Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Yeah, ila kwanini umekuja ghafla na mada kuwa hupendi misiba? Nini umewaza kikakufanya uandike hivyo?Ni kweli hii mada ni pana sana. Uchu wa utawala na madaraka vilipelekea vita na miji kutekwa. Watu waliona fahari kuuwana. Medival era ya Ulaya kama ilivyoandikwa na Warumi wanasema sebule za watu mafuvu ya binadamu ilikuwa urembo.
Amri kumi za Musa ndiyo zilileta mabadiliko makubwa.
Sawa ila nilitaka kujua kwanini umefikiria nini mpaka ukaandika hivyo, haijalisha kama uliandika as a joke au la!Niliweka as a joke ndiyo maana iko chit chat lakini imeamsha hisia nyingingi sana.
Hivi tunawezaje kuogopa kitu ambacho hatujui hata kinaonekanaje na kina ladha gani.Tunaogopa kifo kwakua hatujui huko tunakokwenda. Fikiria kuwe kuzuri na mwisho unajutia muda ulioupoteza duniani.
Nisamehe... sio mimi. Ni K VantHubby unataka ku accelerate the manifestation of the heading kwa mkeo?
HahaKuna mahali nilisoma kuwa huko mbinguni ni mji na majumba. Umiliki unategemea maisha uliyoishi hapa duniani
Na ndivyo ambavyo mimi najua hivyo piaHahaha ndio mafundisho na mapokeo hayo sister ila ukiwaza tu nje ya box yote hayo yalitungwa tu ili ku stabilize society.
Imagine tungekuwa tunaishi bila imani wanyama! Tusingekuwa na utu wala hofu.
Hii mada ni pana nikisema niiandikie uzi ni mrefu sana ila sinaga uthubutu wa kuandika nyuzi JF huwa najaribu naona nafeli
Nimekuja mbio nikajua unamaanisha Cyprian Musiba.Sipendi misiba na nimeapa sitahudhuria msiba wangu.
Yaani hapo ndio huwaga na choka .. nasikia huko hakuna mwanamke mbaya " kwa wale watenda mema " ..Ni kweli mkuu na hakuna Kwamtogole kote ni Oyster Bay
Who told u this?Is just because we don’t know the truth about it. Death is a journey to go back home.