kukimbilia kupost taarifa mbaya ya klabu kabla ya klabu yenyewe haijafanya hivyo. Kama hauoni hilo ni tatizo, basi akili zako na zake zinafanana.

Kumbuka hata page za CAF zilikuwa hazijapost taarifa hiyo kwa hiyo bado ilikuwa ni taarifa za ndani. Hakukuwa na ulazima wa kukimbilia kupost halafu baadae kujifanya umeumia saaana!
Screenshot_20250116-212923.png

Huwezi kuelewa,baki na unachokiamini
 
View attachment 3203999
Huwezi kuelewa,baki na unachokiamini
Sasa hiyo picha ndiyo ushahidi niliokuwa naulizia ama inahusiana vipi na mjadala huu? Mbona unafeli bwashee?

Mimi napenda kuwa challenged, nikadhani utaniletea taarifa ambayo nilikuwa sina ili unishawishi nibadili mtazamo wangu kumbe ni wale wale tu.
 
Hili nitalielezea kwa ufupi sana ila naomba ujumbe uwafikie wahusika na wawajibike.

Kuna haka kamtindo na katabia ka baadhi ya wanachama wa Simba, nimewahesabu wawili mpaka sasa ambao wana mtindo wa kujitokeza na kutoa taarifa za klabu ya Simba kabla ya taarifa rasmi kutolewa na klabu yenyewe.

Wa kwanza ni huyu anajiita "Aggysimba". Huyu nilishawahi kumsema kwa kucopy content zooote zinazotoka katika account ya Simba na kuziweka katika account yake. Jana niliposikia tetesi za kufungiwa kwa Simba nilipoanza kuangalia online kujidhihiridha kuhusu taarifa hizo nikakuta yeye ameripoti kabla hata ya klabu kutoa taarifa. Hili halijanifurahisha kabisa. Najua atakuwa alipewa za ndani labda na kiongozi lakini sijajua kiherehere cha kukimbilia kupost kilitokea wapi. Na mpaka sasa amelivalia njuga suala hilo utadhani ana maslahi nalo.

Wa pili ni huyu anajiita "Dr. Mohammed". Huyu huwa anaripoti taarifa za Simba hasa za usajili kwa mamlaka kabisa kama vile yeye ndiye msemaji mkuu wa Simba akitaja hadi gharama za usajili na mishahara ya wachezaji. Kajipachika msemaji wa tawi lake basi anajiona anaweza kuzungumzia habari za ndani za timu. Na huyu naye huwa anajipambanua kuwa na ukaribu na viongozi na sijawahi kuona wala kusikia akikemewa kwa tabia hiyo.

Naomba uongozi wa Simba uliangalie hili. Tusiwe kama klabu ya kihuni ambayo inajiendeshea mambo hovyo hovyo. Wanaokiuka taratibu au kuvujisha taarifa za klabu tuone wakichukuliwa hatua.

Ubaya Ubwela.
Kuna watu wanaopenda kusikia matokeo hasi, (pessimistic)
 
Back
Top Bottom