Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongera unatimiza wajibu wako kam mwanamkeYeees,hiyo nayo ni kitu ya kumnyima Mtu 🤣🤣?
Badilisha mentality yako kabla ya kupata katiba mpya, kwa akili zako hizi inafaa uendelee kuongozwa kwa kutumia katiba ya mwaka 77. Umesoma vizuri ukaona hili ni jukwaa la Mahusiano, Mapenzi na Urafiki wewe unakuja kuuliza habari za kupata katiba mpya. Hujaona jukwaa la katiba? Au unajitoa ufahamu bata wahed!Hivi tutakaa tupate katiba mpya kweli?
Sitaki uchafu asubuhi nifanye hata hakujakucha vizuriiiiiKijana Acha uvivuuu itakuwa unaibiwa
Mpelekeee Moto na asubuhi.
Usimwoneee huruma
Afadhali umesanuka wewe yaani mimi asubuhi hata hakujakucha vizuriiiii nifanye daah nomaa sanaUko sawa kabisa,vingine vitupite🤣
😀milele
Aiseeeh!😅hilo ndio la msingi hamna kulala na kyupi
Kheeeeeeeeeeeeeeeee...!!! Shemeji unasemaje..!!??Tendo la ndoa lifutwe jamani.....😹
Atoto
Yaaniii..!!! Cha asubuhi kisisumbuliwe..!!Wacha wee,wazee mmeonyesha kupenda sana huo muda🤔🤔😅😅
Shemegi tendo la ndoa lifutwe tubaki na matendo ya huruma.....Kheeeeeeeeeeeeeeeee...!!! Shemeji unasemaje..!!??
Unafanya mapenzi saa moja mpaka saa mbili usiku.My people how's weekend?
Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari.
Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya akili, ni hivi.. Kwenye suala zima la kufanya mapenzi binafsi napenda sana kufanya mapenzi kuanzia saa 1900-0200, kinyuma na hapo kwangu najioneaga kero tu, sababu hasa za kupenda mida hii mnakuwa mna energy ya story, kama mnakunywa mmepiga vitu vyenu, mmeoga vizuri yaani ni hearts all over the room..
Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeye😒😒.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?t
Matendo ya huruma hayana mbegu shemeji, wala maji ya kile kijiji cha katerelo hayapo..!! Sa itakuwaje?Shemegi tendo la ndoa lifutwe tubaki na matendo ya huruma.....
Sijui shemejio na bangi zake 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Kwa Nini mbuzi kagoma lakini?akisema ukae Ile ya msomali kafia kwenye fiat je?
Kitu kinachoitwa morning glory nimeijulia Jf baada ya kumsikia sumbai kila muda akiiwaza
Hutaki kalale😂