Sipendi Morning Glory

Hivi tutakaa tupate katiba mpya kweli?
Badilisha mentality yako kabla ya kupata katiba mpya, kwa akili zako hizi inafaa uendelee kuongozwa kwa kutumia katiba ya mwaka 77. Umesoma vizuri ukaona hili ni jukwaa la Mahusiano, Mapenzi na Urafiki wewe unakuja kuuliza habari za kupata katiba mpya. Hujaona jukwaa la katiba? Au unajitoa ufahamu bata wahed!
 
Wewe ndo tungeendana, me navyopenda kulala asbh, huwa nafanya nisionekane mzembe, mara nyingi sana nachelewa muda kwa ajili ya huo uzushi..

See you soon
 
Unafanya mapenzi saa moja mpaka saa mbili usiku.
Huo muda mumeo anakuwa ksihapumzika?
Anakuwa kishamalizana na dada wa kazi na watoto kujua wameshindaje au mnafanya mapenzi kwanza then ndio unarudi kwa watoto.
 
Hakuna penzi tamu kama la asubuhi , unakuta liboro liko ndindindi kama mti halafu ile style ya kiubavu ndio balaa asikwambie mtu UKIPATA hii morning glory kama unaenda kazini unakuwa na akili timamu balaa wale wanaokujaga makazini na makasiriko ni wale wanaokosa hii kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…