Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

Acha ujinga wewe tengeneza dream zako, jamaa aki-dead( japo sikuombei) ndugu watavipurusa vyote afu hutajiona mjinga. Mwache mwanaume apambane mwenyewe
Gwangala utalijua tuuhh...!
 
Ni mbaya sana kumuamini binadamu mwenzio kiasi asilimia zote nimecheka sana hivi kweli unakuwa Na confidence kuwa mwanaume hakusaliti kuna mwingine anachepuka ila akirudi kwako huwezi kugundua hatamichepuko anaipa time ya mawasiliano kwamba kuanzia mida Fulani usinitafute nitakutafuta wewe pia mpaka uanze kunitafuta mpaka nikushtue Mimi akija kwako utasema malaika

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya yote hupewa mtu na Mungu..!

Mawazo yenu ya ajabu hayawezi kumpata huyu mdad kwanza yananzia wapi???? Msituone wanaume km watu wakatili ukiona mwanaume anakufanyia unyama jitafakari sana..!

Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mpata.
 
Acha ujinga wewe tengeneza dream zako, jamaa aki-dead( japo sikuombei) ndugu watavipurusa vyote afu hutajiona mjinga. Mwache mwanaume apambane mwenyewe
Na Mungu alivyo muweza na wa ajabu kamwe hawezi kumuacha mtu mwenye nia ya dhati na uaminifu kama huyu mama aibike milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ulikereka kwenye uzi wako"WANAUME MNAKERA SANA KUPENDA VYA BURE"
sasa umekuja tena kusema unampa,maana yake unazidi kumfanya apende kupewa"vya bure"

Habeeb Marhan
 
Wewe ulikereka kwenye uzi wako"WANAUME MNAKERA SANA KUPENDA VYA BURE"
sasa umekuja tena kusema unampa,maana yake unazidi kumfanya apende kupewa"vya bure"

Habeeb Marhan
Watu mnajua kutafiti? Kumbe alishakereka? Lol

Jesus is my saviour and a friend
 
Kila mwanaume atakuona unachokifanya kipo sawa ila kiukweli kuna kiasi cha kumsaidia mwanaume na sio kwa kiwango kama hicho chako.

Punguza roho nzuri ambapo hatakama utakuwa unampa hakikisha wewe kama wewe una akiba yako ya kutosha na sio ya kusema umpe yote halafu usubiri mwezi ugeuke uanze kuweka upya kuna leo na kesho mumy emoj.

Wanaume sio viumbe wa kuwaamini kwa 100%.

[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Usimfundishe nwenzio tabia mbaya. Anavyofanya ndivyo inatakiwa kwa wana ndoa

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Sio wote, mi hiyo sifanyi kabisa.
Tena nakushauri uache mara moja!
 
Ndoa ni yenu wawili lakini kila mmoja anatimiza malengo yake kivyake cha kushangaza zaidi wewe upo busy kumsuport mwenzio mbona yeye hakusupport?hakuna hata sehemu moja umesema yeye naye alitoa pesa akakupa ili ufanye kitu Fulani..ni wewe tu ndio mtoaji..kweli huu ndio upendo wa mshumaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti mi naona wajinga ndio waliwao!
 
We utakuwa ndio mme wake
Pambafu sana , Nakuhakikishia utakachoshauliwa Humu kinaenbdela kubadilisha furaha ya Maisha yako kuanzia Muda huu.. Unaishi Vizuri na Mume wako una mpenda na mnashirikiana na unayafanya hayo bila kushinikishinikizwa wala ndugu wa mume au ndugu wa kwenu hawawasumbui leo hii Unakuja kwenye Kundi ambalo limejaa watu waliojichokea na Maisha ukitegemea utapata ushauri Mzuri..

Nakuhakikishia kati ya wanawake 10 humu wengi watakuona hayawani na kuanzia utakapoa tekeleza ushauri wao basi jua ndio Mwanzo wa kuikosa Furaha ya ndoa yako.

Humu usilete Furaha ya Ndoa leta Matatzio ya ndoa ambayo unahitaji Msaada.

Hapa ndipo nimethibitisha kuwa Mwanamke Mjinga huivunja ndoa Yake kwa Mikono yake Mwenyewe.

Narudia na siyo Lazima uchukue au uyafanyie chochote matamshi yangu ila Trust Me., as From today unaenda Kuharibu Ndoa yako....

Akili Unazo!
 
Ni dhambi kubwa mwanamke kuchukua majukumu ya kulisha familia huku mumewe akiwa na uwezo wa kutafuta,kisa cha upendo kisiondoe majukumu ya baba kwenye nyumba yake,akiwa na shida mpe msaidie ila usizizike ndoto zako kisa kutimiza hitaji la mumeo ili abaki na furaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi namuangalia tu!
 
Aisee. Hizi thread burudani sana. Dada uko vizuri sana na endelea na moyo wako wa Kutokuwa mbinafsi. Maisha katika ndoa ni yenu wote, dreams zako zisiharibu Mipango ya familia. Kama hela inajenga familia na wewe una Amani, shida iko wapi? We mwambie tu dreams zako na kulingana na Mipango yenu zitatamia tu kadri muda unavyoenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mme kapata mke, na mke pia kapata mme so kikubwa mkimbie pepo la ubnafsi mtafika mbali
 
Endelea kutunza penzi lako na mumeo dada..uzuri unapompa anaitendea kazi na uaminifu upo baina yenu.,
Incase akimisbehave ndo mtu utaacha kutoa au utatoa kidogo
 
Mi nakushauri
Kwa kuwa umeolewa na nyote mmekuwa wamoja,ni muhimu kumshirikisha mumeo hizo ndoto zako mkajadili kwa pamoja,akusaidie kwa mawazo na namna mbalimbali kwani yote ni kwaajiri yenu na si yeye au wewe
 
Back
Top Bottom