Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Uuuuwwwiiii ebu nami niolewe Mungu weeeee sikia maombi yangu nami nione yaliondani

Sent using Jamii Forums mobile app
Doris Gabriel, Uwe na moyo wa kutaka kukaa sio kuona tu. Kwa maana Wengi huwa wanatamani kuingia wakati wengine wanataka kutoka. Mungu akusaidie usiwe miongoni mwa watakaoingia na kutoka.

Muhimu ujue pia ndoa nyingi imara na zilizo na furaha huwa zinajengwa na Mwanamke.
 
hahaahhaa alwys we dada huwa unanichekeshaga na comments zako hahahha!eti kuota pamoja! binafs ninawaelewa sana wanaume aisee! unawezza hisi mpo njia moja kumbe hakuna kitu km hicho!yelewiiiiiiiiiiiiiii
Mbitiyaza mama siku zote za kuambiwa changanya na zako! Nitakua nae bega kwa bega hatua kwa hatua lakini si kuzidharau ndoto zangu that will never happen in my life, tukumbuke kuna maisha baada ya kuwa na wao kuna kifo pia imagine akifa huku ukiwa huna ndoto hata moja uliyowahi ianza kuitimiza UTALIA KILIO CHA MBWA UKOSE WA KUKUNYAMAZISHA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni dhambi kubwa mwanamke kuchukua majukumu ya kulisha familia huku mumewe akiwa na uwezo wa kutafuta,kisa cha upendo kisiondoe majukumu ya baba kwenye nyumba yake,akiwa na shida mpe msaidie ila usizizike ndoto zako kisa kutimiza hitaji la mumeo ili abaki na furaha

Sent using Jamii Forums mobile app


huyu mdada mie nimemwelewa anahis kumpa aman mumewe ni kumridhisha kwa pesa! yaan yy anachotaka ni aman bas amuone mumewe anakenua meno moyoni kwatuuuuuu! mbn mie ndoa yangu ina amana full comedy full vicheko lakini sishei nae tena hela na anajua! yaan hapana aiseee! wanaume weng wanataka ukitonga!....

mwaka huu nilinunua mbuzi weng kwa bei ya bure... nikamshirikisha mwenzang kama kawa hana hela! nikawaleta home! a week after nikasafiri! huez amini nikakuta amechinja mbuzi 1! eti ya mboga hom bila kunishirikisha! kamchagua alonona na mbaya zaid alichinja jike kumbe lina kamimba ka watt wawili!alinunua KONYAGI kubwa akawa anashinda anachoma nyama tu huku analewa!niliudhikaaa! na huku mie niliwabamba wale mbegu wa kuzaa matwins! uwiiii ndo hapo nilihis naishi na sukule la gwajima! imagne kweli jaman!aku....leo hii mtu aniseme ninn!
 
Mbitiyaza mama siku zote za kuambiwa changanya na zako! Nitakua nae bega kwa bega hatua kwa hatua lakini si kuzidharau ndoto zangu that will never happen in my life, tukumbuke kuna maisha baada ya kuwa na wao kuna kifo pia imagine akifa huku ukiwa huna ndoto hata moja uliyowahi ianza kuitimiza UTALIA KILIO CHA MBWA UKOSE WA KUKUNYAMAZISHA.

Sent using Jamii Forums mobile app


umenena mama!
 
hahaahhaa alwys we dada huwa unanichekeshaga na comments zako hahahha!eti kuota pamoja! binafs ninawaelewa sana wanaume aisee! unawezza hisi mpo njia moja kumbe hakuna kitu km hicho!yelewiiiiiiiiiiiiiii
Halaf kumbe huko pembeni kuna kidemu kinahongwa balaaa,,
 
huyu mdada mie nimemwelewa anahis kumpa aman mumewe ni kumridhisha kwa pesa! yaan yy anachotaka ni aman bas amuone mumewe anakenua meno moyoni kwatuuuuuu! mbn mie ndoa yangu ina amana full comedy full vicheko lakini sishei nae tena hela na anajua! yaan hapana aiseee! wanaume weng wanataka ukitonga!....

mwaka huu nilinunua mbuzi weng kwa bei ya bure... nikamshirikisha mwenzang kama kawa hana hela! nikawaleta home! a week after nikasafiri! huez amini nikakuta amechinja mbuzi 1! eti ya mboga hom bila kunishirikisha! kamchagua alonona na mbaya zaid alichinja jike kumbe lina kamimba ka watt wawili!alinunua KONYAGI kubwa akawa anashinda anachoma nyama tu huku analewa!niliudhikaaa! na huku mie niliwabamba wale mbegu wa kuzaa matwins! uwiiii ndo hapo nilihis naishi na sukule la gwajima! imagne kweli jaman!aku....leo hii mtu aniseme ninn!
[emoji1] [emoji1] kweli shemeji ni wa kipekee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu mdada mie nimemwelewa anahis kumpa aman mumewe ni kumridhisha kwa pesa! yaan yy anachotaka ni aman bas amuone mumewe anakenua meno moyoni kwatuuuuuu! mbn mie ndoa yangu ina amana full comedy full vicheko lakini sishei nae tena hela na anajua! yaan hapana aiseee! wanaume weng wanataka ukitonga!....

mwaka huu nilinunua mbuzi weng kwa bei ya bure... nikamshirikisha mwenzang kama kawa hana hela! nikawaleta home! a week after nikasafiri! huez amini nikakuta amechinja mbuzi 1! eti ya mboga hom bila kunishirikisha! kamchagua alonona na mbaya zaid alichinja jike kumbe lina kamimba ka watt wawili!alinunua KONYAGI kubwa akawa anashinda anachoma nyama tu huku analewa!niliudhikaaa! na huku mie niliwabamba wale mbegu wa kuzaa matwins! uwiiii ndo hapo nilihis naishi na sukule la gwajima! imagne kweli jaman!aku....leo hii mtu aniseme ninn!
Mi angenilipa pesa na ya hao mbuzi waliokuwa tumboni
 
Unajua angekuwa amelileta kama somo sawa ningemuelewa, lakini amelileta kama swali, ikimaanisha hata yeye anajishangaa kwa anachofanya, na lipo linalomsumbua, kuna kitu hakiko sawa mahali na ndio linalompa hofu. Kuna kitu hajakieleza huyu kuhusu Huyo mumewe sio bure.

Kwanza kitendo tu cha yeye kutaka kutimiza ndoto zake kimya kimya bila kumshirikisha mumewe kinaonyesha kuna shida mahali.


bora useme wewe ngj nimuite hapa emoji mama njoo hapa! kipi kimekupelekea kujiuliza namnA hii mbn maelez yako yanaonesha hakuna shida popote pale? mie nilijiuliza kwa marafik baada ya kuona mizan haipo balanced! namjali yeye hanijali! kwahyo hapo kwaajili nilikua mzima kichwan nikajua hapa sio sawa ndo nikawauliza marafk! ehee na ww mwenzetu why umeamua kushare na ss hapa! au ulikua unatoa SEMINA ?UMESHINDWA KUIWASILISHA VYEMA BASI.
 
Kumbe na wewe umeona kitu hapo eeh,
Blaah blaah kibao lakini shida ipo hasa ukiwa makini na story yake,
Anyway ngoja tuendelee kusoma comments za wadau maana sifa nyingi zitatoka kwa hao wanaopenda kukanyaga maganda ya ndizi wapate kutereza [emoji125][emoji125][emoji125]
Teh teh weka ganda la ndizi niteleze wallah ila ntahakikisha silambi mchanga,sianguki hata goti nitalitumia kujizuia. Wanawake tuwe na akili B wakati mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahhhah stargirl nilinuna na wala sikuila nyama! alisema atailipa hapo ilikua jan wakat ule wa ukame mbuzi zilikua very cheap mpk leo kimyaaa! mie nasema kweli nimuhanga sana wa maisha ya namna hii kumridhisha JINI NA HUKU KITI ANAUMIA


Mi angenilipa pesa na ya hao mbuzi waliokuwa tumboni
 
Hivyo ndivyo inatakiwa uwe... na ndoa yako inadumu labda kwa sababu hiyo tu, ishi hivyo hivyo na mumeo as long umesema hana starehe wala matumizi mabovu basi usichukue ushaur wa mashosti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh teh weka ganda la ndizi niteleze wallah ila ntahakikisha silambi mchanga,sianguki hata goti nitalitumia kujizuia. Wanawake tuwe na akili B wakati mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app


hahahahha mie baba mwaka jana amenishika sikio akanimbia sifa ya wanaume wa kabila lake!imagn mzaz wako wa kiume anakuambia AMKA! hhhehhe mie uwiii kweli nilikua zoba
 
Habari wapendwa.Naomba kwa wale wanandoa mnisaidie hapa kama ni kawaida kwa wanandoa ama ni nini?.

Namshukuru Mungu tulipata kuoana na mume wangu ,kweli Maisha ni mazuri tunafurahia ndoa yetu na watoto wetu pia. Namshukuru Mungu pia amenipa mume ambaye sio mlevi wala mpenda starehe yaani inshort hela hachezei anafanyia vitu vya maana sana.

Kuna wakati tulifungua joint account ilivyofika kiwango tulikuwa tunataka tukakubaliana akazitoa na akafanyia kazi nzuri sana kwa uaminifu. Na pia mara nyingi nikiwa na hela ambazo najua sizitumii kwa muda huo nampa anafanyia biashara zake baadaye nikihitaji anazirudisha.

Kabla na baada pia ya kuolewa nina ndoto nyingi za mimi kufikia level fulani na nilimshirikisha pia na akalifurahia.

Sasa tatizo linakuja kwamba kweli mpaka leo karibia miaka minne sasa hakuna kitu nimefanya katika kuachieve ndoto zangu, nimepiga kihatua kidogo sana, Hela naweka akiba inafikia kabisa kiasi nataka kutimiza malengo yangu but najikuta tu nimempea mume wangu bila yeye kuniambia nimsaidie.

Yaani niko hivi sipendi kuona mume wangu hana amani au akiwaza wapi apate hela au akiniambia hasara aliyopata katika business muda mwingine nachukua card yangu ya bank naenda kutoa hela zote nampa kwa kumwambia hii hela siko na kazi nayo na naona niweke huko kwa business yako so zitumie tu kule usirudishe. (But lengo langu ni kutaka tu ajisikie vizuri pamoja na hasara aliyoipata hela nyingine imekuja) Na ukimpa anapeleka pale kwa uaminifu kabisa.

Hela ya matumizi akinipa kweli namrudishia sijui kwanini but naona tu kwanini nichukue hela wakati mahitaji madogomadogo ya nyumbani naweza toa hela na vile bado hatujaanza kusomesha so mahitaji sio mengi si bora hiyo hela aendelee kuizungusha kwa biashara.

Basi naona tu hivyo na nakuwa na amani. Weekend hii ilikuwa nikachukue frame ya kufanyia kabiashara kangu (hili hata sikumwambia kwamba nimeshapata frame) but juzi akaniambia habari ya kiwanja alichokiona mjini sehemu nzuri sana na kina title na alipokuwa anaongea anaonesha kabisa kwamba we real need that land.

Hakuniambia toa hela wala nini but mimi "emoj mwenyewe nikamwambia niko na pesa nikaenda bank nimetoa hela zote hadi za mtaji wa biashara yangu ninayofanya online nimempa. Nimebakiwa tu na 100k za kuniweka hadi mwisho wa mwezi nianze upya kusave .

Wapendwa jamani hii ni kwangu tu ama ni kwa wanandoa wote???.
Sifanyi chochote kuachieve my dreams but niko na Amani sana ndani ya moyo wangu kwasababu my husband is so happy napenda tu kumwona ana furaha sitaki kabisa apate stress kisa hela au kisa mambo yake hayaendi vizuri.

Namuombea sana na pale naweza kutoa pesa natoa sana na pale pa kumencourage namuencourage sana na kwa mimi hakuna kitu mimi nimejifanyia and am happy.hii itakuwa ni nini??? [emoji23][emoji23][emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshukuru Mungu kwa ndoa yako hiyo! Pia Hongera kwa sababu mafanikio ya mumewako ni ya wote/familia, kwa hiyo usiogope, na ndio inavyotakiwa iwe, ingawa wanawake wengi hawako hivyo!
Nakushauri uzidi tu kumshirikisha unachotaka kukifanya mwanzoni kbsa naamini atakusupport kwa sababu ukikua kibiashara na ukaninuka na yeye atakuwa ktk nafasi nzuri!
Your a true woman!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maneno machache kabisa, WEWE NI MALAIKA, acha kabisa kutafuta ushauri popote, ulivyoumbwa ndivyo ulivyo, usijibadili kwa kutaka kusikia kutoka kokote.

Mungu akuzidishie kila la kheri
 
Back
Top Bottom