Sipendi Morning Glory

Sipendi Morning Glory

Cha asubuhi kitamu bhana
Hakuna kitu na-enjoy kama mwanaume wangu akisimamisha 🤦‍♀️
Yani hapo nampa hadi nampa tena

Unakwama wapi Joannah
Yani mi nikiona amesimama huwa namuuliza tu vipi anamtaka mwenzie?
Akijibu ndio tu...bhaaass, mambo ya kuchelewa kazini nishazoea🤣🤣🤣🤣

Ila ubaya wake huwa nasinzia sana kazini siku nikipata morning glory🤣🤣🤣🤣
 
Cha asubuhi kitamu bhana
Hakuna kitu na-enjoy kama mwanaume wangu akisimamisha 🤦‍♀️
Yani hapo nampa hadi nampa tena

Unakwama wapi Joannah
Sio shida zangu kabisa wajina,yaani Nampa tu ni vile Siwezi kumuacha aumie,mi swaga zangu night bwana weee Dunia imepoaa,walimwengu na viumbe vyote wamelala unakula mambo Hadi unajihisi umehamia mars😁
 
Sio shida zangu kabisa wajina,yaani Nampa tu ni vile Siwezi kumuacha aumie,mi swaga zangu night bwana weee Dunia imepoaa,walimwengu na viumbe vyote wamelala unakula mambo Hadi unajihisi umehamia mars😁
Ushawahi kuona ile umetoka kuoga ujiandae uende job, unajifuta maji.....mtu anataka🤣🤣🤣🤣
 
My people how's weekend?

Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari.

Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya akili, ni hivi.. Kwenye suala zima la kufanya mapenzi binafsi napenda sana kufanya mapenzi kuanzia saa 1900-0200, kinyuma na hapo kwangu najioneaga kero tu, sababu hasa za kupenda mida hii mnakuwa mna energy ya story, kama mnakunywa mmepiga vitu vyenu, mmeoga vizuri yaani ni hearts all over the room..

Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeye😒😒.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?
Yaani upo mtaani kwangu na hautaki morning glory 🤣😁😁
 
Back
Top Bottom