Sipendi kuomba wala kuombwa vitu. Je, nina roho mbaya au ni kawaida?

Sipendi kuomba wala kuombwa vitu. Je, nina roho mbaya au ni kawaida?

Yaani mwaka nikija kuishi na mtu wa hodi hodi nyumba za watu, wallah atakuja kunikondesha! Hakuna kitu nisichopenda kama mtu wa hodi hodi nyumba za watu tena bila sababu za msingi kwa sababu, binafsi nikikupigia hodi kwako basi fahamu malaika atakushukia hiyo siku!! Ndo maana yule sister angu alinikera kupita maelezo... yaani hujamaliza hata wiki tayari unaenda kwa jirani kuomba chumvi!!!!!

Anyway, nadhani mazingira aliyokulia yalichangia coz' alikuja mjini kusoma sec baada kufeli Std VII huko kwao!! Probably kwa maisha ya vijijini, mambo ya kuombana chumvi ni ya kawaida!
Kukaribishana huwa kero mwingine Hana shida na kitu Ila anakuja kuchunguza ndani kwako kukoje, na wengine hudiriki kukupangia fanya hichi na kile. In short mjini kuzoeana na watu Ni hatari sana
 
Basi mi ndo naziona bonge la nazi kuliko hizi fresh! Lakini nadhani najua kwanini naziona poa tu... nikiwa kavulana kadogo nilienda kuishi na uncle. Kwavile lilikuwa halijaoa, nikawa najipikia mwenyewe! Nilidumu kwenye hiyo situation for almost 20 years na muda wote huo nilikuwa natumia mafuta!

So, mtu aliyedumu kwenye mafuta for years, akikutana na nazi za Bakheresa lazima azione bonge la nazi!
Kwa Mimi ninaye Pika Mara kwa Mara naona Nazi za Azam Ni too fake haina uhalisia zile hufanya tu supu iwe nzito Ila haina ladha alisia, tofauti na ukipikia Nazi ya kawaida ka Ni ubwabwa utajing'ata wallah mchuzi ndio usiseme, pia Nazi za American garden ilikuwa ukipikia tambi lazima ujing'ate kwa utamu.
 
Kwa Mimi ninaye Pika Mara kwa Mara naona Nazi za Azam Ni too fake haina uhalisia zile hufanya tu supu iwe nzito Ila haina ladha alisia, tofauti na ukipikia Nazi ya kawaida ka Ni ubwabwa utajing'ata wallah mchuzi ndio usiseme, pia Nazi za American garden ilikuwa ukipikia tambi lazima ujing'ate kwa utamu.
Mimi pia nilikuwa napikia za Bakhressa ila tangu nimeanza kutumia hizi fresh aisee sijawahi kuzirudia zile
 
Mimi pia nilikuwa napikia za Bakhressa ila tangu nimeanza kutumia hizi fresh aisee sijawahi kuzirudia zile
Zimekuwa too fake zile Nazi ka za kichina, dah Mimi nitaendelea tu kukuna hizi za kawaida
 
Hata usingekuwa Mbinafsi pia wanaweza kukuita Mbinafsi, ndivyo walivyo wabongo.

Ni vizuri kuishi utakavyo sio jinsi watakavyo watu.
Hahaaa Ni kweli waja wake Mola huwa hatuna jema
 
Nimegundua una matatizo mengi sana.kitendo cha kufanya manunuzi ya chakula mwenyewe na wakati una mke ni janga hilo
Kwa hiyo Kama nimetoka kazini narudi home nisinunue vitu hadi nifike nyumbani kisha nimrudishe wife Tena?
Mentality za wapi hizi?
 
Sijakataa suala la mwanaume kujua kupika mbona wengi tunafahamu kupika, ninachouliza hapa....je ni sahihi mwanaume wako kuingilia mambo ya jikoni, mfano anakasirika akiona umemuazima mtu sahani, anakasirika akiona mtu anakuja kuomba apikie kwenye jiko lako maana la kwake gesi imeisha, ananuna jirani yako akija kuomba umuongezee unga kidogo amepata wageni, anajua hadi idadi ya vijiko nk.
If it's my house it's my business, everything that happens there is my business
 
Kwa Mimi ninaye Pika Mara kwa Mara naona Nazi za Azam Ni too fake haina uhalisia zile hufanya tu supu iwe nzito Ila haina ladha alisia, tofauti na ukipikia Nazi ya kawaida ka Ni ubwabwa utajing'ata wallah mchuzi ndio usiseme, pia Nazi za American garden ilikuwa ukipikia tambi lazima ujing'ate kwa utamu.
Dah! Yaani ndo nianze kwenda sokoni kununua nazi huku nikitafuta mineso amazing wakati wa kukuna nazi 😢?! Hapana aisee, wacha tu niendelee kujitundika uji wa Azam!!

Hizo za American Garden mbona unazielezea in a past tense?! Ina maana hivi sasa hazipo?!
 
Zimekuwa too fake zile Nazi ka za kichina, dah Mimi nitaendelea tu kukuna hizi za kawaida
cariha acha kuzivunjia heshima nazi zetu bhana... sasa unataka na sie tuanze kukuna nazi, au?!!! Sema haya madudu kama yana madhara, I guess nitakuwa nimeshaathirika tayari!!!
 
cariha acha kuzivunjia heshima nazi zetu bhana... sasa unataka na sie tuanze kukuna nazi, au?!!! Sema haya madudu kama yana madhara, I guess nitakuwa nimeshaathirika tayari!!!
Zinaondoa nguvu za kiume kwa hiyo sasa hivi ushaishiwa weye[emoji1787][emoji1787] imebaki heshima tu
 
Nyie mtakuja farakana muda si mrefu...... yanaanzaga hivyo hivyo

Mwambie mkeo awe na mipaka
 
Dah! Yaani ndo nianze kwenda sokoni kununua nazi huku nikitafuta mineso amazing wakati wa kukuna nazi [emoji22]?! Hapana aisee, wacha tu niendelee kujitundika uji wa Azam!!

Hizo za American Garden mbona unazielezea in a past tense?! Ina maana hivi sasa hazipo?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti kutafta mineso ya kukuna nazi
 
cariha acha kuzivunjia heshima nazi zetu bhana... sasa unataka na sie tuanze kukuna nazi, au?!!! Sema haya madudu kama yana madhara, I guess nitakuwa nimeshaathirika tayari!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom