Sipendi Morning Glory

Sipendi Morning Glory

Hutaki kalale😂
Nikikuangalia... au basi tu..
dog-eyes.gif
 
Kwenye kukazana hapo hamn cha hujaoga wala hujaswaki nimikazo tuuu
 
My people how's weekend?

Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari.

Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya akili, ni hivi.. Kwenye suala zima la kufanya mapenzi binafsi napenda sana kufanya mapenzi kuanzia saa 1900-0200, kinyuma na hapo kwangu najioneaga kero tu, sababu hasa za kupenda mida hii mnakuwa mna energy ya story, kama mnakunywa mmepiga vitu vyenu, mmeoga vizuri yaani ni hearts all over the room..

Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeye😒😒.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?
Hebu toeni vitumbua hivyo acheni kuvibania, amkeni saa moja asubuhi muoge kwanza mpige mswaki, kisha ndo mfanyane.
 
Hii kitu haipaswi kuwa na muda wewe ukiwa ok omba piga bao lako kwa mke mke usilete usumbufu hiyo haki yake. Na wewe mke omba unapojisikia ok pigwa bao zako upendazo mume usibanie ni haki yake
Ukiolewa, ukaoa uhuru wako anao mwenziyo maaana anapaswa kuutumia mwili wako ajistareheshe acheni kubagua muda we akiwa anataka mpe mpe tena na tena na haki yake
 
My people how's weekend?

Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari.

Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya akili, ni hivi.. Kwenye suala zima la kufanya mapenzi binafsi napenda sana kufanya mapenzi kuanzia saa 1900-0200, kinyuma na hapo kwangu najioneaga kero tu, sababu hasa za kupenda mida hii mnakuwa mna energy ya story, kama mnakunywa mmepiga vitu vyenu, mmeoga vizuri yaani ni hearts all over the room..

Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeye😒😒.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?
Joana, kesho mpe mwenzio, saa 11 na nusu alfajiri, alafu uje hapa kutoa ushuhuda wa raha utayosikia.
 
Back
Top Bottom