Sipendi Morning Glory

Sipendi Morning Glory

Inaonekana umekosa wakili mzuri wa kukutetea, maana Wazee wenzio wote tumeonekana tuna tabia njema 😅

By the way, hata comment niliyoandika hapo juu imeandikwa na lastborn wangu nadhani 😜
Kuna namna naanza kutengwa mkuu, wazee tunaonekana hatuna afadhali. Jana namtetea mzee mwenzangu Ushimen nikaonekana na mimi zimeruka kidogo🤣🤣

Ila swala la.morning glory halina mbadala, napenda kitu chukuchuku yani, saa10 alfajiri na lile joto la papa, nikimaliza hapo hakyanani siku itaenda poa sana.
 
My people how's weekend?

Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari.

Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya akili, ni hivi.. Kwenye suala zima la kufanya mapenzi binafsi napenda sana kufanya mapenzi kuanzia saa 1900-0200, kinyuma na hapo kwangu najioneaga kero tu, sababu hasa za kupenda mida hii mnakuwa mna energy ya story, kama mnakunywa mmepiga vitu vyenu, mmeoga vizuri yaani ni hearts all over the room..

Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeye😒😒.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?
Kweli maana watu wananuka maudenda na midomo
 
Kuna namna naanza kutengwa mkuu, wazee tunaonekana hatuna afadhali. Jana namtetea mzee mwenzangu Ushimen nikaonekana na mimi zimeruka kidogo🤣🤣

Ila swala la.morning glory halina mbadala, napenda kitu chukuchuku yani, saa10 alfajiri na lile joto la papa, nikimaliza hapo hakyanani siku itaenda poa sana.
Hata Mimi enzi za Ujana wangu nilikuwa Mpenzi sana wa morning glory

Sasa tumezeeka, tumebaki kuvizia Siku mnala wa Babeli ukiwa Dede hata kama Bibi atakuwa anapika anaitwa haraka haraka kabla mnala haujaanguka 🙌😜
 
Nadhani morning glory ni tamu kuliko ninavyoweza kuielezea. Ule ubaridi wa asbh na kitu kikiwa kimesimama kama mshale hua sio poa. Halafu asbh akili yote huwa kwenye kuchakata. Kimsingi morning glory ni jambo jema. Halafu ni kama wanawake nao huwa tayari tayari.
 
My people how's weekend?

Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari.

Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya akili, ni hivi.. Kwenye suala zima la kufanya mapenzi binafsi napenda sana kufanya mapenzi kuanzia saa 1900-0200, kinyuma na hapo kwangu najioneaga kero tu, sababu hasa za kupenda mida hii mnakuwa mna energy ya story, kama mnakunywa mmepiga vitu vyenu, mmeoga vizuri yaani ni hearts all over the room..

Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeye😒😒.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?
We cha asubuhi, na kile kibaridi papa linakuwa la moto,acha kabisa..!! usifanye masihara na cha asubuhi ..!!
 
My people how's weekend?

Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari.

Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya akili, ni hivi.. Kwenye suala zima la kufanya mapenzi binafsi napenda sana kufanya mapenzi kuanzia saa 1900-0200, kinyuma na hapo kwangu najioneaga kero tu, sababu hasa za kupenda mida hii mnakuwa mna energy ya story, kama mnakunywa mmepiga vitu vyenu, mmeoga vizuri yaani ni hearts all over the room..

Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeye😒😒.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?
Wanasema Cha asubuhi kitamu afu kina usingizi waweza pitiliza ukaamka saa 6 asubuh
 
My people how's weekend?

Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari.

Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya akili, ni hivi.. Kwenye suala zima la kufanya mapenzi binafsi napenda sana kufanya mapenzi kuanzia saa 1900-0200, kinyuma na hapo kwangu najioneaga kero tu, sababu hasa za kupenda mida hii mnakuwa mna energy ya story, kama mnakunywa mmepiga vitu vyenu, mmeoga vizuri yaani ni hearts all over the room..

Sasa basi hamna kitu kinaniudhi mida ya alfajiri nistushwe na kitu kimesimama halafu navutwavutwa kweli huwa nachukia, mida ya alfajiri usingizi ni mtamu mnooo jamani, mswaki hamjapiga, mara hamjaoga aah mi nampa tu huku nimefumba macho bhana atajua yeye😒😒.... wenzangu vipi mnapenda ka morning glory?
Hahahahaha....
 
MORNING GLORY NI MFUMO WA KUABUDU MAJIRA YA ASUBUHI NI KATIKA KUMWABUDU MOLA MLEZI, AGHALABU IBADA YA ALFAJIRI AU ASUBUHI NI IBADA ZENYE NGUVU ZAIDI NA USIKIVU ZAIDI.
Hata mi najua maana hiii JF kisiwa cha maarifa, kuna mwaka nlwahi post mahali time for morning glory basi walioona walijua nalaliwa wakati huo,
wakati nlimaanisha hiki puuh🤣🤣🤣😂😂
 
Back
Top Bottom