Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Ndio pesa zote unampa tu,,yeye hukupa ninii??hukujulisha faida anayoingiza,,je una mamlaka na hizo pesa zake pia?natokea mnaachana huna kitu shauri lako
 
Aww You are so innocent..ila usizidi sana asije akajisahau huyo huwaga wanatabia za kujisahau mfanye pia ajione yupo responsible sijaona sababu ya kukataa hadi pesa za matumiz ya hapo home!
 
Mme wako amepata mke mwenye upendo wa dhati kabisa*(unconditional love)*
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] dahhhh Mimi ilinitokea aiseeee nilimpenda mwanaume alikuwa nakazi akaja akasimamishwa kazi mpaka akiumwa ni juu yangu kuanzia chai ya asubuhi ,mchana,jioni nimimi maji anayooga Mimi akienda kutafuta Kazi ela ya nauli ni kwangu Jamani kiukweli nilimpenda sana ikaja tokea kanipa mimba nililia kwababu Mimi mpaka babu akatupangia pakukaa kitanda,kijiko,uma,madumu ya maji ,godolo majiko ,vyakula ikawa Na mimba yangu mwanaume anaondoka anaenda kutafuta riziki akirudi hana kitu Mimi niliweka moyoni mpaka kesho hakuna ndugu yangu hata mzazi wangu aliejua nilikuwa nalala njaa siku hamna chakula natoka naenda nyumbani najifanya naenda kusalimia maana najua nikiondoka nabebeshwa vitu kiukweli babu yangu ananipenda sana nakumbuka Na mimba mwanaume aliondoka siku 3 yupo kwao mlandiz ameniachia 2000 tu Jamani nilikuwa kimya nikitoka nacheka namajirani nikiingia kwangu nalia nikichoka nalala nilinunua unga nilikuwa nikisikia njaa nakologa uji nakunywa mpaka anarudi siku naenda kujifungua hana ela alikimbia aibu alinitelekeza Na mtoto toka siku nazaaa nikaludi akaja akaomba msamaha akidai aibu alikimbia familia isingemuelewa hana ela namimi nimefanyiwa operation kubwa ,Jamani baada ya kupata Kazi mwanaume alinitelekeza Na mtoto Wa miez 3 nililudi nyumbani kwababu sitasahau mpaka unaingia kaburini Watoto Wa babu mashangazi walinitesa nawananitesa Mwanangu namimi tulikuwa tunanyimwa chakula baba mtoto ukimtafuta anakutukana,mtoto akiumwa anamwambia naakifa utamla nyama Jamani kiukweli alisahau yote niliomfanyia mpaka Leo Mwanangu anamiaka 8 ata ada ya mtoto au hata pencil hajui ya baba yake bola uwekeze

Kwa mwanao sio mwanaume jamani[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] huyu Dada namhurumia Jamani akumbuke kunakifo hivi mungu akimchukua Watoto hujawawekea misingi kuna ndugu pia wakija kufilisi Mali utalia Na nani pia kumbuka uyo mwanaume ni binadamu akija kubadilika utaishije imeandikwa alaaniwae amtegemeaye mwanadamu katika bible Dada jisimamie Mimi sio baba mtoto tu nishakuwa Na uhusiano mwingine mwanaume anashida unajitoa Jamani mwisho Wa siku akipata kwake huna thamani ila wakiwa Na shida niwapole sana katika hao wawili sitopenda mwanaume eti mpaka nimsaidie ni ngumu akomae nahali yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh watu wanapitia magum sana lakin ukikutana nae anatabasam tu ndo maana kamwe stokuja mdharau mtu asee
Maana akijuhadithia basi tu.
 
Duuh watu wanapitia magum sana lakin ukikutana nae anatabasam tu ndo maana kamwe stokuja mdharau mtu asee
Maana akijuhadithia basi tu.


mtu anakujeruhi hisia zako had unabadilika na kuwa malaika mbaya !mxiewww
 
Jitahidi meweke malengo ya pamoja na co kila mtu na lengo lake itasaidia sana

Mwanamke mwema kumbe wapo wa haina hii sema sasa wachache

Ukipata shikilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ela usimpe ila mkumbuke mwenzio japo vi boxer boxer maana wanaume walivyo hawajali kuna siku mumeo atajikuta anatembea vipumbu nje baada ya suruali kutatuka katikati huku boxer ya ndani ikiwa imeachia

Sent using Jamii Forums mobile app



hahahahahahaha moyo wangu ushaingiwa giza! siwezi tena !lol zikiisha namstuaga!
 
Mim siwezi aisee ntampa lakin awe ananirudishia na sio kumpa kila mara
Ni dhambi kubwa mwanamke kuchukua majukumu ya kulisha familia huku mumewe akiwa na uwezo wa kutafuta,kisa cha upendo kisiondoe majukumu ya baba kwenye nyumba yake,akiwa na shida mpe msaidie ila usizizike ndoto zako kisa kutimiza hitaji la mumeo ili abaki na furaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na mie nimemuuliza amelileta la nn kma sio kutaka likes huku! km anaona fair hakukuwa na haja kbs kuleta huku
Unajua angekuwa amelileta kama somo sawa ningemuelewa, lakini amelileta kama swali, ikimaanisha hata yeye anajishangaa kwa anachofanya, na lipo linalomsumbua, kuna kitu hakiko sawa mahali na ndio linalompa hofu. Kuna kitu hajakieleza huyu kuhusu Huyo mumewe sio bure.

Kwanza kitendo tu cha yeye kutaka kutimiza ndoto zake kimya kimya bila kumshirikisha mumewe kinaonyesha kuna shida mahali.
 
Back
Top Bottom