Sipendi Morning Glory

Tafadhali saana tunaomba uwape elimu hawa viumbe wasio taka hili tendo.

Joannah
 
Mkuu unataka kumkunja mtoto wa watu kama mgebuka?? Usfanye hivyo bwana hilo tendo limebarikiwa bwana..two shots mbona unyama labda kama una mambo ya jogoo 2minutes chali...maana two shots zangu ni safari ya dar dodoma🔥🔥
Hahaha........unajua wengine tumeshazoea one shot kabla hujamaliza lazima uwe umebadili hapo kati position hata 3 ikiwemo hiyo mkunjo 😜

Kama una Afya sawasawa two shots hazitoshi Mkuu, laba kwasisi watu Wazima ambapo umri umetutupa Mkono

But enzi za Ujana wetu Mwaka 47 ilikuwa tunaenda zaidi 🙌
 
Akili inataka mwili unakataaa.

Utu uzima tabu saana.
 
Acha mbwembwe dogo. Huna hata 30+. Ni kweli, kwa mwanaume mkamilifu 1 to 2 shorts inatosha kwani huchukua hadi masaa 2 kutafuta hizo 2 shorts.
 
tumeumbwa tofauti mkuu mimi siwezi kwenda zaidi ya mbili maana hizo mbili zenyewe ni balaa..mama watoto ataomba mapumziko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…