Sipendi - Special thread

Sipendi ndugu mwizi.
Sipendi wadada wenye matako au sura nzuri kujiona wao hawahitaji hustle.
Sipendi walokole feki na watu wenye kujifanya wacha Mungu kumbe sio.
Sipendi kutumia nguvu nyingi kutfata hela badala ya akili.
Sipendi yale mabango ya waganga maeneo ya pwani ya coco beach..looks horrible
Sipendi watangazaji wasio na IQ kubwa
 
Sipendi makonda kututapeli mia mia zetu kila siku hawana!
 
Sipendi tabia ya kichanganya `r' na `l', kwenye r mtu anatamka `l, na kwenye `l' anatamka `r'
 
Sipendi jitu linapiga mswaki linajigogoa utadhani litatoka koromeo kisha linatema makohozi pwaaaaaaa!
 
Sipendi ajali zinazotokea kila siku.
 
sipendi tabia ya baadhi ya wana jf members kuwa na id zaidi ya 1.

id nyingi mkuu zina matumizi mbalimbali, kama ambavyo waweza badilisha nguo, msosi au mwenzi wakati mwingine vivyo hivyo id ikiwa inapelekea huko. Teh teh teh
 
id nyingi mkuu zina matumizi mbalimbali, kama ambavyo waweza badilisha nguo, msosi au mwenzi wakati mwingine vivyo hivyo id ikiwa inapelekea huko. Teh teh teh

Aiseeee.........
Kwahiyo kila jukwaa lina I'd yake!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…