Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Yeah kuna siku aliniambia tuzae tena nilikataa Na siwez Jamani Hapana nimeteseka Mimi ukimpeleka mtoto kwao ukifika wanakuangalia wewe asubuhi mpaka jioni mama mkwe anapiga kabisa anaitaji ela ,yaani mpaka sasaivi nikiona simu zao sipokei maana sinaela babu namtegemea anaumwa imebid niwachunie

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kwa uchungu lakini

Doris hiyo sio akili yako, unawezaje kufanya upuuzi wa namna hiyo?
Yaan huna kipato ndio kwanza unamtegemea babu alafu unachukua pesa kwa babu ndio uzitawanye [emoji119][emoji119]

Hizo story najua zinapatikana bongo movie tuu kumbe kwenye normal life zinatokea aiseeh embu kimbilia kwenye maombi haraka sana haupo sawa wewe kabisa.
 
Acha tu ndugu yangu ila huwez amini toka nimejifungua familia yao haikawahi hata kunipa sabuni yamtoto ila wao wakitaka hela wananiomba nawapa wifi hatujala nakopa atakwa watu nawapa Mimi nimesoma ila sina bahati yaajira Niko mwenyewe nimenuniwa Na wazazi nakuniblock kisa sina Kazi ila babu yangu nimzee sasaivi ela anayopata namuomba ananisaidia kiukweli toka hapo sijawahi kuwa Na furaha wala amani kamwe just imagine unaishi kwa ndugu walewale namwanao

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikia mkuu wee kaz utakayopata fanya tu usilazmishe adi upate ka Uliyosomea
 
Habari wapendwa.Naomba kwa wale wanandoa mnisaidie hapa kama ni kawaida kwa wanandoa ama ni nini?.

Namshukuru Mungu tulipata kuoana na mume wangu ,kweli Maisha ni mazuri tunafurahia ndoa yetu na watoto wetu pia. Namshukuru Mungu pia amenipa mume ambaye sio mlevi wala mpenda starehe yaani inshort hela hachezei anafanyia vitu vya maana sana.

Kuna wakati tulifungua joint account ilivyofika kiwango tulikuwa tunataka tukakubaliana akazitoa na akafanyia kazi nzuri sana kwa uaminifu. Na pia mara nyingi nikiwa na hela ambazo najua sizitumii kwa muda huo nampa anafanyia biashara zake baadaye nikihitaji anazirudisha.

Kabla na baada pia ya kuolewa nina ndoto nyingi za mimi kufikia level fulani na nilimshirikisha pia na akalifurahia.

Sasa tatizo linakuja kwamba kweli mpaka leo karibia miaka minne sasa hakuna kitu nimefanya katika kuachieve ndoto zangu, nimepiga kihatua kidogo sana, Hela naweka akiba inafikia kabisa kiasi nataka kutimiza malengo yangu but najikuta tu nimempea mume wangu bila yeye kuniambia nimsaidie.

Yaani niko hivi sipendi kuona mume wangu hana amani au akiwaza wapi apate hela au akiniambia hasara aliyopata katika business muda mwingine nachukua card yangu ya bank naenda kutoa hela zote nampa kwa kumwambia hii hela siko na kazi nayo na naona niweke huko kwa business yako so zitumie tu kule usirudishe. (But lengo langu ni kutaka tu ajisikie vizuri pamoja na hasara aliyoipata hela nyingine imekuja) Na ukimpa anapeleka pale kwa uaminifu kabisa.

Hela ya matumizi akinipa kweli namrudishia sijui kwanini but naona tu kwanini nichukue hela wakati mahitaji madogomadogo ya nyumbani naweza toa hela na vile bado hatujaanza kusomesha so mahitaji sio mengi si bora hiyo hela aendelee kuizungusha kwa biashara.

Basi naona tu hivyo na nakuwa na amani. Weekend hii ilikuwa nikachukue frame ya kufanyia kabiashara kangu (hili hata sikumwambia kwamba nimeshapata frame) but juzi akaniambia habari ya kiwanja alichokiona mjini sehemu nzuri sana na kina title na alipokuwa anaongea anaonesha kabisa kwamba we real need that land.

Hakuniambia toa hela wala nini but mimi "emoj mwenyewe nikamwambia niko na pesa nikaenda bank nimetoa hela zote hadi za mtaji wa biashara yangu ninayofanya online nimempa. Nimebakiwa tu na 100k za kuniweka hadi mwisho wa mwezi nianze upya kusave .

Wapendwa jamani hii ni kwangu tu ama ni kwa wanandoa wote???.
Sifanyi chochote kuachieve my dreams but niko na Amani sana ndani ya moyo wangu kwasababu my husband is so happy napenda tu kumwona ana furaha sitaki kabisa apate stress kisa hela au kisa mambo yake hayaendi vizuri.

Namuombea sana na pale naweza kutoa pesa natoa sana na pale pa kumencourage namuencourage sana na kwa mimi hakuna kitu mimi nimejifanyia and am happy.hii itakuwa ni nini??? [emoji23][emoji23][emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpo sawa just continue kumsupport
 
Hayo ndiyo maisha ya amani, kuekewana na kusikilizana. Ungempa pesa na kuchepuka nazo lakini akatimiza malengo yenu ya maisha. Kabla ya kuoana mlimuomba sana Mungu nae akawaunganisha na matunda ni hayo. Wamaume wanatamani kupata mtu kama wewe, ubarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mama nakuomba pm nina maswali ya faragha, please
 
Yeah kuna siku aliniambia tuzae tena nilikataa Na siwez Jamani Hapana nimeteseka Mimi ukimpeleka mtoto kwao ukifika wanakuangalia wewe asubuhi mpaka jioni mama mkwe anapiga kabisa anaitaji ela ,yaani mpaka sasaivi nikiona simu zao sipokei maana sinaela babu namtegemea anaumwa imebid niwachunie

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kwa uchungu lakini

Doris hiyo sio akili yako, unawezaje kufanya upuuzi wa namna hiyo?
Yaan huna kipato ndio kwanza unamtegemea babu alafu unachukua pesa kwa babu ndio uzitawanye [emoji119][emoji119]

Hizo story najua zinapatikana bongo movie tuu kumbe kwenye normal life zinatokea aiseeh embu kimbilia kwenye maombi haraka sana haupo sawa wewe kabisa.[/QUOTE]
Dahhhhhh yaani acha tu[emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah kuna siku aliniambia tuzae tena nilikataa Na siwez Jamani Hapana nimeteseka Mimi ukimpeleka mtoto kwao ukifika wanakuangalia wewe asubuhi mpaka jioni mama mkwe anapiga kabisa anaitaji ela ,yaani mpaka sasaivi nikiona simu zao sipokei maana sinaela babu namtegemea anaumwa imebid niwachunie

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kwa uchungu lakini

Doris hiyo sio akili yako, unawezaje kufanya upuuzi wa namna hiyo?
Yaan huna kipato ndio kwanza unamtegemea babu alafu unachukua pesa kwa babu ndio uzitawanye [emoji119][emoji119]

Hizo story najua zinapatikana bongo movie tuu kumbe kwenye normal life zinatokea aiseeh embu kimbilia kwenye maombi haraka sana haupo sawa wewe kabisa.[/QUOTE]


hahahah ile utafiti wa 1:4 Doris Gabriel huyu yumo aisee!yaan wewe nawe MUUAJI KWA BABU YAKO AISEE! uko radh babu ateseke kisa mzaz mwenzako! hata kama unafikishwa hapana aisee! ushanikera kweli kwlei
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kwa uchungu lakini

Doris hiyo sio akili yako, unawezaje kufanya upuuzi wa namna hiyo?
Yaan huna kipato ndio kwanza unamtegemea babu alafu unachukua pesa kwa babu ndio uzitawanye [emoji119][emoji119]

Hizo story najua zinapatikana bongo movie tuu kumbe kwenye normal life zinatokea aiseeh embu kimbilia kwenye maombi haraka sana haupo sawa wewe kabisa.


hahahah ile utafiti wa 1:4 Doris Gabriel huyu yumo aisee!yaan wewe nawe MUUAJI KWA BABU YAKO AISEE! uko radh babu ateseke kisa mzaz mwenzako! hata kama unafikishwa hapana aisee! ushanikera kweli kwlei[/QUOTE]
[emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndoa isiwe na ndoto mbili, tafuteni ndoto moja au timizeni ya mumeo halafu vunja uliyonayo ndipo utakapojua kuwa kumbe paradise inaanzia hapahapa duniani

Kada wa kwenye CCM mpya
 
kubwa hilo fata nafsi yako. kama haina dukuduku kwenye ukifanyacho basi si jambo baya. afu kumbuka wewe na yeye ni mwili mmoja, wewe ni yeye na yeye ni wewe. so kinachokusukuma kufanya yote hayo ni upendo.

Kama una nafasi, jihusishe kwenye hizo shughuli za mume wako, ili ikiwezekana kusaidia, utaongeza kupunguza Jodi na pia ndoto kwa nyingine zitatimia au titre mshiriki she moyo wako.
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] dahhhh Mimi ilinitokea aiseeee nilimpenda mwanaume alikuwa nakazi akaja akasimamishwa kazi mpaka akiumwa ni juu yangu kuanzia chai ya asubuhi ,mchana,jioni nimimi maji anayooga Mimi akienda kutafuta Kazi ela ya nauli ni kwangu Jamani kiukweli nilimpenda sana ikaja tokea kanipa mimba nililia kwababu Mimi mpaka babu akatupangia pakukaa kitanda,kijiko,uma,madumu ya maji ,godolo majiko ,vyakula ikawa Na mimba yangu mwanaume anaondoka anaenda kutafuta riziki akirudi hana kitu Mimi niliweka moyoni mpaka kesho hakuna ndugu yangu hata mzazi wangu aliejua nilikuwa nalala njaa siku hamna chakula natoka naenda nyumbani najifanya naenda kusalimia maana najua nikiondoka nabebeshwa vitu kiukweli babu yangu ananipenda sana nakumbuka Na mimba mwanaume aliondoka siku 3 yupo kwao mlandiz ameniachia 2000 tu Jamani nilikuwa kimya nikitoka nacheka namajirani nikiingia kwangu nalia nikichoka nalala nilinunua unga nilikuwa nikisikia njaa nakologa uji nakunywa mpaka anarudi siku naenda kujifungua hana ela alikimbia aibu alinitelekeza Na mtoto toka siku nazaaa nikaludi akaja akaomba msamaha akidai aibu alikimbia familia isingemuelewa hana ela namimi nimefanyiwa operation kubwa ,Jamani baada ya kupata Kazi mwanaume alinitelekeza Na mtoto Wa miez 3 nililudi nyumbani kwababu sitasahau mpaka unaingia kaburini Watoto Wa babu mashangazi walinitesa nawananitesa Mwanangu namimi tulikuwa tunanyimwa chakula baba mtoto ukimtafuta anakutukana,mtoto akiumwa anamwambia naakifa utamla nyama Jamani kiukweli alisahau yote niliomfanyia mpaka Leo Mwanangu anamiaka 8 ata ada ya mtoto au hata pencil hajui ya baba yake bola uwekeze

Kwa mwanao sio mwanaume jamani[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] huyu Dada namhurumia Jamani akumbuke kunakifo hivi mungu akimchukua Watoto hujawawekea misingi kuna ndugu pia wakija kufilisi Mali utalia Na nani pia kumbuka uyo mwanaume ni binadamu akija kubadilika utaishije imeandikwa alaaniwae amtegemeaye mwanadamu katika bible Dada jisimamie Mimi sio baba mtoto tu nishakuwa Na uhusiano mwingine mwanaume anashida unajitoa Jamani mwisho Wa siku akipata kwake huna thamani ila wakiwa Na shida niwapole sana katika hao wawili sitopenda mwanaume eti mpaka nimsaidie ni ngumu akomae nahali yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwa yaliyokukuta, lakini nazani experience yako wewe na huyu dada ni tofauti, wanaume hawafanani ndugu, kuna watu wanalia kwenye ndoa lakini mimi nina mwaka 5 sasa kila siku namshukuru Mungu kwa mume alienipa kiasi kwamba nikimsikia mtu ana mwaka au miaka 2 kwenye ndoa analia mateso nabaki kushangaa, au nikisikia mtu analia ndoa ngumu sijui anasema sikuhizi hamna ndoa nabaki kushanga, ni kwasababu experience yangu ni tofauti. Huyu dada mnaweza msimuelewe ila ndoa yake ina upendo na amani ndo mana hata ana nguvu ya kufanya hayo anayofanya wanasema love conquers it all, penye upendo na amani kila kitu kinawezekana, mtu huwezi kuishi kwa kugopa usiyoyajua.
 
Pole kwa yaliyokukuta, lakini nazani experience yako wewe na huyu dada ni tofauti, wanaume hawafanani ndugu, kuna watu wanalia kwenye ndoa lakini mimi nina mwaka 5 sasa kila siku namshukuru Mungu kwa mume alienipa kiasi kwamba nikimsikia mtu ana mwaka au miaka 2 kwenye ndoa analia mateso nabaki kushangaa, au nikisikia mtu analia ndoa ngumu sijui anasema sikuhizi hamna ndoa nabaki kushanga, ni kwasababu experience yangu ni tofauti. Huyu dada mnaweza msimuelewe ila ndoa yake ina upendo na amani ndo mana hata ana nguvu ya kufanya hayo anayofanya wanasema love conquers it all, penye upendo na amani kila kitu kinawezekana, mtu huwezi kuishi kwa kugopa usiyoyajua.
Mrsleo nimekupenda bure mpendwa. Ukweli hata mimi nashangaaga sana watu wakilia ndoa na kusema wanaume wote sawa na wangu hayuko hivyo.Siamini kabisa katika negative.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa yaliyokukuta, lakini nazani experience yako wewe na huyu dada ni tofauti, wanaume hawafanani ndugu, kuna watu wanalia kwenye ndoa lakini mimi nina mwaka 5 sasa kila siku namshukuru Mungu kwa mume alienipa kiasi kwamba nikimsikia mtu ana mwaka au miaka 2 kwenye ndoa analia mateso nabaki kushangaa, au nikisikia mtu analia ndoa ngumu sijui anasema sikuhizi hamna ndoa nabaki kushanga, ni kwasababu experience yangu ni tofauti. Huyu dada mnaweza msimuelewe ila ndoa yake ina upendo na amani ndo mana hata ana nguvu ya kufanya hayo anayofanya wanasema love conquers it all, penye upendo na amani kila kitu kinawezekana, mtu huwezi kuishi kwa kugopa usiyoyajua.
Aya my

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ya Leo kali akili yako inabidiichunguzwe ww unapigika lkn kuna mwenzio anahudumiwa kwa kupewa matumizi kila kitu kama mke nae wala haombi anapewa tu unamhudumia kila kitu na bado aje akuache

Sent using Jamii Forums mobile app
But mpendwa kwanini kuwaza negative??.wako wanaume waaminifu wanaojali familia zao na hawana habari hata na michepuko.mume wangu ninamuamini kwa asilimia mia moja.na siamini kabisa katika negative za eti atakuja kuchepuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni Upendo,
Lakin usiwe hivyo wakati wote....huyo mwanaume anaweza kufikir huna malengo wala akili yako haiwazi kujishughulisha,

Ni vizuri unapomsaidia lkn pia wanaume na ss tunajisikia vizuri tunapowasaidia mnapokwama kwenye shughuli zenu...

Anza biashara mama mshirikishe mumeo....jinsi wewe unavyosikia raha na furaha unavyomsaidia ktk biashara zake anapokwama ndivyo na yeye atakavyojisikia raha na furaha atakapo kusaidia na wewe.

Usibaki na hiyo furaha pee yako Emoj mpe na mumeo.

Mungu aibariki ndoa yako zaidi.
Asante mpendwa kwa ushauri wako.sio kwamba sijishugulishi hapana kiukweli napambana sana katika suala na kuongeza kipato chetu zaidi na he always appreciate what am doing.ni vile tu kuna levels najipangia niwepo pale but sijafikia huko,nimeajiriwa na bado pia nafanya njia zingine mbadala wa kupata kipato zaidi.Asante tena mpendwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee yote hayo yanatokana na mwanaume anavyokujali na kujali maendeleo...hivi nikutane na mwanaume kichomi mtapanya hela nianze kumpa hela???? Hapana kwa kweli....dada hongera kumpata mwanaume mjali maendeleo.... Ondoa hofu cha msingi vile vinavyopatikana hakikisha vinamilikiwa na ninyi wawili au watoto wenu hayo ndo malengo...usiwaze kufanya mwenyewe mshirikishe mtafika mbali..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom