Utamu unapata/unauhisi lkn wakati wa kumpatiamo?Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeyeππ.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?
wanawake huwa hamueleweki mnachotaka..Wacha tu nibakwe maana ni mbako usioumiza
Wewe ndio MTU SASA.ile giza limejngia ndio unaenda kulala saa nne au saa tano halaf saa kumi alfajir au saa kumi na moja asubuhi huwa ni π₯ mi
Muda wowote tu naenjoy iwe popote pale
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nimeshajaribu lakini kwa kulazimishwa aisee usingizi ni mtamu..weekend kidogo fresh lakini sio asubuhi hiyo jua lichomoze kwanza
Kijana Acha uvivuuu itakuwa unaibiwaTuambiane ukweli morning glory ni kwaajili ya wenzetu huko ngozi nyeusii morning glory ni usumbufu tu π€£π€£
Ainjoy asiinjoy atajua mwenyeweπ€£π€£π€£Sawa mkulima,ila hakikisha mwenzio nae anaenjoy
Apewe....Ndio hivyo,inabidi tu counterpart apewe
π€£π€£π€£π€£π€£ mahitaji unamaanisha kusuka, gas, iphones???Likishafutwa???
Nani atawahudumia mahitaji yenuu??
Matendo tu ya kawaida πΉπΉπ alafu lije tendo gani?
Tendo la ndoa lifutweeeee π€£π€£Eti ni kweli kwako maombi ya alfajiri sio kipaumbele?π€£π€£
ni kabachela haka kasituzingue