Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ukinikatalia siku moja tuuu, naenda kutafuta kwingine.Imagine leo weekend Niko macho muda huu ,huu sii uungwana jamani
Unaletewa kalio kiaina, wooooi🤣🤣🤣Ainjoy asiinjoy atajua mwenyewe
Ila atakuwa aanaenjoy maanaa asubuhi....unaletewa makalio unaguswa guswaaa mara MTU anageuka geuka unapigwa mateke Kwa mbali...
MTU anajinyonga nyonga hapo unajua kifuatachoooo.
Wala hataaa! Sijasisimka nilikua na usingizi mzito tuHapo lazima mwili unasisimka, hii ni xxl🤣🤣
Hakika utakufa, labda tukuchome sindano ya kupunguza libido🤣Tendo la ndoa lifutweeeee 🤣🤣
Huwezi kukubali, unless kuna mahali ulipunguza siku za karibuni🤣Wala hataaa! Sijasisimka nilikua na usingizi mzito tu
Hahahahaha..ndio muda huu😁😁😁Kidogo naisikiamo
Baada ya shughuli, usingizi lzm uwe mzitoWala hataaa! Sijasisimka nilikua na usingizi mzito tu
Ni mwaka wa pili sasa mambo ni bila bilaHuwezi kukubali, unless kuna mahali ulipunguza siku za karibuni🤣
Amka uumpe aende dominikaYaani kweli unaniamsha saa Tisa!mbona kama unaitaka roho yangu Mimi🙆🙆🙆😇😇😇😇😅😅😅
Kumbe we ni mkorofiBaada ya shughuli, usingizi lzm uwe mzito
MmmmhNi mwaka wa pili sasa mambo ni bila bila
Viungo havijanyooshwa😂🤸
Ukorofi upi tenaKumbe we ni mkorofi
Kuna binti anakuzidi.Ni mwaka wa pili sasa mambo ni bila bila
Viungo havijanyooshwa😂🤸
Ni sahihi. Binafsi napenda sana hiyo ya asubuhi. Jioni huwa nachoka sana kuhangaika kwenye shughuli za kujipatia kipato. Huwa na uchovu mwingi sana jioni na Mrs anajua hilo.🤣🤣🤣🤣
Jioni Sisi wakulima tunakuwa tumechoka saana. Tunapaswa kupumzika,
Asubuhi kabla ya kwenda tena shamba, unapata blessing saafi kabisaaaa. Kisha unaenda
utajua hujuiYaani kweli unaniamsha saa Tisa!mbona kama unaitaka roho yangu Mimi🙆🙆🙆😇😇😇😇😅😅😅